JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAMISEMI Namba za simu;shule ya Sekondari MIONO Mkuu wa Shule: +255 784 369 381S.L.P 26 - CHALINZE Makamu Mkuu wa Shule: +255 787 448 383Tarehe 25.5.2017 Matron / Patron Mzazi /Mlezi wa Mwanafunzi... S.L.P. YAH: MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI MIONO HALMASHAURI YA CHALINZE MKOA Pwani MWAKA 2017/2018 1. Nafurahi kukuarifu kuwa mwanao amechaguliwa kujiunga na Kidato cha Tano katika shule hii mwaka... tahasusi ya. Shule ya Sekondari MIONO ipo katika kijiji cha Makao Makuu, Kata ya MIONO, Tarafa ya Miono.kijiji hiki kipo karibu na eneo la MTO WAMI katika barabara kuu ya CHALINZE-SEGERA, ukitokea Chalinze shuka MANDERA(baaada ya kuvuka daraja la MTO WAMI) ambapo ni njia panda ya kuelekea MIONO, utakwenda mwendo wa kilometa 20 kutokea MANDERA hadi kufika shuleni.aidha ukitokea SEGERA shuka kituo cha MANDERA kabla ya WAMI.Kwa wanaotokea Dar es salaam nenda kituo cha mabasi cha Mbezi, panda mabasi ya DAR-MIONO au DAR- SAADANI ambayo yanafika MIONO. Nauli ni shilingi elfu saba (7000/=) kutokea Mbezi, na shilingi elfu nne kutokea Chalinze.nauli ya boda boda kutoka MIONO hadi shuleni ni shs.2,500/=ukipanda gari inayoelekea Saadani utashushwa shuleni.usishuke Miono. Muhula wa masomo unaaza tarehe 3.7.2017Hivyo mwanafunzi anatakiwa kuripoti shuleni tarehe 17.7.2o17 Mwisho wa kuripoti ni tarehe 30.7.2017 akiwa na fomu zote zilizoambatanishwa katika maelekezo ya kujiunga, ziwe zimejazwa kikamilifu na wahusika na kuzikabidhi shuleni wakati wa usajili. 1
2.0 Sare ya Shule 2.1. WAVULANA: I. Suruali 2 za heshima rangi ya dark blue zenye marinda mawili II. Shati 2 za heshima rangi nyeupe mikono mirefu, III. Viatu vya ngozi rangi nyeusi SIO BUTI vya kamba na visiwe na kisigino kirefu. IV. Nguo za kufanyia kazi (shamba dress), Suruali mbili rangi ya light blue na fulana (T-shirt) mbili rangi ya deep blue, zisiwe na collar wala maandishi. V. Soksi jozi mbili rangi nyeusi, VI. Mkanda mweusi wa kawaida usio na urembo. VII. Tai rangi ya dark blue.inayofanana na rangi ya suruali VIII. T-shirt ya rangi ya kijivu (grey) yenye nembo ya shule inapatikana hapa shuleni. IX. Shuka mbili rangi ya bluu bahari (light blue) na mto wenye foronya ya bluu bahari (light blue) X. Sweta yenye rangi ya dark blue Xi.Track suit rangi ya kijivu, raba na nguo za michezo (zingatia: nguo za michezo zimepangwa kwa tahasusi kama ifuatavyo, PCM rangi Nyekundu kama ya jezi ya simba, PCB rangi ya njano kama jezi ya yanga, CBG zambarau kama jezi ya Mbeya city.) 2.2 WASICHANA: I. Sketi 2 za heshima rangi ya dark blue ndefu kuvuka magoti zenye marinda (rinda box mbele na nyuma na marinda mawili upande wa kulia na kushoto). Kitambaa kiwe kizito II. Sketi moja ya heshima rangi ya bluu bahari (light blue) kwaajili ya kuvaa siku ya kwenda Msikitini au Kanisani. III. Blauzi 2 za heshima rangi nyeupe, mikono mirefu, IV. Viatu vya ngozi rangi nyeusi SIO BUTI vyenye kamba na visiwe na kisigino kirefu, V. Soksi rangi nyeupe VI. Tai ya rangi ya dark blue.inayofanana na rangi ya sketi VII. Kanga/kitenge doti 2 2
VIII. T-shirt ya rangi ya kijivu (grey) yenye nembo ya shule inapatikana hapa shuleni. VIII. Magauni mawili ya heshima ya kushindia rangi ya pinki (1) na light blue (1) yawe ya marinda ya pasi (shamba dress) kitambaa kizito. T-shirt mbili rangi ya deep blue, zisiwe na collar wala maandishi IX. Shuka mbili rangi ya pink na mto wenye foronya ya pink. X. Sweta rangi ya dark blue. Xi. Track suit rangi ya kijivu, raba na nguo za michezo (zingatia: nguo za michezo zimepangwa kwa tahasusi kama ifuatavyo, PCM rangi Nyekundu kama ya jezi ya simba, PCB rangi ya njano kama jezi ya yanga, CBG zambarau kama jezi ya Mbeya city.) 3. Ada na Michango ya shule a) Ada ya shule kwa mwaka ni shilingi 70,000.00 kwa mwanafunzi wa bweni. Unaweza kulipa kiasi cha shilingi 35,000.00 kwa muhula au kulipa ada yote kwa mara moja b) Michango inayotakiwa kulipwa na kila mzazi ni:- i. Shilingi 5,000/= kwaajli ya ukarabati wa samani. ii. Shilingi 6,000/= kwa ajili ya kitambulisho na picha iii. Shilingi 20,000/= kwa ajili ya taaluma iv. Shilingi 30,000/= kwa ajili ya kuwalipa wapishi, walinzi, na vibarua wengine v. Shilingi 2,000/= nembo ya shule vi. Shilingi 10,000/= kwa ajili ya huduma ya kwanza Tshs 5,000/= na Bima ya Afya 5,000/= ( Wanafunzi washauriwe kujiunga na mfuko wa Bima ya Afya CHF kikaya) vii. Tshirt yenye nembo ya shule shilingi 10,000/= viii. Umeme 15,000/= ix. Maji 15,000/= x. Fedha ya tahadhari 5000/= ( haitarejeshwa) Angalizo: Jumla ya ada na michango kwa mwaka ni shilingi 188,000.00 Fedha hizo zilipiwe kwenye Akaunti ya shule Namba 21110001592 MIONO SECONDARY SCHOOL FUND katika Benki ya NMB (tafadhali andika jina la Mwanafunzi kwenye pay in slip) Mahitaji muhimu ambayo mwanafunzi anapaswa kuleta shuleni ni:- (i) (ii) (iii) Ream ya karatasi 1 (kwa mwaka) Vitabu vya masomo ya tahasusi husika Dissecting kit kwa wanafunzi wa Biolijia (iv) (v) Scientific calculator Vyombo vya chakula ( sahani, bakuli, kijiko na kikombe) 3
(vi) Ndoo mbili ndogo zenye mifuniko picha 2 pasport size za mwanafunzi napicha nne (4) za Wazazi na ndugu wa karibu wa mwanafunzi wanaoweza kumtembelea mwanafunzi shuleni pamoja na namba zao za simu.angalizo: Mwanafunzi wa tahasusi ya PCM alete reki, wa tahasusi ya PCB alete jembe, wa tahasusi ya CBG alete fagio 2 (laini na gumu anayosoma). 4. MAKOSA YATAKAYOSABABISHA MWANAFUNZI KUFUKUZWA SHULE. (i) Wizi (ii) Kutohudhuria masomokwa zaidi ya siku 90 bila taarifa / utoro (iii) Kugoma na kuhamasisha mgomo (iv) Kutoa lugha chafu kwa wanafunzi wenzake, walimu,/ walezi na jamii kwa ujumla (v) Kupigana mwanafunzi kwa mwanafunzi, kumpiga mwalimu au na mtu yeyeote yule. (vi) Kusuka nywele kwa mtindo usikubalika. Wanafunzi wote wanatakiwa kuwa na nywele fupi wakati wote wawapo shuleni au kusuka kwa mtindo wa ususi uliokubalika na uongozi wa shule. (vii) Kufuga ndevu (viii) Ulevi au unywaji wa pombe na matumizi ya dawa ya kulevya (ix) Uvutaji wa sigara. (x) Uasherati, uhusiano wa jinsia moja, kuoa au kuolewa (xi) Kupata ujauzito au kutoa mimba (xii) Kushiliki matendo ya uhalifu, siasa na matendo yoyote yale yanayovunja sharia za nchi; (xiii) Kusababisha mimba au kumpa mimba msichana (xiv) Kutembelea majumba ya starehe na nyumba za kulala wageni (xv) Kumiliki, kukutwa au kutumia simu ya mkononi katika mazingira ya shule (xvi) Kudharau bendera ya Taifa (xvii) Kufanya jaribio lolote la kujiua, au kutishia kujiua kama kunywa sumu n.k (xviii) Uharibifu wa mali ya umma kwa makusudi. UTHIBITISHO WA KUKUBALI NAFASI YA KUINGIA KIDATO CHA TANO SHULE YA SEKONDARI MIONO SEHEMU A (ijazwe na mwanafunzi ) Mimi (jina kamili)... Nilizaliwa tarehe... mwezi... mwaka... Mahali nilipozaliwa kijiji/mtaa...wilaya... Mkoa... Dini... Nakubali nafasi niliyopewa ya kuingia kidato cha TANO shule ya sekondari MIONO. Nathibitisha kuwa nitatii na kuzifuata sheria na kanuni za shule ambazo mwanafunzi analazimika kutekeleza nakutimiza. Najua na kuamini kuwa migomo na vurugu siyo njia sahihi ya kutatua matatizo katika jamii, hivyo naahidi kutoshiriki katika migomo wala vurugu zozote bali nitakuwa mstari wa mbele kutoa taarifa kwa uongozi wa shule ili uweze kutatua au kutafutia utatuzi wa changamoto zozote zitakazo jitokeza shuleni. 4
Saini... tarehe... SEHEMU B (Ijazwe na mzazi/mlezi) Mimi (jina kamili)... Wa kijiji cha/mtaa wa...wilaya ya...mkoa wa... Kazi yangu ni... Dini... Nambari ya simu... Nafurahi kupokea nafasi aliyopata mtoto wangu, nitatekeleza na kutimiza mahitaji yote ya mtoto wangu kulingana na maagizo ya shule. Pia nitahakikisha mtoto anaenda shule kwa muda uliopangwa na nitakuwa tayari wakati wowote kusaidiana na shule kumlea mtoto huyu kinidhamu na kimaadili. Saini ya mzazi/mlezi... Jina la mtendaji wa kijiji/kata... Saini... Mwisho, Karibu sana Shule ya Sekondari MIONO ili ufaidike kwa kupata ELIMU BORA.... ALLY A. MUYANGO MKUU WA SHULE FORM B (PART A) PRESIDENTS' OFFICE LOCAL GOVERNMENT AND REGIONAL ADMINISTRATION MIONO HIGH SCHOOL P.O.BOX 26 TEL: +255 784 369 381 / +255 787 448 383CHALINZE REF.NO:MSS/F.V.SEL/2017/2018/01 TO: THE MEDICAL OFFICER,... RE: REQUEST FOR MEDICAL EXAMINATION TO: Mr. / MISS... FORM 5 2017/2018 Please examine the above named as to his/her physical and mental fitness for full time Schooling course. The Examination should include the following categories [i-iii]. Each category or sub-category of which will render the applicant ineligible in case of a Defect. Pregnancy [category IV] will also render a girl candidate ineligible to the course. (i) (a) Eye 5
(b) Hearing (c) Limbs (d) Speech (e) Venereal disease (s) (f) Leprosy (g) Epilepsy (ii). Neuroses (iii) Other serious diseases (iv) Pregnancy... ALLY A. MUYANGO HEADMASTER... Name, signature & official stamp MEDICAL OFFIER INCHARGE 6