Ni Nani Aliye Upande Wa Bwana?

Similar documents
Ikimbieni Zinaa. Ellis P. Forsman. Ikimbieni Zinaa (Flee Fornication) 1

NOVENA YA ROHO MTAKATIFU

unajua ulichofanya; umevumilia Vema ninataka umwambia Shetani katika jina la Yesu anapokufanyia jambo baya, Toka! Toka!

TOKA SABATO KWENDA JUMAPILI CARLYLE B. HAYNES

Pasaka Na Meza Ya Bwana Sehemu Ya 2

Learning by Ear Unce upon a time... in Africa Episode 3: TRADE IN AFRICA. Author: Marta Barroso Editors: Maja Braun, Jan-Philipp Scholz CHARACTERS:

Cambridge International Examinations Cambridge Ordinary Level

Learning by Ear Once upon a time... in Africa Episode 8: COLONIALIZATION. Author: Marta Barroso Editors: Maja Braun, Jan-Philipp Scholz CHARACTERS:

THE SPINE CLINIC. Spine Care. Huduma Ya Uti Wa Mgongo Kanuni Za Kutunza Shingo Na Mgongo. principles of neck and back care IOM SYSTEM ENDOSCOPE

Learning by Ear Once upon a time... in Africa Episode One: CRADLE OF MANKIND. Author: Marta Barroso Editors: Maja Braun, Jan-Philipp Scholz

KWA VILE ni kanuni ya Kanisa Anglikana ulimwenguni ambalo ni sehemu ya Kanisa Katholiko kwamba Dayosisi kadhaa ziungane pamoja na kuunda Jimbo;

SIMON & SCHUSTER S PIMSLEUR SWAHILI 1 READING BOOKLET

CROP PROTECTION PROGRAMME. Identifying the factors causing outbreaks of armyworm as part of improved monitoring and forecasting systems

HISTORIA (WASIFU WA) YA MAREHEMU DKT. WILLIAM AUGUSTAO MGIMWA

The history of Zaire as told and painted by Tshibumba Kanda Matulu in conversation with Johannes Fabian

UCHAMBUZI MUUNGANO WA TANZANIA YA MWAKA 1977

PROPOSED STANDARD COUNCIL LEVEL HOSPITALS. Schedule of Material, Labour & Drawings for Septic and Soak way pit PROJECT AREA TANZANIA MAINLAND

UCHANGANUZI WA MAKOSA YA KISARUFI KATIKA INSHA ZA WANAFUNZI WA SHULE ZA MSINGI NA YANAVYOCHANGIA MATOKEO MABAYA YA MITIHANI, KATA YA GANZE, KAUNTI

The history of Zaire as told and painted by Tshibumba Kanda Matulu in conversation with Johannes Fabian

Hennepin County Kiongozi cha jinsi ya kuondoa taka

JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAMISEMI

2017 Student Program Curriculum

EXL6 Swahili PhraseBook Davis

DEFERRED LIST ON 23/10/2018

KUFANIKISHA MAGEUZI YA SHERIA ZA KUMILIKI ARDHI NCHINI KENYA TOLEO MAARUFU LA MSWADA WA KUMILIKI ARDHI YA JAMII

uṯēndi wa ja'fari bismillähi ar-rahmani ar-rahīmi

Remarks You Must Read & Know Before Buying Guingamp vs RC Strasbourg Tickets: Event date and time are subject to change - these changes are not

HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS IKULU NA UTAWALA BORA MHESHIMIWA DKT. MWINYIHAJI MAKAME

Taarifa ya Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM (Oktoba, 2010 hadi Septemba, 2012) kuhusu Zanzibar SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR

Lesson 60: Quantifiers OTE and O OTE

FREE WITH THE SUNDAY NATION. May 3, 2009 W-DJ. Creating the DJ Brand

KENYA INSTITUTE OF CURRICULUM DEVELOPMENT EDU CHANNEL TV BROADCAST LINE UP AUGUST DEC 2017 WEEKLY TV PROGRAMMES

CONTINUITY AND DIVERGENCE

MARINE ENVIRONMENTAL EDUCATION DRAFT MANUAL FOR SCHOOLS AROUND WATAMU MARINE NATIONAL PARK AND RESERVE

Governors' Camp Game Report, Masai Mara, May 2012

WAEC Sample Questions and Schemes - Uploaded online by GONJA (ELECTIVE)

Mbeya City FC x Mtibwa Sugar Online stream tv today WATCH HERE LINK

JUDO SOUTH AFRICA YELLOW BELT (5th KYU) SYLLABUS

Cp Cp, Pole Pole Reflections on my experience Summiting Mt. Kilimanjaro The Roof of Africa February 4 11, 2017

MON GRADE PROMOTION SYLLABUS PERSONAL RECORD OF ACHIEVEMENT

JUDOSCOTLAND GRADE PROMOTION SYLLABUS RECORD OF ACHIEVEMENT

KYU GRADE PROMOTION SYLLABUS PERSONAL RECORD OF ACHIEVEMENT

2018 WTA Future Stars Finals

Ushiro-ukemi Yoko-Ukemi Mae-Mawari-Ukemi (x3) O-soto-otoshi De-ashi-barai Uki-goshi Kesa-gatame Mune-gatame Kuzure-kesa-gatame

Yellow Belt. Belt Requirements. Form: Keibon 1 Taeguek Il Chang (1st 5 moves)

I M GONNA RIDE THE CHARIOT

MARIE SKŁODOWSKA-CURIE ACTIONS STATISTICS INDIVIDUAL FELLOWSHIPS

The Passion of Africa

DWIGHT UNGSTAD S Annual Production FOR SALE. INNISFAIL AUCTION MARKET Innisfail, Alberta September 21, :00 P.M.

God Has Spoken By the Prophets Lively Wind That Woke Creation Texts by George Wallace Briggs & Carl P. Daw, Jr. Music by Alfred V.

Aiki kids. Training Guide and Manual for Children Riai Aikido Wellington

KOR THA CHN TPE MGL AUS MAS JPN KOR - 7:5 6:3 13:3 11:9 10:2 THA 5:7-7:13 13:4 2:10 5:6 CHN 3:6 13:7-9:10 8:9 4:2 TPE 3:13 4:13 10:9-5:13 3:12

Inkling Fan Language Character Encoding Version 0.3

Tanzania Untamed DAY-BY-DAY ITINERARY

MEMORIAL HOSPITAL IN-SERVICE ROSTER. DATE START END Time 1000 Time 1100

Hawaiiana Award Program: Prerequisite: Helpful Links:

Lot 59. Bulls Delivered & Kept Free until May 1st 1st Breeding Season Guarantee Sale broadcast on DVAuction.com

Total Frequency Percent CAPS Graduate Graduate Intensive English

IN THE COURT OF APPEAL OF TANZANIA AT OAR ES SALAAM CAUSELIST AMENDED NO.4 VERSUS SAID A. MARINDA & 30 OTHERS VERSUS MWASI MAGESA KASOL!

I MINA'BENTE OCHO NA LIHESLATURAN GU 0 H ,,,.._ (FIRST) Regular Session JAtt'J? Dos Mit Singko (GI PRIMERO) Na Sision Rig

MATOKEO YA USAILI WA TAREHE KWA AJILI YA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2018

FOR SALE DWIGHT UNGSTAD S. Annual Production 40 + FOALS & More. INNISFAIL AUCTION MARKET Innisfail, Alberta

walaka Ua Lohe Au Manu Kani Time for Sovereignty Kahikinui O Pu u Mähoe U i Läna i City Ike Au iä Kaho olawe always Hawaiian

Heidrun Kröger, SIL Southern Africa for Bantu 6 in Helsinki,

MARTIAL ARTS COLLEGE OF CLAYTON MACC BOOK TWO JUDO AND TAEKWONDO FOR YOUNG STUDENTS ORANGE BELT. Theodore Angelo Povinelli

AMIS0170 Certified Reference Material. Certificate of Analysis


CONTINUITY AND DIVERGENCE

TGR Transactional Reporting Interruptible

Irish Judo Association. Grading Syllabus. 6 th Kyu to 1 st Kyu

World Police and Fire Games Quebec, 2005 Medalists from HKSAR, CHINA Gold Silver Bronze 79 BADMINTON MEN - SENIOR - SINGLES 1 1 MA, WAI-HING HONG

2018 Macau Galaxy Entertainment International Marathon Winners of the Join Us and Upload Best Shot to Win Lucky Draw Announced

Atanasio, Dominick Office Phone: (909)

These connections require special make-up torque values, different from standard VAM tables or a torque not existing in VAM tables.

Oil-Diesel. version. User instructions PIUSI HAND PUM P

As long as anyone can remember, we have tilled the fields in our

Your Top Box Score. Percentile Rank Rate hospital % 63.0% Previous % Jul-Sep. Current % Oct-Dec

KPSGA NEWSLETTER M E S S A G E F R O M T H E S E C R E T A R I A T

Race: 1. Race Results. AHRMA/Preston Petty Products National Vintage MX Series Devils Ridge; Sanford, NC 05/07/2017. Sportsman 250 Intermediate

NAMA DRMEŠ MEDLEY. Croatian. Dick Oakes learned these dances from Dick Crum.

Na Mele Aloha Song Book

Joplin Judo Junior Rank Requirements

Junior Eight Degree. A) United States Judo Association B) United States Judo Federation C) International Judo Federation

Archery Australia BOARD NEWS D E C E M B E R

FLOORPLANS STRUKTURE TIPSKIH STANOVA.

CONTINUITY AND DIVERGENCE

THIRTEENTH BEACH GOLF LINKS BARWON HEADS, VICTORIA JANUARY 2012 BEACH & CREEK COURSES

Race: 1. Race Results Premier Lightweight Novice. AHRMA / NW Maico & CZ National Vintage MX Series HLR Motorsports; Moberly, MO 10/25/2014

SIR ADAMJEE INSTITUTE

2013 YEAR IN REVIEW AFRICA. Photo Ami Vitale THE NATURE OF INGENUITY. Photo Debby Thomas

ARTS IMPACT LESSON PLAN. Enduring Understanding Using tempo and beat in a spoken text can allow dancers to move in rhythm to the words.

GR&P Spring Action Weekend 2018 Prize List

!"#$%#&'()"*+'(',"&"(-*.(*/"0$1+'(',.(,*2"'&3*

Alamat ng Kawayan. Anthony Pascua SAILN, Tier III

Let MY Light Shine Bright

Race: 1. Race Results. AHRMA/Preston Petty Products National Vintage MX Series Lake Sugar Tree Motorsport Park; Axton, VA 06/17/2017

to emph(ls12~e ""'...,...'... must resdec~t a manner

INFORMATION BULLETIN


ISO/IEC JTC 1/SC 2 N 3208

Transcription:

Ni Nani Aliye Upande Wa Bwana? (Who Is On The Lord s Side?) Na Ellis P. Forsman Ni Nani Aliye Upande Wa Bwana? (Who Is On The Lord's Side?) 1

Ni Nani Aliye Upande Wa Bwana? (Who Is On The Lord s Side?) Na Ellis P. Forsman Oktoba 17, 2011 Ni Nani Aliye Upande Wa Bwana? (Who Is On The Lord's Side?) 2

Ni Nani Aliye Upande Wa Bwana? Kut. 32:26 Kut. 32:26, Ndipo Musa akasimama katika mlango wa marago, akasema mtu yeyote aliye upande wa BWANA na aje kwangu. Wana wa Lawi wote wakamkusanyikia. Tunachopaswa Kufanya Ili Tuwe Upande Wa Bwana Tukatae dhambi Gal. 5:17-25, Kwa sababu mwili hutamani ukishindana na Roho, na Roho kushindana na mwili; kwa maana hizi zimepingana, hata hamwezi kufanya mnayotaka. Lakini mkiongozwa na Roho hampo chini ya sheria. Basi matendo ya mwili ni dhahiri ndiyo haya, uasherati, uchafu, ufisadi,, ibada ya sanamu, uchawi, uadui, ugomvi, wivu, hasira, fitina, faraka, uzushi, husuda, ulevi, ulafi na mambo yanayofanana na hayo, katika hayo nawaambia mapema kama nilivyokwisha kuwaambia, ya kwamba watu watendao mambo ya jinsi hiyo hawata urithi ufalme wa Mungu. Lakini tunda la Roho ni upendo, furaha, amani, uvumilivu, utu wema, fadhili, uaminifu, upole, kiasi; juu ya mambo kama hayo hakuna sheria. Na hao walio wa Kristo Yesu wameulusubisha mwili paamoja na mawazo yake mabaya na tamaa zake. Tukiishi kwa Roho na tuenende kwa Roho. 1 Pet. 2:11, Wapenzi nawasihi kama wapitaji na wasafiri, ziepukeni tamaa za mwili zipingano na roho. Rom. 6:6, Mkijua neno hili ya kuwa utu wetu wa kale ulisulubishwa pamoja naye, ili mwili wa dhambi ubatilike, tusitumikie dhambi tena; Tii maagizo yote ya Mungu Yak. 2:10, Maana mtu awaye yote atakayeishika sheria yote, ila akajikwaa katika neno moja, amekosa juu ya yote. 1 Yoh. 3:15, Kila amchukiaye ndugu yake ni mwuaji: nanyi mnajua ya kuwa kila mwuaji hana uzima wa milele ukikaa ndani yake. Ni Nani Aliye Upande Wa Bwana? (Who Is On The Lord's Side?) 3

Tushike maungamo yetu ya imani Heb. 10:23, Na mlishike sana ungamo la tumaini letu, lisigeuke maana yeye aliyeahidi ni mwaminifu; Mat. 14:22-32, Mara akawalazimisha wanafunzi wake wapande chomboni na kutangulia mbele yake kwenda ng ambo, wakati yeye alipokuwa akiwaaga mkutano. Naye alipokwisha kuwaaga makutano, alipanda mlimani faraghani, kwenda kuomba. Na kulipokuwa jioni alikuwako huko peke yake. Na kile chombo kimekwisha kufika katikati ya bahari, kinataabika sana na mawimbi; maana upepo ulikuwa na mbisho. Hata wakati wa zamu ya nne ya usiku Yesu akawaendea, akienda kwa miguu juu ya bahari. Wanafunzi walipomwona akienda juu ya bahari, wakafadhaika wakisema, ni kivuli; wakapiga yowe kwa hofu. Mara Yesu alinena, akawaambia jipeni moyo ni mimi msiogope. Petro akamjibu, akasema, Bwana ikiwa ni wewe niamuru nije kwako juu ya maji. Akasema, njoo. Petro akashuka chomboni akaenda kwa miguu juu ya maji, ili kumwendea Yesu. Lakini alipouona upepo, akaogopa, akaanza kuzama, akapiga yowe akisema, Bwana niokoe. Mara Yesu akanyoosha mkono wake, akamshika, akamwambia, ewe mwenye imani haba mbona uliona shaka? Nao walipopanda chomboni upepo ulikoma. Tutoe karama zetu zote kwa ajili ya huduma ya Kristo Mat. 25:14-30, Maana ni mfano wa mtu atakaye kusafiri, aliwaita watumwa wake, akaweka kwao mali zake. Akampa mmoja talanta tano, na mmoja tanta mbili, na mmoja talanta moja; kila mtu kwa kadiri ya uwezo wake akasafiri. Mara yule aliyepokea talanta tano akaenda akafanya biashara nazo, akachuma faida talanta zingine tano. Vilevile na yule mwenye mbili, yeye naye akachuma nyingine mbili faida. Lakini yule aliyepokea moja alikwenda akaifukia chini, akificha fedha ya bwana wake. Baada ya siku nyingi akaja bwana wa watumwa wale, akafanya hesabu nao. Akaja yule aliyepokea talanta tano, akaleta talanta nyingine tano, akisema Bwana uliweka kwangu talanta tano; tazama talanta nyingine tano nilizopata faida. Bwana wake akamwambia vema mtumwa mwema na mwaminifu; ulikuwa mwaminifu kwa machache, nitakuweka juu ya mengi; ingia katika furaha ya bwana wako. Akaja na yule aliyepokea talanta mbili, akasema, Bwana uliweka kwangu talanta mbili; tazama talanta nyingine mbili nilizopata faida. Bwana wake akamwambia vema mtumwa mwema na mwaminifu; ulikuwa mwaminifu kwa machache, nitakuweka juu ya mengi; ingia katika furaha ya bwana wako. Ni Nani Aliye Upande Wa Bwana? (Who Is On The Lord's Side?) 4

Akaja na yule aliyepokea talanta moja, akasema Bwana nalitambua ya kuwa wewe u mtu mgumu, wavuna usipopanda, wakusanya usipotawanya; basi nikaogopa, nikaenda nikaificha talanta yako katika ardhi; tazama unayo iliyo yako. Bwana wake akajibu akamwambia, wewe mtumwa mbaya na mlegevu ulijua ya kuwa navuna nisipopanda, nakusanya nisipotawanya; basi ilikupasa kuiweka fedha yangu kwa watoa riba; nami nikija ningalipata iliyo yangu na faida yake. Basi, mnyang anyeni talanta hiyo, mpeni yule aliye nazo talanta kumi. Kwa maana kila mwenye kitu atapewa na kuongezewa tele; lakini asiye na kitu, hata kile alicho nacho atanyang wanywa. Na mtumwa yule asiyefaa mtupeni mbali katika giza la nje; ndiko kutakuwako kilio na kusaga meno. Kwa Nini Tunapaswa Kuwa Upande Wa Bwana Ni upande wenye furaha wa maisha Mit. 3:11-18, Mwanangu usidharau kuadhibiwa na BWANA, wala usione ni taabu kurudiwa naye. Kwa kuwa BWANA ampendae humrudi, kama vile baba mwanawe ampendavyo. Heri mtu yule aonaye hekima, na mtu yule apataye ufahamu. Maana biashara yake ni bora kuliko biashara ya fedha, na faida yake ni nyingi kuliko dhahabu safi. Yeye ana thamani kuliko marijani, wala vyote uvitamanivyo havilingani naye. Ana wingi wa siku katika mkono wake wa kuume, utajiri na heshima katika mkono wake wa kushoto. Njia zake ni njia za kupendeza sana, na mapito yake yote ni amani. Yeye ni mti wa uzima kwao wamshikao sana; ana heri kila mtu ashikamanaye naye. Unapata heshima zaidi Yoh. 12:26, Mtu akinitumikia na anifuate nami nilipo, ndipo mtumishi wangu atakapokuwapo. Tena mtu akinitumikia, Baba atamheshimu. Mat. 18:20, Yesu akamjibu, mimi nimesema na ulimwengu waziwazi; siku zote nalifundisha katika sinagogi na katika hekalu, wakusanyikapo Wayahudi wote; wala kwa siri mimi sikusema neno lolote. Kama Yesu yuko hapa tunapo kusanyika, tunapaswa kuwa pale, pia. Ni sehemu yenye usalama. 1 Pet. 3:13, Naye ni nani atakayewadhuru, mkiwa wenye juhudi katika mema. Ni Nani Aliye Upande Wa Bwana? (Who Is On The Lord's Side?) 5

Rom. 8:31, Basi tuseme nini juu ya hayo Mungu akiwapo upande wetu ni nani aliye juu yetu? Huu Ni Ulimwengu Wa Kibiashara Je inalipa? Rom. 8:18, Kwa maana nayahesababu mateso ya wakati huu wa sasa kuwa si kitu kama utukufu ule utakaofunuliwa kwetu. 1 Kor. 2:9, Lakini kama ilivyoandikwa, mambo ambayo jicho halikuyaona wala sikio halikuyasikia, wala hayakuingia katika moyo wa mwanadamu, mambo ambayo Mungu aliwaandalia wampendao. Mat. 16:26, Kwani atafaidiwa nini mtu akiupata ulimwengu wote, na kupata hasara ya nafsi yake? Au mtu atatoa nini badala ya nafsi yake? Kurudi nyuma hakulipi. Demas. 2 Tim. 4:10, Maana Dema aliniacha akiupenda ulimwengu huu wa sasa Ninyi ni nuru ya ulimwengu. Mat. 5:14-16, Ninyi ni nuru ya ulimwengu. Mji hauwezi kusitirika ukiwa juu yam lima. Wala watu hawawashi taa na kuiweka chini pishi, bali juu ya kiango; nayo yawaangaza wote waliomo nyumbani. Vivyo hivyo nuru yenu na iangaze mbele ya watu, wapate kuyaona matendo yenu mema, wamtukuze Baba yenu aliye mbinguni. Tumia karama yako ambayo ilitajwa hapo awali. Jionyeshe kuwa umekubaliwa na Bwana. 2 Tim. 2:15, Jitahidi kujionyesha kuwa umekubaliwa na Mungu, mtenda kazi asiye na sababu ya kutahayari, ukitumia kwa halali neno la kweli. Ni Nani Aliye Upande Wa Bwana? (Who Is On The Lord's Side?) 6

Je Umejitoa Kwa Ajili Ya Yesu? Ni utumishi wa maisha. Wanajeshi wamepangiwa idadi ya miaka ya kufanya kazi ya kuitumikia nchi yao. Hawawezi kuicha kazi yao ambayo wamepewa. AWOL (Hayupo Bila Likizo) kufungwa. Ufu. 2:10, Usiogope mambo yatakayokupata; tazama huyo ibilisi atawatupa baadhi yenu gerezani ili mjaribiwe, nanyi mtakuwa na dhiki siku kumi. Uwe mwaminifu hata kufa, nami nitakupa taji ya uzima. AWOL katika huduma kwa Yesu adhabu ya milele. 2 Pet. 2:19-22, Wakiwaahidia uhuru nao wenyewe ni watumwa wa uharibifu, maana mtu akishindwa na mtu huwa mtumwa wa mtu yule. Kwa maana wale waliokwisha kuyakimbia machafu ya dunia kwa kumjua Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo, kama wakinaswa tena na kushindwa, hali yao ya mwisho imekuwa mbaya kuliko ile ya kwanza. Maana ni heri wasingaliijua njia ya haki, kuliko kuijua kisha kuiacha ile amri takatifu waliopewa. Lakini imetukia kwao sawasawa na ile mithali ya kweli, mbwa ameyarudia matapiko yake mwenyewe, na nguruwe aliyeoshwa amerudi kugaagaa matopeni. Ufu. 21:8, Bali waoga na wasioamini, na wachukizao, na wauaji, na wazinzi, na wachawi, na hao waabuduo sanamu, na waongo wote, sehemu yao ni katika lile ziwa liwakalo moto na kiberiti. Hii ndiyo mauti ya pili. Jinsi Ya Kufanyika Mkristo Tii kutoka moyoni. Rom. 6:17, Lakini Mungu na ashukuriwe kwa maana mlikuwa watumwa wa dhambi, lakini mliitii kwa mioyo yenu ile namna ya elimu ambayo mliwekwa chini yake; Amini. Heb. 11:6, Lakini pasipo imani haiwezekani kumpendeza; kwa maana mtu amwendeaye Mungu lazima aamini kwamba yeye yuko, na kwamba huwapa thawabu wale wamtafutao. Ni Nani Aliye Upande Wa Bwana? (Who Is On The Lord's Side?) 7

Tubu. Kiri. Mdo. 2:38, Petro akawaambia, tubuni mkabatizwe kila mmoja kwa jina lake Yesu Kristo, mpate ondoleo la dhambi zenu, nanyi mtapokea kipawa cha Roho Mtakatifu. Luka 13:3, Nawaambia sivyo, lakini msipotubu, ninyi nyote mtaangamia vivyo hivyo. Rom. 10:9, Kwa sababu ukimkiri Yesu kwa kinywa chako ya kuwa ni Bwana, na kuamini moyoni mwako ya kuwa Mungu alimfufua katika wafu, utaokoka. Mat. 10:32, Basi kila mtu atakayenikiri mbele ya watu, nami nitamkiri mbele ya Baba yangu aliye mbinguni. Ubatizwe. Gal. 3:27, Maana ninyi nyote mliobatizwa katika Kristo mmemvaa Kristo. Mdo. 2:38, Petro akawaambia, tubuni mkabatizwe kila mmoja kwa jina lake Yesu Kristo, mpate ondoleo la dhambi zenu, nanyi mtapokea kipawa cha Roho Mtakatifu. 1 Pet. 3:21, Mfano wa mambo hayo ni ubatizo, unaowaokoa nanyi pia siku hizi: sio kuweka mbali uchafu wa mwili, bali jibu la dhamiri safi mbele za Mungu, kwa kufufuka kwake Yesu Kristo. Ni Nani Aliye Upande Wa Bwana? (Who Is On The Lord's Side?) 8

Ni Nani Aliye Upande Wa Bwana? (Who Is On The Lord's Side?) 9

Ni Nani Aliye Upande Wa Bwana? (Who Is On The Lord's Side?) 10

Ni Nani Aliye Upande Wa Bwana? (Who Is On The Lord's Side?) 11

Ni Nani Aliye Upande Wa Bwana? (Who Is On The Lord's Side?) 12