Taarifa ya Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM (Oktoba, 2010 hadi Septemba, 2012) kuhusu Zanzibar SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR

Size: px
Start display at page:

Download "Taarifa ya Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM (Oktoba, 2010 hadi Septemba, 2012) kuhusu Zanzibar SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR"

Transcription

1 SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR Mhe. Dkt. Ali Mohammed Shein Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi TAARIFA YA SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR KUHUSU UTEKELEZAJI WA ILANI YA UCHAGUZI YA CHAMA CHA MAPINDUZI YA MWAKA 2010 KWA KIPINDI CHA MIAKA MIWILI (OKTOBA, 2010 HADI SEPTEMBA, 2012) Imetayarishwa na Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais, Zanzibar Novemba,

2 YALIYOMO SEHEMU YA KWANZA UTANGULIZI:...5 SEHEMU YA PILI HALI YA SIASA: Matukio Makubwa ya Kisiasa Nchini Ukusanyaji wa Maoni ya Wananchi Kuhusu Marekebisho ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kufanyika kwa Uchaguzi Mdogo kwa Majimbo ya Uzini na Bububu Matukio ya Kuvunja Amani Kuimarisha Muungano...11 SEHEMU YA TATU HALI YA UCHUMI WA ZANZIBAR: Ukuaji wa Uchumi Mfumko wa Bei Zanzibar Mapato na Matumizi ya Serikali Utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo...15 SEHEMU YA NNE SEKTA ZA UZALISHAJI MALI Mapinduzi ya Kilimo Mapinduzi ya Ufugaji Mapinduzi ya Uvuvi na Mazao ya Baharini Maliasili Mazingira Utalii Vyama Vya Ushirika...27 SEHEMU YA TANO

3 5.0 SEKTA YA MIUNDOMBINU YA KIUCHUMI Barabara Bandari Usafiri wa Baharini Usafiri wa Anga Umeme Ardhi...34 SEHEMU YA SITA SEKTA ZA HUDUMA ZA JAMII Elimu Elimu ya Maandalizi Elimu ya Msingi Elimu ya Sekondari Elimu Mbadala na Elimu ya Watu Wazima Kuimarisha Huduma za Maktaba Kuendeleza na Kuimarisha Fursa za Elimu ya Juu Kuimarisha Mafunzo ya Ualimu Kuimarisha Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Amali Kuhifadhi Kumbukumbu za Kihistoria na Mambo ya Kale...39 SEHEMU YA SABA AFYA...40 SEHEMU YA NANE MAJI MAKAAZI UENDELEZAJI WA MAMLAKA YA MJI MKONGWE...48 SEHEMU YA TISA MAENEO MENGINE YA KIPAUMBELE Utamaduni na Michezo

4 11.2 Vyombo Vya Habari Majanga na Huduma za Uokozi Madawa ya Kulevya Demokrasia na Utawala Bora Mkurugenzi wa Mashtaka Serikali za Mitaa Vikosi Maalum Vya SMZ...59 SEHEMU YA KUMI KUYAENDELEZA MAKUNDI MBALIMBALI Watoto Vijana Wanawake Wazee Watu Wenye Ulemavu Wafanyakazi...70 SEHEMU YA KUMI NA MOJA MAENEO MENGINEYO MUHIMU: Sekta ya Sheria Mapambano dhidi ya Rushwa...72 SEHEMU YA KUMI NA MBILI CHANGAMOTO: HATUA ZA KUKABILIANA NA CHANGAMOTO:...74 SEHEMU YA KUMI TATU HITIMISHO:

5 SEHEMU YA KWANZA 1. 0 UTANGULIZI: Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar inaendelea kusimamia utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika jitihada za kukuza uchumi na kupunguza umasikini. Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya miaka mitano ( ) unafanyika katika mazingira ya Serikali ya Umoja wa Kitaifa yaliyotokana na mabadiliko ya kikatiba kwa upande wa Zanzibar. Taarifa hii inatoa maelezo na ufafanuzi wa utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM kwa kipindi cha miaka miwili (Oktoba, 2010 Septemba, 2012) tokea kumalizika kwa Uchaguzi Mkuu uliofanyika mwezi Oktoba 2010, uchaguzi ambao Chama Cha Mapinduzi kilishinda. Katika kipindi cha miaka mitano ( ) Chama Cha Mapinduzi kupitia Ilani yake ya uchaguzi kilipanga kuiongoza Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kutekeleza kikamilifu malengo ya Ilani na mipango mbali mbali ya maendeleo kwa kuzingatia muelekeo wa Sera za CCM katika miaka kumi ( ), Malengo ya Maendeleo ya Milenia (MDGs), Dira ya Maendeleo ya Zanzibar (Zanzibar Development Vision 2020) na Mkakati wa Kukuza Uchumi na Kupunguza Umasikini (MKUZA II). Kwa mujibu wa Mwelekeo wa Sera za CCM katika miaka ya 2010 hadi 2020, msisitizo mkubwa bado umewekwa kwenye majukumu makuu mawili, ambayo ni:- (a) (b) kujenga msingi wa uchumi wa kisasa wa Taifa linalojitegemea na kutekeleza Sera ya Uwezeshaji wa Wananchi Kiuchumi. Kupitia majukumu haya makuu mipango na mikakati mbali mbali imeandaliwa na kutekelezwa kwa lengo la kufikia malengo ya Dira ya Maendeleo ya Zanzibar Katika kipindi cha miaka miwili iliyopita ( ), mchakato wa kujenga uchumi wa kisasa ulitekelezwa katika maeneo yafuatayo:- a) Kuleta umoja, mshikamano na maelewano miongoni mwa wananchi wote na jamii kwa ujumla. b) Kuimarisha na kuboresha elimu c) Kuandaa rasilimali watu katika maarifa na mwelekeo 5

6 d) Kuimarisha mapinduzi ya kilimo, ufugaji na uvuvi e) Kuimarisha mapinduzi ya viwanda f) Kuinua matumizi ya maarifa, yaani sayansi na teknolojia katika uchumi wa wananchi. g) Upatikanaji wa nishati yenye uhakika na nishati mbadala. h) Kuimarisha miundombinu ya kiuchumi. Katika kipindi cha miaka miwili ya utekelezaji wa Ilani ya CCM, Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar yenye muundo wa Umoja wa Kitaifa chini ya uongozi mahiri wa, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mheshimiwa Dkt. Ali Mohamed Shein, imeweza kupata mafanikio makubwa ikiwemo kuendeleza mafanikio yaliyopatikana katika awamu zote zilizopita tangu kufanyika Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ya mwaka Katika kipindi hiki, hali ya utulivu wa kisiasa imezidi kuimarika na viongozi na wananchi wanaendelea kushirikiana bila ya kujali itikadi zao za kisiasa. Hali hii ni muhimu kwa maendeleo ya uchumi wa nchi na ustawi wa jamii. Aidha, suala la uwazi na uwajibikaji katika utendaji ndani ya sekta ya umma umeimarika na utawala bora kukuwa. Vilevile, ndani ya kipindi cha miaka miwili hali ya uchumi imezidi kuimarika na mafanikio makubwa yamepatikana katika ukuaji wa uzalishaji, utalii, na kuimarika kwa miundombinu ya kiuchumi na mawasiliano. Thamani ya Pato la Taifa kwa mwaka 2011 imefikia Tsh. bilioni 1,198 ikilinganishwa na thamani ya Tsh. bilioni ya mwaka Ongezeko hili la Pato la Taifa limesababisha mafanikio katika kasi ya ukuaji wa hali ya uchumi wa asilimia 6.8 mwaka 2011 ikilinganishwa na asilimia 6.5 iliyofikiwa mwaka Hali ya ukusanyaji wa mapato nayo imezidi kuimarika. Kwa mwaka wa fedha 2011/2012 Serikali ilipanga kukusanya mapato ya ndani, jumla ya Tsh. bilioni 221 ikiwemo bakaa ya Tsh. Bilioni 4.0 iliyoletwa kutoka mwaka wa fedha 2010/2011. Mapato halisi yaliyopatikana ni Tsh. bilioni 225 sawa na asilimia 102 ya makadirio. Katika kipindi cha mwaka 2010/2011 hadi 2011/2012, Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar iliendelea kutekeleza Mpango wa Maendeleo katika sekta mbali mbali kwa dhamira ya kutekeleza Mkakati wa Kukuza Uchumi na Kupunguza Umaskini Zanzibar (MKUZA II). 6

7 Mkazo mkubwa umewekwa katika maeneo yaliyopewa kipaumbele katika mpango huo sambamba na miradi ambayo inajikita katika kutanzua vikwazo vya ukuaji wa uchumi na kupunguza umaskini. Maeneo yaliyopewa kipaumbele katika mpango huo ni kuimarisha miundombinu ya viwanja vya ndege, bandari na barabara, upatikanaji wa maji safi na salama, afya, elimu, kilimo, mazingira bora ya uwezeshaji wananchi kiuchumi, na kuendeleza tafiti mbali mbali. Aidha, katika kipindi hicho miradi ya maendeleo katika sekta mbali mbali imetekelezwa kwa mafanikio makubwa. Miongoni mwa mafanikio yaliyopatikana ni kuongezeka kwa Pato la Taifa, kuongezeka kwa sekta ya biashara kulikochangiwa na mazao ya biashara hususan zao la karafuu na uendelezaji wa miundombinu ya barabara. Mafanikio mengine ni kuimarika kwa ubora wa elimu kwa kuongezeka kwa madarasa, madawati na vitabu pamoja na waalimu kupatiwa mafunzo ya mbinu bora za kufundishia. Katika kipindi hicho jumla ya skuli mpya tatu za sekondari zimejengwa na kuajiriwa walimu wapya 186. Kwa upande wa sekta ya afya, vifaa muhimu vya chumba cha wagonjwa mahututi (ICU) vilinunuliwa vikiwemo Monitors sita (6), mashine mbili (2) za kumsaidia mgonjwa kupumua (Ventilators), mashine ya kuangalia madini ndani ya mwili (electrolytes analyser), mashine ya kuangalia damu (blood gas analyser), dripu maalum nane (8) (Infusion pumps) na mashine mmoja (1) ya kisasa ya kupimia moyo (ECG machine), pamoja na uwekaji wa mtandao wa hewa safi (Piped Oxygen air vaccum) na kuanza kutumika. Aidha, kutokana na kuimarika kwa huduma za afya, ugonjwa wa malaria nchini unaendelea kudhibitiwa na kubaki chini ya asilimia moja (1%). Aidha, vifo vya akinamama vinavyotokana na uzazi navyo vinaonekana kupungua ingawa kiwango bado ni cha juu. Kati ya akinamama 100,000 wanaojifungua katika hospitali ya Mnazi Mmoja, 284 hufariki kutokana na uzazi. Maradhi ya UKIMWI yapo kwa asilimia 0.6. Ingawa kiwango hiki ni cha chini ikilinganishwa na viwango vya nchi jirani, hali hii hairidhishi na jiihada zaidi za udhibiti zinahitajika. Kiwango cha maambukizi ya UKIMWI kwa makundi maalum bado kinaendelea kuwa cha juu, makundi haya ni pamoja na Watumiaji wa dawa za kulevya, Makahaba na Wanaume Wanaofanya Mapenzi na Wanaume Wenzao. Vile vile, kuimarika kwa upatikanaji wa huduma za maji safi na salama, mijini na vijijini nayo imepunguza kwa kiasi kikubwa maradhi ya miripuko kama vile kipindupindu na 7

8 maradhi mengine ya kuharisha. Uzalishaji wa mazao ya kilimo nao umeongezeka kutokana na kuimarika kwa upatikanaji wa huduma za pembejeo na kuongezeka kwa miundo mbinu ya kilimo cha umwagiliaji maji. Serikali imeimarisha uvuvi wa kisasa kwa wavuvi wadogo wadogo na kufanya utafiti wa viumbe hai adimu vya baharini ili kulinda na kuhifadhi wa mazao ya baharini. Pamoja na mafanikio hayo, utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ulikabiliwa na changamoto mbali mbali zikiwemo: (a) Mfumko wa bei umekuwa ni moja kati ya changamoto kubwa katika uchumi wa Zanzibar. Kasi ya mfumko wa bei wa bidhaa na huduma nchini ilionekana kupanda kutokana na matatizo makubwa matatu, Tatizo la kupanda kwa bei za mafuta na chakula katika soko la dunia Kushuka thamani kwa Sarafu ya Tanzania. Kasi ya mfumko wa bei kwa Zanzibar imepanda hadi kufikia asilimia 14.7 mwaka 2011 ikilinganishwa na asilimia 13.1 mwaka Kuendelea kwa vitendo vya uharamia katika bahari ya hindi. (b) Majanga mbali mbali yaliyoikumba nchi yetu ikiwemo ukame katika baadhi ya maeneo ya Kaskazini mwa kisiwa cha Pemba na matukio ya ajali za baharini yameleta madhara makubwa kwa uchumi na ustawi wa jamii katika nchi yetu. (c) Vitendo vya baadhi ya vikundi vya wananchi kuchochea fujo na vurugu katika jamii kwa visingizio vya dini na siasa vimeleta usumbufu kwa wananchi, kuharibu mali za umma na wananchi pamoja na kuzorotesha kazi za kiuchumi na kijamii. 8

9 2. 0 HALI YA SIASA: SEHEMU YA PILI Hali ya kisiasa Zanzibar tangu kumalizika kwa Uchaguzi Mkuu uliofanyika mwezi wa Oktoba 2010 imeendelea kuwa nzuri na yenye amani na utulivu mkubwa. Viongozi na wananchi wamekuwa wakishirikiana katika shughuli mbali mbali za kiuchumi na kijamii bila ya kujali tofauti zao za itikadi za siasa kinyume na ilivyokuwa huko nyuma. Mafanikio haya ya kisiasa yanatokana na maamuzi sahihi ya viongozi wa Vyama vya CCM na CUF ya kukubali kuanzishwa kwa Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar baada ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka Maamuzi ambayo yaliungwa mkono na wananchi wengi wa Zanzibar kwa kupiga kura ya maoni tarehe 31 Julai, 2010 na kupelekea kufanyika marekebisho ya Katiba ya Zanzibar yaliyopitishwa na Baraza la Wawakilishi la Zanzibar katika Mkutano wake wa 21 uliofanyika tarehe 9 hadi 11 Agosti, Mabadiliko hayo ya Katiba yameanzisha mfumo wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kuwa ya muundo wa Umoja wa Kitaifa ambao unagawa madaraka kwa vyama vya siasa vinavyoshiriki katika Uchaguzi na kupata ridhaa za wananchi kwa kuangalia uwiano wa kura za Rais na idadi ya majimbo kwa vyama hivyo. Kwa mara ya mwanzo katika historia ya kisiasa ya Zanzibar tokea kuanza kwa mfumo wa siasa ya vyama vingi mwaka 1992 Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2010 ulifanyika kwa amani na utulivu mkubwa. Hili ni jambo la kujivunia na hali hii inapaswa kuendelezwa kwa maendeleo ya nchi yetu. 2.1 Matukio Makubwa ya Kisiasa Nchini Ukusanyaji wa Maoni ya Wananchi Kuhusu Marekebisho ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Katika jitihada ya kuimarisha muungano, Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar zimeanzisha mchakato wa Marekebisho ya Katiba, mchakato ambao umeanza kwa matayarisho ya Sheria ya kuweka utaratibu wa kupata Katiba mpya pamoja na kuunda Tume ya Kuratibu maoni ya wananchi kuhusu mabadiliko hayo. Tume hii yenye wajumbe sawa baina ya pande mbili za muungano na yenye uwakilishi wa makundi yote muhimu katika jamii imezinduliwa na kuanza kazi rasmi tarehe 02 Mei,

10 Tume inaendelea na kazi zake za kukusanya maoni ya wananchi kwa ufanisi na kwa ushiriki mkubwa wa wananchi. Hadi kufikia mwishoni mwa mwezi wa Septemba, 2012, tayari maoni yameshakusanywa katika mkoa wa Kusini Unguja na Kusini Pemba. Hivi sasa Tume hiyo inaendelea na kazi yake ya kukusanya maoni katika Mikoa ya Kaskazini Unguja na Kaskazini Pemba na hatimae kumalizia katika Mkoa wa Mjini Magharibi Kufanyika kwa Uchaguzi Mdogo kwa Majimbo ya Uzini na Bububu Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar iliendesha uchaguzi mdogo wa Jimbo la Uzini kwa nafasi ya mjumbe wa Baraza la Wawakilishi kufuatia kifo cha aliyekuwa Mwakilishi wa Jimbo hilo Marehemu Mussa Khamis Silima. Uchaguzi huo ulifanyika tarehe 12 Februari, 2012 na Mhe. Mohamed Raza Dharamsy alishinda nafasi ya Uwakilishi wa Jimbo hilo kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi. Vile vile, Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar iliendesha uchaguzi mdogo wa Jimbo la Bububu kwa nafasi ya mjumbe wa Baraza la Wawakilishi kufuatia kifo cha aliyekuwa Mwakilishi wa Jimbo hilo Marehemu Salum Amour Mtondoo. Uchaguzi huo ulifanyika tarehe 16 Septemba, 2012 na Mhe. Hussein Ibrahim Makungu aliyegombea nafasi hiyo kwa tiketi ya CCM alichaguliwa kuwa Mwakilishi wa Jimbo hilo. Chaguzi zote hizo zilifanyika katika hali ya amani na utulivu na zilikuwa huru na za haki. Tume ya Uchaguzi pia iliendesha uchaguzi mdogo kwa nafasi ya Diwani wa Wadi ya Mwanyanya katika Jimbo la Bububu. Uchaguzi huo ulifanyika tarehe 17 Aprili, 2012 na Bw. Hamza Khamis Juma aliyegombea kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi alishinda na kuwa Diwani wa Wadi hiyo Matukio ya Kuvunja Amani Pamoja na kuwepo kwa amani na utulivu katika nchi yetu, kulijitokeza vikundi vya baadhi ya wananchi ambavyo vilijipanga kufanya vurugu na kuchochea ghasia kinyume na misingi ya demokrasia. Vikundi hivi vilikuwa vikiandaa mihadhara waliyodai ya kidini na kufanya maandamano bila kupata kibali wakidai ifanyike kura ya maoni kuhusu kuendelea au kutoendelea kuwepo kwa Muungano. Mihadhara na maandamano hayo yalipelekea kufanyika kwa vurugu baina ya tarehe 26 Mei, hadi 28 Mei 2012 na kusababisha uharibifu mkubwa wa mali za Serikali na wananchi na nyumba za ibada na kuwakatisha wananchi kuendelea na 10

11 shughuli zao za kawaida za kujitafutia riziki kwa ajili ya kimaendeleo na maisha yao. Tokeo kama hilo lilitokea tena tarehe 20 Julai, Kutokana na busara kubwa za Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Ali Mohamed Shein na kutoa miongozo yake ya hekima, vurugu hizo zilidhibitiwa bila ya kutokea madhara makubwa ya mali na maisha ya watu. Hata hivyo, vurugu hizo zilitokea tena tarehe 17 Oktoba hadi tarehe 19 Oktoba, 2012 ambapo Maskani kadhaa za CCM zilichomwa moto na askari mmoja wa FFU kuuwawa katika maeneo ya Bububu wakati akirudi kutoka kazini. Mpaka hivi sasa watu tisa (9) wamekamatwa wakihusishwa na vurugu hizo, hasa pale ilipodaiwa kuwa Sheikh Farid alikuwa ametekwa na vyombo vya Dola jambo ambalo halikuwa la kweli. 2.2 Kuimarisha Muungano Muungano ndio kielelezo kikuu cha udugu, umoja na mashirikiano baina ya pande mbili za Muungano. Muungano imara una umuhimu mkubwa kwa ustawi wa uchumi na maendeleo ya kisiasa na kijamii katika nchi yetu. Pamoja na changamoto zilizopo, bado muungano ni imara na unahitajika kudumishwa kwa faida ya wananchi wa pande zote mbili. Katika jitihada za kuimarisha Muungano, juhudi mbalimbali zinaendelea kuchukuliwa ikiwa ni pamoja na kufanyika vikao vya mashirikiano vya kisekta kwa Wizara za SMT na SMZ katika ngazi za watendaji, Makatibu Wakuu na Mawaziri. Katika kipindi cha miaka miwili iliyopita, jumla ya vikao 23 vya kisekta vimefanyika. Lengo la vikao hivi ni kujadili kwa pamoja changamoto zilizopo katika Muungano. Aidha, vikao mbali mbali vya kuzidisha mashirikiano baina ya sekta zisizo za Muungano vinaendelea kufanyika. Miongoni mwa hoja ziliyojadiliwa katika vikao hivyo ni:- (a) Malalamiko ya wafanyabiashara wa Zanzibar kutozwa kodi mara mbili (b) Mgawanyo wa mapato yatokanayo na misaada kutoka nchi za nje (c) Usajili wa vyombo vya moto (d) Ufunguzi wa Akaunti ya Pamoja kwa ajili ya matumizi ya Mamlaka ya Uvuvi katika Ukanda wa Bahari Kuu (e) Ajira kwa watumishi wa Zanzibar katika taasisi za Muungano (f) Ongezeko la gharama za umeme kutoka TANESCO (g) Uvuvi katika Ukanda wa Bahari Kuu 11

12 (h) Ushirikiano wa Zanzibar na Taasisi za Nje Katika kipindi cha miaka miwili ( ), Kamati ya Pamoja ya Kushughulikia Kero za Muungano chini ya Mwenyekiti wake Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imefanya kikao kimoja. Aidha, katika juhudi za kuimarisha muungano Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar zinaendelea kushirikiana katika kuweka mazingira mazuri ya ukusanyaji wa maoni ya wananchi kuhusu marekebisho ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Pia, SMT na SMZ zinaendelea kushirikiana katika kutekeleza miradi ya maendeleo ya muungano. Miradi hiyo ni pamoja na mradi wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF), Mradi wa Hifadhi ya Bahari na Ukanda wa Pwani (MACEMP) na Mradi wa Miundombinu ya Masoko na Kuongeza Thamani (MIVAP). 12

13 SEHEMU YA TATU 3.0 HALI YA UCHUMI WA ZANZIBAR: Malengo makuu ya mwelekeo wa sera za CCM katika miaka ya 2010 hadi 2020 ni kuwa na mkakati wa kujenga msingi wa uchumi wa kisasa wa Taifa linalojitegemea (modernization). Mkazo zaidi umewekwa katika kuendeleza sekta za kijamii na kiuchumi, ikiwemo Elimu ya Kisasa, Sayansi na Teknolojia, Biashara na Utalii, Maendeleo ya Kilimo, Maendeleo ya Ufugaji, Uvuvi, Viwanda Miundombinu, Nishati, Ardhi, Nyumba na Makaazi. Katika kipindi cha , uchumi wa Zanzibar umeonesha mafanikio makubwa katika ukuaji wake hasa katika maeneo ya uzalishaji, utalii, miundombinu ya kiuchumi na mawasiliano licha ya kukabiliwa na changamoto mbali mbali zikiwemo za mfumko wa bei uliosababishwa na ongezeko la bei za mafuta na chakula na kushuka kwa thamani ya sarafu ya Tanzania. Vile vile, katika kipindi hiki, Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imeweza kukamilisha mapitio na marekebisho ya Dira ya Zanzibar ya Maendeleo ya Mapitio ya Dira hiyo yamedhihirisha kuwa kumekuwepo na maendeleo katika sekta za jamii hususan elimu na afya pamoja na kupatikana kwa uhuru wa kujieleza, uwajibikaji na utulivu wa kisiasa nchini. Aidha, utayarishaji wa Mpango wa Miaka Mitano wa Utekelezaji wa MKUZA II, Mpango Mkuu wa Ufuatiliaji wa MKUZA II na Tathmini ya Hali ya Mahitaji ya Wataalamu Nchini nao umekamilika. Serikali imetayarisha Mpango wa miaka mitano wa Utekelezaji wa MKUZA II ili uwe muongozo rahisi utakaoiwezesha Serikali na wadau wengine kutekeleza kwa pamoja mikakati, Programu na miradi ya Maendeleo. 3.1 Ukuaji wa Uchumi Mwenendo wa uchumi wa Zanzibar kwa ujumla ni wa kuridhisha licha ya kuweko kwa changamoto ya kuongezeka kwa mfumko wa bei kwa bidhaa hasa za chakula, ongezeko la bei za mafuta na kukosekana kwa umeme wa uhakika. Thamani ya Pato la Taifa kwa mwaka 2011 imefikia Tsh. bilioni 1,198 ikilinganishwa na thamani ya Tsh. bilioni mwaka Ongezeko hili la Pato la Taifa limesababisha mafanikio katika kasi ya ukuaji wa hali ya uchumi kwa asilimia 6.8 mwaka 2011 ikilinganishwa na asilimia 6.5 ya mwaka Katika 13

14 kipindi cha miaka mitano mambo yafuatayo yamechangia ongezeko la Pato la Taifa: (a) Kuimarika kwa sekta ya biashara kulikochangiwa zaidi na mazao ya kibiashara hasa karafuu. Ukuaji wa sekta hii umeongezeka kufikia asilimia 21.9 mwaka 2011 kutoka asilimia 7.5 mwaka (b) Ongezeko la uwekezaji rasilimali kwa asilimia kutoka TZS 108,321 millioni mwaka 2007 hadi kufikia TZS 183,201 milioni mwaka Ongezeko hili limetokana na miradi ya ujenzi wa nyumba za kuishi na za biashara, ujenzi wa barabara na madaraja na uwekezaji katika zana za usafiri. (c) Kuimarika kwa vivutio vya utalii kumepelekea kuongezeka kwa shughuli za hoteli na mikahawa kutoka asilimia 4.5 mwaka 2007 hadi kufikia asilimia 10.2 mwaka Vile vile, idadi ya watalii imekuwa ikiongezeka kutoka asilimia 4.5 mwaka 2007 hadi kufikia asilimia 31.8 mwaka (d) Kuimarika kwa shughuli za kilimo kutoka ukuaji wa asilimia 0.4 mwaka 2007 hadi kufikia asilimia 2.7 mwaka 2011, ukuaji huu umetokana zaidi na ukuaji wa sekta ndogo za uvuvi na mazao ya baharini. Pamoja na ukuaji mzuri wa Pato la Taifa, uchumi wa Zanzibar katika kipindi kinachotolewa taarifa ulikabiliwa na changamoto za ukame wa muda mrefu, kukosekana kwa umeme wa uhakika na upungufu wa kiwango cha misaada kilichoahidiwa na washirika wa Maendeleo kwa utekelezaji wa miradi na programu za maendeleo. 3.2 Mfumko wa Bei Zanzibar Mfumko wa bei umekuwa ni moja kati ya changamoto kubwa katika uchumi wa Zanzibar. Kasi ya mfumko wa bei wa bidhaa na huduma nchini ilionekana kupanda kutokana na matatizo makubwa mawili, (a) tatizo la kupanda kwa bei za mafuta na chakula katika soko la dunia na (b) kuporomoka kwa Sarafu ya Tanzania. Kasi ya mfumko wa bei kwa Zanzibar imepanda hadi kufikia asilimia 14.7 mwaka 2011 ikilinganishwa na asilimia 13.1 mwaka Kwa ujumla bei za bidhaa za chakula ziliongezeka kutoka asilimia 16.1 mwaka 2007 na kufikia asilimia 18.2 mwaka 2011, na bidhaa zisizo za vyakula bei ziliongezeka hadi kufikia asilimia 9.9 mwaka 2011 ikilinganishwa na asilimia 9.5 mwaka Mapato na Matumizi ya Serikali 14

15 Kwa mwaka wa fedha 2011/2012 Serikali ilipanga kukusanya mapato ya ndani yenye jumla ya Tshs. bilioni 221 ikiwemo bakaa ya Tshs. bilioni 4.0 iliyoletwa kutoka mwaka wa fedha 2010/2011. Mapato halisi yaliyopatikana yalifikia Tshs. bilioni 225 ambayo ni sawa na asilimia 102 ya makadirio. Katika mapato hayo Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB) ilikusanya jumla ya Tshs. bilioni sawa na asilimia 106 ya makadirio ya Tshs. bilioni Mapato yaliyokusanywa na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania (TRA) Zanzibar yalifikia Tshs. bilioni 96.6 sawa na asilimia 96 ya makadirio ya Tshs. bilioni Kukosekana kufikiwa kwa lengo la TRA Zanzibar la kukusanya Tshs. bilioni kumesababishwa na kutokuingizwa fedha za mapato ya PAYE kwa wafanyakazi wa Serikali ya Muungano Tanzania wanaofanya kazi hapa Zanzibar kama ilivyokubaliwa. Mapato ya Mawizara yalifikia jumla ya Tshs. bilioni 119 sawa na asilimia 116 ya makadirio ya Tshs. bilioni 10.2 mapato haya yanajumuisha Tshs. bilioni 7.7 zilizopokelewa kama ni gawio kutoka BOT. Aidha, fedha zilizopokelewa kama ni misaada ya kibajeti (GBS) zilifikia jumla ya Tshs. bilioni 32.6 sawa na asilimia 108 ya makadirio ya Tshs. bilioni 30.3 na TZS bilioni ni misaada na mikopo kutoka kwa Washirika wa Maendeleo kwa ajili ya Program na miradi mbali mbali ya Maendeleo. Fedha hizi ni sawa na asilimia 33 ya makadirio ya Tshs. bilioni Pia Serikali ilipokea mkopo wa muda mrefu kutoka Mfuko wa Hifadhi ya Jamii (ZSSF) wenye thamani ya TZS bilioni sawa na asilimia 60 ya makadirio ya TZS Kwa upande wa Miradi ya Maendeleo, Serikali ilichangia Tshs. bilioni 34.4 sawa na asilimia 90 ya makadirio ya Tshs. bilioni 37.9 na jumla ya Tshs. bilioni zilichangiwa na Washirika wa Maendeleo kwa ajili ya Programu na miradi ya Maendeleo. 3.4 Utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo Katika mwaka 2011/2012, Serikali ya Mapinduzi Zanzibar iliendelea kutekeleza Mpango wa Maendeleo katika sekta mbalimbali kwa dhamira ya kutekeleza Mkakati wa Kukuza Uchumi na Kupunguza Umaskini Zanzibar (MKUZA II). Mkazo mkubwa katika mpango huo ulizingatia maeneo yaliyopewa kipaumbele sambamba na miradi ambayo inajikita katika kutanzua vikwazo vya ukuaji wa uchumi na kupunguza umaskini. Maeneo yaliyopewa kipaumbele katika mpango huo ni kama vile; kuimarisha miundo mbinu ya uwanja wa ndege, barabara, 15

16 upatikanaji wa maji safi na salama, afya, elimu, kilimo, mazingira bora ya uwezeshaji wananchi kiuchumi, na kuendeleza tafiti mbalimbali. Aidha, katika mwaka 2011/2012 kulikua na miradi ambayo ilikua ikitekelezwa kwenye sekta mbalimbali na mafanikio yaliyopatikana ni pamoja na; kuongezeka kwa Pato la Taifa, kuongezeka kwa sekta ya biashara kulikochangiwa na mazao ya biashara hususan zao la karafuu na uendelezaji wa miundombinu ya barabara. Mafanikio mengine ni kuimarisha ubora wa elimu kwa kuongeza madarasa na madawati, skuli mpya tatu za sekondari na kuajiri walimu 186. Aidha, kwa upande wa afya, vifaa mbali mbali vya chumba cha wagojwa mahututi vilinunuliwa, kupungua kwa vifo vya akinamama vinavyotokana na uzazi; kuongezeka kwa kiwango cha upatikanaji maji safi na salama, kuongezeka kwa miundo mbinu ya umwagiliaji, kuzalisha na kusambaza mbegu za kilimo cha mpunga (NERICA) kwa wakulima wa shehia 230, kuwapatia mafunzo mabwana shamba 183 na maafisa wilaya 18, na kuweka mazingira bora ya awali ya uwezeshaji wananchi kiuchumi. Ndani ya kipindi hicho cha 2011/2012, Serikali ilifanikiwa kufanya tafiti mbalimbali ikiwemo utafiti wa mbegu za mpunga, uchunguzi wa udongo, na udhibiti wa wadudu waharabifu wa mazao aina ya chonga. 16

17 SEHEMU YA NNE 4.0 SEKTA ZA UZALISHAJI MALI 4.1 Mapinduzi ya Kilimo Kwa kutambua umuhimu na mchango wa sekta ya kilimo katika kujenga msingi wa uchumi wa kisasa, Ilani ya Uchaguzi ya CCM imeelekeza Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kuimarisha Mapinduzi ya kilimo kwa kutekeleza Sera na Programu mbalimbali za Kilimo. Lengo kuu ni kuongeza uzalishaji na tija na kumuongezea mkulima kipato na kuhakikisha familia na Taifa zinakuwa na uhakika wa chakula wakati wote. Katika kufikia azma hiyo, Serikali imetoa mafunzo ya uzalishaji bora kwa wakulima kupitia vikundi 205 vipya na 180 vya zamani. Jumla ya wakulima 15,411 wamenufaika na mafunzo hayo. Kwa madhumuni ya kujifunza na kubadilishana mawazo jumla ya wakulima na wafugaji 34 kutoka Zanzibar walifanya ziara ya kwenda kwenye maonesho ya wakulima Dodoma. Serikali kwa kupitia Programu ya Huduma za Kusaidia Wakulima (ASSP) inaendelea kutoa taaluma kwa njia ya mafunzo kupitia mashamba Darasa 260 (Farmers Field Schools) Unguja na Pemba. Kwa kutilia mkazo kilimo cha kisasa jumla ya tani 345 za mbolea aina ya UREA na 245 za TSP zimenunuliwa na kuuzwa kwa wakulima wa Unguja na Pemba. Aidha, Serikali imenunua jumla ya Matrekta 10 mapya na matrekta 27 ya zamani yamefanyiwa matengenezo na kutumika. Pia mashine 14 za kuvunia mpunga zimenunuliwa na kupatiwa msaada wa matrekta madogo 50 (power tillers) kutoka Iran. 17

18 Baadhi ya Matrekta yaliyonunuliwa kwa kuimarisha kilimo cha kisasa Katika jitihada za kuimarisha uhakika wa chakula na lishe nchini pamoja na kutekeleza Sera ya Uhakika wa Chakula na Lishe ya mwaka 2008, Serikali imeanzisha Mpango wa Hifadhi ya Chakula wa Taifa na kuanzisha kamati za kushughulikia suala la uhakika wa chakula na lishe za Taifa, Wilaya na Shehia. Mheshimiwa Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi akizindua Kamati ya Uhakika wa Chakula na Lishe Taifa katika Hoteli ya Bwawani Zanzibar. 18

19 Katika jitihada za kuimarisha kilimo cha umwagiliaji maji Serikali imetengeneza miundombinu ya umwagiliaji maji katika mabonde ya kilimo cha mpunga Unguja na Pemba yenye ukubwa wa hekta 88 na hivyo kufanya eneo lililoendelezwa kwa kilimo cha umwagiliaji maji kufikia jumla ya hekta 750. Serikali inaendelea kuwapatia mafunzo jumla ya vijana 86 katika Chuo cha Kilimo Kizimbani katika ngazi ya cheti kwa nia ya kuongeza wataalamu bora vijijini kwa kada mbali mbali za kilimo. Aidha, Chuo Cha Kilimo Kizimbani kimepata usajili rasmi wa vyuo (NACTE). Kwa lengo la kuiimarisha Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Kizimbani, Sheria ya uanzishwaji wa Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Zanzibar imekamilika. Ili Kuendeleza utafiti wa mbegu bora za mazao ya chakula, biashara na mboga mboga, Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Kizimbani imeendelea kufanya utafiti wa mbegu za mazao ya muhogo, viazi, minazi na mazao ya viungo katika vituo vya Bambi, Kijichi, Selem, Kizimbani, Makunduchi kwa Unguja na Matangatuani Pemba. Aidha, eneo la eka moja limefanyiwa majaribio kwa mbegu za aina ya NERICA katika vituo vya Mwera na Kizimbani na kuwapatia mbegu hizo wakulima 20 kwa kuzizalisha. Vilevile, hekta 5 zimetayarishwa kwa uzalishaji wa mbegu bora na kuandaa majaribio mbalimbali ya zao la muhogo, viazi vitamu na viazi vikuu. Pia mbegu mpya 25 kati ya 60 za mpunga kutoka Kampuni ya mbegu ya Hubei ya China zimefanyiwa majaribio. Mheshimiwa Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi akivuna mpunga katika bonde 19

20 la Cheju Kazi ya ukusanyaji wa takwimu mbali mbali katika mashamba ya utafiti na uzalishaji wa mbegu mpya kupitia kwa wakulima 120 wa muhogo inaendelea. Vilevile mashamba ya majaribio ya muhogo na viazi vikuu kwa ngazi ya kituo na kwa wakulima binafsi yametayarishwa. Mheshimiwa Balozi Seif Ali Iddi, Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar akikagua shamba la mihogo lililopo Kinumoshi, Unguja Ili kuendeleza na kuongeza uzalishaji wa zao la nazi, Serikali inaendelea kuwapatia wakulima miche bora ya minazi na taaluma ya kilimo bora kwa zao hilo. Aidha, katika hatua ya kuendeleza uzalishaji wa miche bora ya matunda na viungo, Serikali kupitia Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Kizimbani imeweza kuzalisha miche mbali mbali ya mazao ya matunda na viungo ikiwemo milimau, michungwa, midimu, mishokishoki, mihiliki, mipea na mdalasini na kuwapatia wakulima. Ili kuhakikisha kuwa wakulima wanatumia mbegu bora, Serikali inaedelea uzalishaji wa mbegu bora za nafaka. Katika jitihada za kudhibiti nzi waharibifu wa matunda, jumla ya mitego 32,567 (Unguja 21,567 na Pemba 11,000) imesambazwa kwa wakulima katika Wilaya nane (8) za Unguja na Pemba. Kwa lengo la kutoa huduma za utibabu wa mimea na ukaguzi wa mazao na karantini, kazi za udhibiti wa waingizaji bidhaa kinyume na utaratibu zinaendelea kuimarishwa katika Wilaya zote Unguja na Pemba. 20

21 Katika kuendeleza kilimo cha mikarafuu, jumla ya miche 186,000 (Unguja 56, 000 na Pemba 130,000) imeoteshwa na kutolewa kwa wakulima bila ya malipo. Aidha, Elimu ya kuendeleza zao la karafuu imetolewa kwa Wilaya tatu (3) (Unguja) na Wilaya nne (4) (Pemba), kila Wilaya wakulima 25. Kutokana na kuingia kwa maji ya chumvi kutoka baharini katika mashamba ya wakulima, Serikali kwa kushirikiana na Mradi wa TASAF imejenga tuta la udongo lenye urefu wa mita 800 ili kuzuia maji ya chumvi kuvamia eneo la mashamba ya Mziwanda na Koowe Pemba. Maeneo mengine yaliyojengwa matuta kama hayo ni Tumbe na Kengeja/Kwajibwa. Kutokana na ujenzi wa matuta hayo, jumla ya hekta 80 zimeweza kuokolewa na uvamizi wa maji ya chumvi ambapo jumla ya wakulima 817 wanatumia maeneo hayo kwa kilimo cha mpunga. Mheshimiwa Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi akikagua tuta la udongo lenye urefu wa mita 800 katika eneo la mashamba ya Mziwanda na Koowe lililojengwa na wanancni kupitia Mradi wa TASAF 5.0 Mapinduzi ya Ufugaji Ili kuleta mapinduzi ya Ufugaji nchini Chama Cha Mapinduzi kupitia Ilani ya uchaguzi ya mwaka imeiagiza Serikali yake kusimamia utekelezaji wa Sera na Sheria ya Mifugo pamoja na programu za miradi mbalimbali zitakazowezesha wafugaji wadogo kuendeleza ufugaji wa kisasa. Aidha, Ilani imeagiza kuendeleza kazi za utafiti na upandishaji wa ng ombe kwa njia ya sindano na kuendeleza huduma za ufugaji na huduma za kinga na tiba ya mifugo. 21

22 Serikali kupitia program ya kuimarisha huduma za mifugo ASDP-L, imetoa taaluma ya ufugaji bora kwa vikundi 155 vipya vya skuli za wafugaji na 180 vya zamani Unguja na Pemba. Aidha, Serikali imetoa elimu kwa wafugaji na kufanya ziara ya kuwatembelea wafugaji 3,020 kwa kuwapa ushauri wa kitaalamu. Makundi yaliyopatiwa ushauri ni pamoja wafugaji wa kuku na wazalishaji wa vifaranga, wafugaji wa ng ombe wa maziwa, wafugaji wa mbuzi na vyama vya wafugaji. Vile vile, wananchi wanaotarajia kuwekeza katika ufugaji wa ng ombe, mbuzi na kuku walitembelewa na kupatiwa ushauri wa awali. Pia, mafunzo yametolewa kwa ushirika wa ufugaji wa ng ombe wa maziwa JUWAPO wa Fuoni na ushirika wa UNGALIPO wa Chaani pamoja na baadhi ya wafugaji wengine. Katika kuimarisha utoaji wa huduma za chanjo kwa mifugo, chanjo dhidi ya maradhi ya mahepe kwa kuku wa kienyeji katika wilaya tano za Unguja ikijumuisha shehia hamsini (50) zimetolewa. Aidha, huduma za kupandisha ng ombe kwa sindano zinaendelea na jumla ya ng ombe 2,011 wamepandishwa kwa njia ya sindano. Ufugaji bora wa ng ombe wa kisasa unamchango mkubwa katika umaskini wafugaji 22 kuwapunguzia

23 Serikali inaendelea kutoa huduma za kinga na tiba ya mifugo. Aidha, Serikali imekamilisha ukarabati wa vituo vya kutoa huduma za mifugo Pemba na kwa upande wa Unguja vituo vimo katika hatua ya mwisho kumalizika. Ukarabati wa maabara Unguja umekamilika. 6.0 Mapinduzi ya Uvuvi na Mazao ya Baharini Kwa lengo ka kuimarisha uvuvi wa kisasa na kulinda mazao ya baharini, Serikali imetoa mafunzo kwa wavuvi wadogo wadogo ili kudhibiti uharibifu wa mazingira ya baharini na kuwapatia vifaa vya kisasa vya uvuvi zikiwemo boti na mashine, nyavu, mishipi, madema pamoja na majokofu ya kuhifadhia samaki pamoja na kutoa taaluma ya ufugaji wa samaki kwa vikundi 16. Aidha, Serikali imeendelea kutekeleza mradi wa MACEMP pamoja na kuendeleza maeneo ya hifadhi ya ukanda wa pwani ya Mnemba Chwaka, Mkondo wa Pemba na kuongeza maeneo mapya ya Tumbatu, Bawe na Menai. Vilevile, wakulima wa mwani wameendelezwa ikiwa ni pamoja na kuwapatia vifaa vya kulimia mwani na mafunzo. Serikali imekamilisha utafiti wa viumbe hai adimu vya baharini ulioainisha kuwepo kwa pomboo 136, aina ya Bottleneck na pomboo 63 aina ya Humback. Hata hivyo, bado uchambuzi wa utafiti huo unaendelea na inatarajiwa kutolewa tathmini rasmi ya viumbe hao mara tu baada ya kukamilika kwa uchambuzi wa utafiti huo. 7.0 Maliasili Katika kuendelea na Uhifadhi wa misitu ya asili ikiwemo ya koko na ya juu, Serikali imefanya doria kwenye Misitu ya asili na mikoko katika maeneo ya Bwejuu, Bumbwini, Charawe, Kisakasaka, Fuoni Kibondeni, Mungoni, Pete na Kikungwi kwa Unguja na Pujini, Vitongoji, Micheweni na Mkia wa Ng ombe kwa Pemba pamoja na kutoa mafunzo ya upandaji wa mikoko/mikandaa na uhifadhi wake. Katika maendeleo ya uhifadhi wa wanyama pori, Serikali imefuatilia kwa kina maisha na mwenendo wa wanyama wanaohifadhiwa ambao ni adimu duniani na ni vivutio vya utalii nchini. Ufuatiliaji huo ambao umefanywa katika misitu ya Jozani, Kiwengwa pamoja na Hifadhi ya Jamii katika ukanda wa Kusini Unguja, una nia ya kujua idadi yao. Wanyama waliopatikana na kuhesabiwa ni Kimapunju 1,700 na Paa Nunga 400 kwa Unguja, na kwa upande wa Pemba, jumla ya Popo 28,778 walihesabiwa. 23

24 Katika kuendelea na udhibiti wa hifadhi ya misitu ya Jozani-Unguja na Ngezi-Pemba, Serikali inaendelea na kazi za kuimarisha doria katika maeneo hayo. Serikali pia imeandaa makubaliano ya usimamizi wa rasilimali za misitu kwa vikundi 45 vya jamii vya utunzaji misitu. Serikali inaendelea kutoa elimu ya umuhimu wa upandaji miti katika maeneo ya wananchi na mashambani ili kupunguza athari ya tabianchi. Jumla ya miche 500,000 ya misitu na matunda imepandwa Unguja na Pemba katika maeneo mbali ya mashamba ya wananchi. Miongoni mwa miche hiyo, 20,000 ilipandwa katika siku za maadhimisho ya Upandaji miti Kitaifa. Serikali pia, inaendelea kushajiisha wananchi juu ya utumiaji wa gesi itokanayo na samadi ya ng ombe. Serikali kupitia wataalamu wake wanaendelea kufanya ziara za kuwatembelea wafugaji kila baada ya muda kwa ajili ya kuwapatia taaluma na ushauri juu ya matumizi ya nishati hiyo. 8.0 Mazingira Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka imeiagiza Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kuandaa Sera ya Mazingira na kusimamia utekelezaji wake, kuwaelimisha wananchi juu ya umuhimu wa utunzaji wa mazingira na kuimarisha ukaguzi katika maeneo ya makaazi, sehemu za kazi, viwanda na mahoteli. Aidha, Serikali imetakiwa kufanya mapitio ya miradi ya vitega uchumi ili kuangalia masuala ya mazingira na kupendekeza hatua za utekelezaji. Katika kuandaa Sera ya Mazingira na kusimamia utekelezaji wake, Serikali imeifanyia mapitio Sera ya Mazingira ya mwaka 1992 ili kwenda sambamba na mabadiliko yaliopo. Serikali vilevile imeandaa Mpango wa Usimamizi wa Ukanda wa Pwani pamoja na kanuni za usimamizi wa rasilimali za ukanda huo. Aidha, katika kuhifadhi mazingira ya nchi yetu, Serikali imehamasisha wananchi kupanda miti katika maeneo mbalimbali ya mjini na mashamba. Jumla ya miti 17,000 ilipandwa katika maeneo ya Uwandani - Chake Chake, Chokaani Mkoani, Mkele Micheweni na barabara ya Wete - Gando kisiwani Pemba. Katika kusimamia athari za mabadiliko ya tabianchi, Serikali imeweka utaratibu maalum wa kuziwezesha taasisi za Serikali na zisizo za Serikali (NGOs) kushirikiana kwa karibu katika suala la kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi. Serikali pia imeunda kamati za uongozi za kitaalamu ili kushughulikia jambo hilo. 24

25 Katika kuhakikisha masuala ya mazingira yanazingatiwa vyema katika miradi ya vitega uchumi na maendeleo, jumla ya miradi 182 imefanyiwa mapitio ya taarifa zake pamoja na ukaguzi. Miradi hiyo inajumuisha utalii, barabara, mikahawa na mahoteli Jumla ya vipindi 14, makala mbili (2) na filamu fundishi mbili (2) na mikutano 15 imefanyika katika jitihada za kuielimisha jamii juu ya usimamizi wa mazingira. Vipindi hivyo vimehusu marufuku na athari za matumizi ya mifuko ya plastiki, matumizi ya maliasili zisizorejesheka, usimamizi wa mazingira ya ukanda wa pwani (Intergrated Costal Zone Management), matumizi ya bidhaa chakavu za umeme na elektroniki na mabadiliko ya tabianchi (climate change). 9.0 Utalii Zanzibar ni miongoni mwa visiwa vyenye historia na vivutio vya utalii. Ili kuendeleza sekta ya utalii na kuifanya itoe mchango mkubwa zaidi katika uchumi wa Zanzibar na maendeleo ya wananchi kwa jumla, katika kipindi cha miaka mitano ( ), ILANI ya CCM iliiagiza Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kusimamia utekelezaji wa Sera, Sheria na mpango Mkuu wa Utalii, kuitangaza Zanzibar katika masoko mapya hasa ya Asia, kuibua maeneo mapya ya vivutio vya utalii, kuziendeleza jumuiya za watembezaji na wasafirishaji watalii pamoja na kuhamasisha wananchi kuendeleza miradi ya uzalishaji mali. Pia Serikali imedhamiria kukiimarisha Chuo cha Maendeleo ya Utalii kwa kuboresha miundo mbinu yake ikiwa pamoja na kuandaa Dira ya Chuo, viwango vya elimu na huduma kwa wanafunzi. Serikali imeendelea kuitangaza Zanzibar juu ya vivutio vyake vya utalii kupitia maonyesho ya World Travel Market (WTM) nchini Uingereza na BIT huko Milan Italia, ITB Mjini Berlin na Saba Saba Dar es Salaam. Aidha, Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imeshiriki katika mkutano wa Jumuiya ya Afrika Mashariki nchini Kenya na kuadhimisha siku ya Utalii duniani. Vile vile, Serikali imezindua kampeni ya dhana ya Utalii kwa wote kwa kuzitaka taasisi na watu wote kushiriki na kunufaika na Utalii. Zanzibar imechaguliwa kuwa mshindi katika award ya utalii nchini Urusi (Annual Russian Tourism award, Star Travel.ru 2011). Serikali imekubaliana na kampuni mbili za Kichina Guanghoung Travel Services na Kampuni ya Travel Abroad Online, kuleta watalii kwa makundi hapa Zanzibar. Aidha, Serikali 25

26 imefanya mazungumzo ya awali na kampuni ya DISALVAMENTO kutoka nchini Italia ili kufufua mbio za marathon. Pia, Serikali imeanzisha mfumo wa ukusanyaji wa takwimu T-stats software ili kurahisisha upatikanaji wa takwimu sahihi za Utalii kwa maendeleo ya nchi, kwa kushirikiana na Jumuiya ya wawekezaji katika Sekta ya Utalii Zanzibar (ZATI) chini ya ufadhali wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP). Jumla ya wafanyakazi wanane (8) walipatiwa mafunzo ya utumiaji wa mtandao huo katika kuhifadhi na kufanya uchambuzi wa takwimu za utalii. Serikali imefanya utafiti wa uingiaji wa wageni kwa Zanzibar katika mwezi wa Novemba, Matokea ya utafiti huo yanaonesha kuongezeka kwa idadi ya wageni kutoka 119,365 kwa mwaka 2010/2011 hadi kufikia 141,546 mwaka 2011/2012 kutoka masoko ya zamani na yale chipukizi hali iliyopelekea ukuaji wa uingiaji wa wageni nchini kwa asilimia 16. Ongezeko la wageni linaonekana katika jadweli Nam.1. Jadweli Nam.1: Uingiaji wa Wageni Julai, Septemba, 2011 Mwezi 2010/ /2012 Ongezeko Asilimia (%) 26 Julai 13,422 17,944 4, Agosti 16,357 22,062 5, Septemba 12,071 14,898 2, Oktoba 11,365 13,625 2, Novemba 11,507 14,355 2, Disemba 18,638 21,320 2, Januari 18,504 18, Febuari 17,501 18,

27 JUMLA 119, ,546 22, Chanzo: Kamisheni ya Utalii Zanzibar, Katika jitihada za kuimarisha Chuo cha Maendeleo ya Utalii, Serikali imefanya mapitio ya Mitaala ya chuo ili iendane na hali ya soko la Utalii na kuwajengea uwezo wakufunzi katika mbinu bora za kufundishia. Aidha, Serikali imejenga jengo jipya na kufanya ukarabati mkubwa wa majengo mbalimbali na miundombinu ya Chuo Vyama Vya Ushirika Ili kuendeleza ushirika, katika kipindi cha miaka mitano ijayo ( ), CCM kupitia Ilani yake ya uchaguzi imeielekeza Serikali kusimamia utekelezaji wa Sheria ya Vyama vya Ushirika na programu mbalimbali za kuendeleza sekta ya ushirika na kusajili vyama vipya vya ushirika na kuendeleza ukaguzi wa vyama vya ushirika. Aidha, Serikali imeagizwa kuendeleza mafunzo ya uendeshaji wa vyama vya ushirika. Kwa lengo la kuimarisha vyama vya ushirika, Serikali inakamilisha Sera na sheria ya Ushirika ili kuvifanya vyama vya ushirika Zanzibar viwe imara, vyenye kujitegemea na viendane na wakati. Katika jitihada za Serikali za kuwawezesha wananchi kiuchumi, jumla ya wananchi 1,526 (Unguja 1,252 na Pemba 274) wameshajiishwa kujiunga na Vyama vya Ushirika (wanaume 748 na wanawake 778). Aidha, jumla ya vyama vya ushirika 228 Unguja (125) na Pemba 27

28 (103) vimesajiliwa. Serikali imetoa mafunzo ya mwanzo kwa vikundi vya ushirika 99 (Unguja 88 na Pemba 11) na kuvifanyia ukaguzi vyama vya ushirika 118. Aidha, yametolewa mafunzo kwa Viongozi 318 (wanawake 187 na wanaume 131), wanachama 679 (wanawake 545 na wanaume 134) kutoka kwenye vyama vya Ushirika 128 Unguja na Pemba. Mafunzo hayo yalikuwa juu ya uendeshaji wa Vyama vya Ushirika, ujasiriamali, utunzaji wa vitabu vya hesabu, dhana na falsafa ya uongozi, dhana ya ushirika, haki na wajibu. Vile vile, mafunzo ya uanzishwaji, uendeshaji na usimamizi wa SACCOS Bank kwa benki saba za SACCOS zilizopo Pemba yamefanywa. Katika hatua nyengine ya uwezeshaji wananchi kiuchumi, Serikali Kupitia Mfuko wa Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi maarufu kwa jina la Mfuko wa JK na AK imetoa mikopo ya jumla ya Shilingi 1,529,884,831. Kati ya hizo, Unguja zimetolewa Shilingi 1,059,164,831 na Pemba Shilingi 470,720,000. Lengo la kutoa fedha hizo ni kuwapa fursa wajasiriamali hasa wadogo kuweza kujiajiri wenyewe ambapo jumla ya wananchi 747 (Unguja 529 na Pemba 218) wamenufaika na mkopo huo hadi sasa. Serikali, pia imetoa mikopo yenye thamani Shilingi 227,300,000 kupitia Mfuko wa Rais wa Kujitegemea Unguja na Pemba ambapo jumla ya wananchi 565 [Unguja (408) na Pemba (157)] wamewezeshwa kiuchumi na kuweza kujiajiri wenyewe. Kati ya wananchi hao wanawake ni 246 na wanaume 319. Juhudi za kutunisha Mfuko huo ili kutanua wigo wa kuwawezesha wananchi kiuchumi zinaendelezwa ambapo Kamati maalum imeundwa na kuzinduliwa na Mheshimiwa Rais Dkt. Ali Mohamed Shein. Kamati hiyo imeanza kazi zake na Mfuko umeshaanza kuchangiwa. Hadi sasa jumla ya Shilingi 600,000,000 zimekusanywa na shughuli ya uchangiaji zinaendelea. SEHEMU YA TANO SEKTA YA MIUNDOMBINU YA KIUCHUMI

29 5.1 Barabara Miundombinu ya kiuchumi ni chachu ya maendeleo ya kiuchumi na kijamii na hujumuisha barabara, bandari, viwanja vya ndege na umeme. Kutokana na umuhimu wa kuwa na miundombinu imara ya kiuchumi kwa maendeleo ya Zanzibar Chama Cha Mapinduzi kupitia Ilani yake ya Uchaguzi ( ) imeielekeza Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kuendeleza kazi ya utunzaji na matengenezo ya barabara, zilizokwishajengwa ili ziendelee kuwa imara kwa kiwango kinachokubalika, Kukamilisha ujenzi wa barabara ya (Mfenesini - Bumbwini Km 13, Amani Dunga Km kwa Unguja na Km za barabara za Pemba) na kujenga jumla ya Km za barabara za Unguja na Km 76.6 za barabara za Pemba. Aidha, Serikali imeagizwa kuendelea kusimamia utekelezaji wa Sheria zinazohusiana na usafiri na kukamilisha maandalizi ya kanuni za Sheria ya Usalama Barabarani pamoja na kuimarisha Karakana Kuu ya Serikali. Ili kufikia dhamira hiyo, jumla ya kilomita 92 za barabara za mjini na vijijini zimefanyiwa matengenezo kwa Unguja na Pemba. Pia, Serikali imekamilisha ujenzi wa barabara zifuatazo kwa kiwango cha lami Unguja na Pemba. Kwa upande wa Unguja barabara zilizokamilika ni: (a) Mfenesini - Bumbwini (km 13.6) (b) Amani Dunga (km 12.75) (c) Ujenzi wa madaraja 4 katika barabara ya Mahonda - Donge - Mkokotoni (km 14) (d) Ujenzi wa daraja moja katika barabara ya Pale - Kiongele. Kwa upande wa Pemba barabara zilizokamilika ni: (a) Mtambile-Kengeja Mwambe (km 9.4) (b) Mtambile-Kangani (km 6.4) (c) Mizingani Wambaa (km 9.7) (d) Chanjamjawiri Tundauwa (km 11) (e) Chanjaani Pujini (km 5) (f) Barabara ya Kenya-Chambani (km 3.2) 29

30 Vilevile, Serikali inaendelea na ujenzi wa barabara zifuatazo Unguja na Pemba ili ziendelee kupitika kwa wakati wote na kuwarahisishia wananchi usafiri. Kwa upande wa Unguja ni: (a) Koani Jumbi (km 6.3) (b) Jendele Cheju Kaebona (km 11.7) (c) Amani Mtoni (km 4) Kwa upande wa Pemba ni: (a) Wete Konde (km 15) (b) Wete Gando (km 15) (c) Wete Chake Chake (km 22.1) (d) Mzambarauni Pandani Finya (km 7.9) (e) Bahanasa Daya Mtambwe (km 13.6) (f) Chwale Kojani (km 1.9) (g) Kipangani Kangagani (km 2.7) (h) Mzambarauni Mapofu (km 8.9) (i) Mkanyageni Kangani (km 6.5) (j) Mgagadu Kiwani (km 7.6) (k) Ole Kengeja (km 35) Vile vile, Serikali imeshazifanyia uchambuzi yakinifu, usanifu na utayarishaji wa zabuni barabara 7 zinazoingia katika mji wa Zanzibar zenye urefu wa (km 78.5). Barabara zenyewe ni: (a) Bububu-Mtoni- Kinazini-Malindi Port (km 19) (b) Creek road-mkunazini-mnazi Mmoja (km 1.2) (c) Tunguu - Fuoni-Magomeni-Kariakoo-Mkunazini (km 13.3) (d) Welezo-Amani-Ng ambo-kariakoo (km 3.5) (e) Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Kilimani Mnazimmoja (km 7) (f) Bububu Mahonda Mkokotoni (km 31) 30

31 Serikali imeendelea kuimarisha usalama barabarani kwa kuwapatia elimu watumiaji wa barabara na kuimarisha ukaguzi wa vyombo vya moto. Aidha, Serikali ilizindua muongo (decade) wa masuala ya usalama barabarani na kuwashirikisha wadau mbali mbali. Pia, Serikali inaendelea na hatua za kutafuta Mbia katika uendeshaji wa Karakana Kuu ya Serikali. 5.2 Bandari Kwa upande wa miundombinu ya Bandari, malengo ya Ilani ni pamoja na kujenga majengo mapya ya kuhudumia abiria katika bandari ya Malindi, kufanya matengenezo ya maeneo ya kuhifadhia makontena na kuimarisha vifaa katika bandari hiyo, kuifanyia matengenezo bandari ya Mkoani na kuiendeleza gati ya Wete. Vile vile, Ilani imelenga kuimarisha gati ya Mkokotoni kwa kujenga jeti kwa ajili ya majahazi na usafiri wa wananchi hasa wa Tumbatu pamoja na kusimamia utekelezaji wa Mpango Mkuu wa Bandari ya Malindi (Masterplan), ikijumuisha huduma za bandari huru na kuendelea kutafuta uwezo wa kujenga Bandari mpya ya Kibiashara ya Mpiga Duri. Katika kutekeleza malengo hayo, Serikali imeendelea kuimarisha miundombinu ya bandari ili iweze kuhudumia vyema wananchi wa Zanzibar. Serikali imekamilisha matengenezo ya Awamu ya Kwanza katika sehemu ya kuhifadhia makontena Bandarini pamoja na ununuzi wa kreni mbili za kunyanyulia mizigo. Vile vile, Serikali kwa kushirikiana na Muekezaji wa kizalendo inaendelea na ujenzi wa jengo la abiria katika bandari ya Zanzibar. Aidha, katika kutumia nafasi ya Zanzibar Kijiografia, Serikali imechukua hatua mbali mbali zenye lengo la kuwavutia wawekezaji katika ujenzi na uendeshaji wa Bandari mpya ya Mpigaduri (Hub Port) kwa lengo la kukuza uchumi wa Zanzibar. Serikali inaendelea kutekeleza Mpango Mkuu wa Usafiri wa Zanzibar (Zanzibar Transport Master Plan) na Mpango wa Uendelezaji wa Bandari ya Zanzibar (Zanzibar Port Master Plan). Mipango hii imebainisha miradi ya kipaombele inayolenga kuendeleza na kupanua huduma za bandari ikiwemo ujenzi wa bandari ya mizigo (hub port) katika eneo la Mpigaduri. Kwa upande wa bandari ya Mkoani matengenezo ya eneo lililodidimia katika gati hiyo yamekamilika. 5.3 Usafiri wa Baharini Katika uimarishaji wa huduma za usafiri wa baharini CCM imeweka malengo katika ILANI yake ya kuimarisha Shirika la Meli la Zanzibar ili liweze kujiendesha kibiashara, kubadili 31

32 mfumo wa uendeshaji wa Afisi ya Mrajis wa Meli na kuwa Mamlaka ya Usimamizi wa Shughuli za Usafiri wa Baharini (Maritime Authority) na kuendeleza mazingira ya kuvutia wawekezaji wa nje na ndani ili kuwekeza zaidi katika sekta ya usafiri wa baharini na kuboresha huduma ya usafiri kwa wananchi na watalii. Katika uimarishaji wa huduma za usafiri wa baharini, Serikali imeendelea kuimarisha kazi za usimamizi wa usalama wa usafiri wa baharini, kwa kuanzisha Mamlaka ya Usafiri wa Baharini (Zanzibar Maritime Authority) yenye jukumu la kutekeleza kazi hii. Vile vile, kazi za utengenezaji wa kanuni mbali mbali za kusimamia usalama wa vyombo vya baharini, udhibiti wa mashirika na taasisi zinazotoa huduma baharini na mabaharia zinaendelea. Aidha, Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imeendelea na hatua za kuliimarisha Shirika la Meli ili liweze kuhudumia usafiri wa baharini hususan baina ya Visiwa vya Unguja na Pemba na kumudu ushindani wa kibiashara uliopo hivi sasa. Katika hatua hizo, Shirika limeanzisha Mpango wa Biashara (Business Plan) unaotoa dira, dhamira na mikakati ya kuliendesha Shirika hilo. Pia, kwa madhumuni ya kuwapatia wananchi wa Zanzibar huduma zilizo bora na salama za usafiri wa baharini na kuwaondolea tatizo la muda mrefu la usafiri wa baharini, Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kwa mashirikiano na Serikali ya Korea inaendelea na ujenzi wa meli mpya ya abiria na mizigo kwa ajili ya kuhudumia safari za Unguja na Pemba na mwambao wa Afrika ya Mashariki. 5.4 Usafiri wa Anga Katika Sekta ya Usafiri wa Anga, malengo ya CCM kupitia Ilani yake ya Uchaguzi ya mwaka 2010 hadi 2015 ni Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kusimamia utekelezaji wa Mpango Mkuu wa Uendelezaji wa Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Abeid Amani Karume ikihusisha ujenzi wa jengo jipya la abiria, kukamilisha kazi za ujenzi wa uzio, uwekaji wa taa katika barabara ya kurukia na kutulia ndege na uimarishaji huduma za umeme kwa kuweka jenereta la akiba katika Kiwanja cha Ndege cha Pemba. Katika kutekeleza malengo hayo, Serikali imeendelea na mkakati wa kuandaa mazingira mazuri ya kibiashara ya kiwanja cha ndege cha Kimataifa cha Abeid Amani Karume ili kiwe kiungo (hub) cha usafiri wa anga kitaifa, kikanda na kimataifa na kuhudumia sekta ya utalii na biashara Zanzibar. Serikali inaendelea na ujenzi wa jengo jipya la abiria katika Kiwanja cha Kimataifa cha Abeid Amani Karume pamoja na Utanuzi wa Maegesho na Njia ya kupitia 32

33 Ndege katika kiwanja hicho. Vile vile, ujenzi wa uzio wenye urefu wa kilomita 9 umekamilika kati ya kilomita 12 katika kiwanja hicho. Kilomita 3 zilizobakia zitakamilishwa katika Awamu ya Pili ya mradi. Kazi za kuhamisha wananchi waliojenga ndani ya eneo la kiwanja ili kupisha utanuzi huo na ujenzi wa uzio bado inaendelea. Kwa upande wa Uwanja wa Ndege wa Pemba, Serikali inaendelea na kazi za uimarishaji huduma mbali mbali katika kiwanja hicho ikiwemo uwekaji wa taa katika barabara ya kurukia na kutulia ndege na kufanya upembuzi yakinifu na usanifu wa huduma nyenginezo. 5.5 Umeme Katika kuimarisha miundombinu ya umeme, Serikali imekamilisha kazi ya ujenzi wa vituo vya kuhifadhi mitambo ya udhibiti umeme na Mawasiliano kituo cha Mtoni Unguja na Ras Kiromoni Tanzania Bara kwa kuweka kuunganisha maji na umeme. Hatua za awali kwa ajili ya uzalishaji wa umeme kwa njia ya mawimbi ya bahari zimeanza ambapo ZECO kwa kushirikiana na ZIPA imefanya mazungumzo na wawakilishi wa Campuni ya Ocean Thermal Energy Corporation Serikali kupitia ZECO imekamilisha zoezi la kutoa fidia ya majengo katika maeneo ya Maungani, Kombeni, Dimani, Bweleo na Fumba kwa ajili ya njia mpya ya umeme kutoka Ras Kiromoni hadi Fumba. Katika kuendeleza mpango wa upatikanaji wa Umeme mbadala taarifa ya mwisho ya uchambuzi yakinifu imewasilishwa Ofisi ya Rais, Fedha, Uchumi na Mipango ya Maendeleo kwa hatua zaidi za utafutaji wa fedha. Miongoni mwa kazi zilizokwishatekelezwa ni pamoja na usafirishaji wa waya kutoka Japani hadi Zanzibar. Aidha, Serikali inaendelea na kazi ya usambazaji wa Umeme katika vijiji mbali mbali Unguja na Pemba. Ujenzi wa njia ya pili ya umeme kutoka Ubungo Tanzania bara hadi Mtoni Unguja ulianza Julai, 2008 na unatarajiwa kukamilika ifikapo Disemba,2012. Mradi huu unagharamiwa na Serikali ya Marekani kupitia Shirika lake la Changamoto za Melenia (MCC) na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar. Lengo kuu la mradi huu ni kuongeza uwezo wa upatikanaji wa umeme wa uhakika katika Kisiwa cha Unguja. Kazi ya ulazaji wa waya njia ya pili ya umeme tayari imefanyika kupitia baharini kuanzia Ras-Fumba Unguja hadi Ras-Kiromoni Tanzania Bara. Kwa sasa kazi zina33

34 zoendelea ni za usambazaji wa waya wa juu (Over head line) kutoka Fumba hadi Mtoni pamoja na umaliziaji wa kufunga transfoma ya kupokelea umeme mkubwa megawati 100 na vituo vitatu vya kusambanzia umeme Mtoni, Mwanyanya na Welezo na Tanzania Bara maeneo ya Tegeta na Ras-Kiromoni. Kazi hii tunategemea kukamilika kama ilivyopangwa. Mhe. Dk Ali Mohammed Shein Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi alizindua ulazaji wa waya tarehe 10/10/2012 na waya huo umegharimu Dola za Marekani 28,113,400 na Serikali ya Mapinduzi imetoa Dola za Marekani Milioni 1,465,625 kwa ajili ya kulipa fidia na mali za wananchi ulimopita mradi huo. Mheshimiwa Ali Mohamed Shein Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi akikagua waya wa umeme uliokusudiwa kusambazwa kutoka Ras-Fumba Unguja hadi Ras-Kiromoni Tanzania Bara Katika utekelezaji wa Sera na Sheria ya Nishati, Serikali inaendelea na uandaaji wa sheria inayohusiana na usambazaji wa Mafuta na bidhaa zinazohusiana na mafuta ya Petroli Zanzibar (Zanzibar Petroleum Supply Act) ili bidhaa hiyo iweze kusimamiwa vizuri na kwa ufanisi zaidi na Taasisi husika. Utayarishaji wa Sera hiyo unaenda sambamba na utayarishaji wa sheria ya udhibiti wa huduma ya Nishati na Maji Zanzibar (Zanzibar Utilities Regulatory Authority ZURA) itayosimamia biashara inayohusiana na rasilimali ya Nishati na Maji kwa ufanisi zaidi. Rasimu za sheria zote mbili zimekamilika na zinasubiri kupitiwa na Kamati ya Makatibu Wakuu Ardhi

35 Kwa kutambua umuhhimu wa ardhi kwa maendeleo ya uchumi wa kisasa na wa jamii, Ilani ya CCM imeiagiza Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kukamilisha Sera ya Ardhi ya Zanzibar na kuisimamia utekelezaji wa mpango wa kitaifa na matumizi bora ya ardhi. Vile vile, ilani imeagiza kuelimisha wananchi juu ya umuhimu wa matumizi bora ya ardhi, kuendeleza kazi za usajili wa ardhi pamoja na kuimarisha mahakama ya ardhi na kuanzisha Mahkama za ardhi za Mikoa. Ilani pia imeagiza kufanyiwa mapitio ya ramani zote na kuchapisha ramani mpya za visiwa vya Unguja na Pemba. Kazi za utayarishaji wa ramani za visiwa vya Unguja na Pemba imekamilika na kinachotegemewa kuendelea ni kuzifanyia marekebisho ramani hizo kulingana na mahitaji yatayoendelea kujitokeza. Utayarishaji wa ramani za mipaka ya Mikoa na Wilaya imekamilika na utekelezaji wake utaanza ndani ya mwaka huu wa fedha. Kwa upande mwengine wananchi wanaendelea kuelimishwa juu ya matumizi bora ya ardhi. Aidha, Serikali hivi karibuni imemteua Mrajisi wa Ardhi kwa ajili ya kusimamia na kuendeleza kazi za usajili kwa mashirikiano na Mradi Endelevu wa Utunzaji wa Ardhi na Mazingira (SMOLE). Serikali imeongeza kasi ya upimaji wa viwanja ambapo jumla ya viwanja 1,075 vilipimwa vikiwemo vya makaazi 417, vya Serikali 82, vya huduma 157, mashamba 338 na vya vitega uchumi ni 81. Hadi kufikia Juni 2012, jumla ya mikataba 64 imetiwa saini kwa ajili ya ujenzi wa mahoteli Katika kuhakikisha kuwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar inakamilisha Sera ya Ardhi, tayari kamati imeundwa upya ya kushughulikia mapitio ya sera. Katika kuendeleza kazi za usajili wa ardhi na kuimarisha kazi za Mahakama kwa lengo la kupunguza migogoro ya Ardhi, tayari mahakama ya Ardhi imepokea mashauri 237 kati ya mashuri hayo 95 yametolewa maamuzi. Aidha, Zoezi la Usajili wa Ardhi linaendelea kwa kasi kubwa baada ya kuteuliwa rasmi kwa Mrajis wa Ardhi na wananchi pamoja na idara ya 35

36 Ardhi na Usajili wanashirikiana kwa ukaribu kufanikisha zoezi hilio. SEHEMU YA SITA 6.0 SEKTA ZA HUDUMA ZA JAMII 6.1 Elimu Katika sekta ya Elimu, Chama Cha Mapinduzi katika Ilani yake ya Uchaguzi ya mwaka 2010 imelenga kuimarisha na kuendeleza elimu ya maandalizi, msingi na sekondari pamoja na elimu mbadala na elimu ya watu wazima. Vilevile, Ilani imeweka malengo ya kuimarisha huduma za maktaba, kuendeleza na kuimarisha fursa za elimu ya juu na mafunzo ya ualimu. Aidha, Ilani ya CCM imeeleza wazi kwamba elimu ya ufundi na mafunzo ya amali yatapewa kipaumbele pamoja na kuhifadhi kumbukumbu za kihistoria na mambo ya kale Elimu ya Maandalizi Mafanikio makubwa yamepatikana katika kushajiisha ushiriki wa wanafunzi katika ngazi ya skuli za maandalizi ambapo idadi ya wanafunzi katika skuli za maandalizi imeongezeka na kufikia wanafunzi 40,018 kwa mwaka 2012 (ambayo ni sawa ongezeko la asilimia 3.1) kwa mwaka ukilinganisha na wanafunzi 33,229 kwa mwaka Aidha, taarifa zinaonesha kuongezeka kwa idadi ya vituo vya Radio Instruction to Strengthen Education (RISE) kufikia 180 mwaka Jumla ya skuli za msingi za Serikali 36 (kati ya hizo 17 ni za msingi na 19 ni za msingi na kati) zimeanzisha madarasa ya maandalizi katika skuli zao kwa mwaka Elimu ya Msingi Idadi ya wanafunzi katika skuli za msingi imefikia 242,229 kwa mwaka 2012 sawa na asilimia ikilinganishwa na wanafunzi 237,690 sawa na asilimia katika mwaka Aidha, watoto wote 34,155 walioandikishwa darasa la kwanza katika skuli za Serikali mwaka huu 2012 wamepatiwa nafasi ya kujiunga na masomo ya msingi. Miongoni mwa watoto hao jumla ya idadi ya watoto 17,204 ni wanaume na 16,951 ni wanawake Elimu ya Sekondari 36

37 Katika kipindi kinachotolewa taarifa jumla ya skuli za sekondari 16 mpya zimejengwa pamoja na kuwekwa huduma za maabara na maktaba. Kati ya hizo 13 tayari zimekwisha kamilika ujenzi wake ambazo zimejengwa katika maeneo ya Matemwe, Mwanda, Chaani, Uzini na Dole kwa Unguja. Kwa upande wa Pemba skuli hizo zimejengwa katika maeneo ya Pandani, Konde, Chwaka-Tumbe, Wawi, Kiwani-Mauwani, Ngwachani, Shamiani na Utaani. Skuli ambazo bado hazijamalizika ni Paje-Mtuule, Dimani na Tunguu ambazo ujenzi wake umefikia asilimia 70 ya ukamilishwaji wake. Aidha, Ujenzi wa Skuli mpya za Sekondari za ghorofa katika maeneo ya Kiembesamaki, Kwamtipura na Mpendae unaendelea vizuri katika hatua za awali kama ilivyopangwa. Katika kusimamia na kuhakikisha ubora wa elimu unastawi kwa jamii, jumla ya vitabu 190,212 vilinunuliwa na kugawiwa kwa wanafunzi katika skuli za sekondari kwa Unguja na Pemba. Jumla ya vitabu vya somo ya Kiswahili 65,000, vitabu vya historia 56,000, Jiograia 56,000, vitabu vya komputa 12,700; na vitabu vya mafunzo ya ualimu 512 vimegaiwa. Vile vile, katika juhudi za Serikali katika kutoa Elimu bora, Serikali imefanya juhudi za makusudi kuzipatia skuli madawati, viti na meza ambapo katika kipindi cha miaka miwili (Januari 2010 Septemba 2012) zaidi ya madawati 3,550, viti 1,071 na meza 1,071 zimetengenezwa na kusambazwa katika skuli mbali mbali za Unguja na Pemba. Vifaa hivyo vilipatikana kupitia msaada wa Shirika la Sweden International Development Agency (SIDA) Elimu Mbadala na Elimu ya Watu Wazima Katika kuhakikisha kwamba watu wote wanapata elimu. Serikali imetoa Elimu kwa wanafunzi walioacha masomo yao kwa sababu tofauti na wale wenye umri mkubwa ambao hawakuwahi kupelekwa skuli. Jumla ya madarasa 28 kwa Unguja na Pemba yanatoa huduma hiyo yenye wanafunzi 711 (Pemba wanafunzi 265 na Unguja ni wanafunzi 446). Kati ya wanafunzi hawa 224 ni wanawake na 487 ni wanaume. Aidha, jumla ya madarasa 10 ya wanakisomo yamefunguliwa kwa mwaka 2011/2012 katika sehemu mbali mbali za mjini na vijijini kwa Unguja na Pemba. Madarasa ya kisomo yameongezeka kutoka 47 mwaka 2010/2011 hadi 57 mwaka 2011/2012 yenye jumla ya wanakisomo 6,492 (wanaume 803 na wanawake 5,689). 37

38 6.1.5 Kuimarisha Huduma za Maktaba Aidha, juhudi zinaendelea kuchukuliwa za kuimarisha huduma za maktaba katika visiwa vya Unguja na Pemba. Ujenzi wa maktaba kuu Zanzibar umekamilika, hivyo katika hatua za kujenga maktaba mpya kisiwani Pemba, Serikali imetangaza zabuni kwa ajili ya ujenzi wa tawi la Mkataba kuu Pemba. Aidha, Serikali imetoa jumla ya vitabu 2,093 katika vituo vya walimu na baadhi ya skuli za sekondari kwa Unguja na Pemba kwa lengo la kuhamasisha wananchi kupenda kutumia maktaba na kuendeleza matumizi ya mobile libraries kwa skuli za vijijini zisikizokuwa na maktaba. Jumla ya skuli 10 za Wilaya ya Kaskazini A zimepelekewa maktaba za sanduku ili wadau kupata huduma hiyo, wakati juhudi zaidi zinachukuliwa kuweza kujenga maktaba halisi Kuendeleza na Kuimarisha Fursa za Elimu ya Juu Serikali kupitia Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar inaendeleza ujenzi wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) katika eneo la Tunguu, ambapo hadi kufikia Septemba 2012 ujenzi wa majengo manne mapya unaendelea. Jengo la utawala hivi sasa limefiki asilimia 99 ya ujenzi. Jengo la Sanaa Sayansi nalo limefikia asilimia 96 na jengo la Maktaba limefikia asilimia 99. Jengo la Uhandisi limefikia asilimia 95. Lengo kubwa la kukamilisha ujenzi wa majengo hayo ya chuo hicho ambayo yatafunguliwa hivi karibuni ni kuongeza fursa kwa wanafunzi kuweza kujiendeleza kielimu. Ujenzi wa Chuo hicho unadhaminwa na Benki ya Kiarabu ya Maendeleo ya Afrika (BADEA) kwa kushirikiana na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) Kuimarisha Mafunzo ya Ualimu Serikali katika kushugulikia na kufanikisha mchakato wa kuimarisha ubora wa elimu imetoa mafunzo ya mbinu shirikishi za ufundishaji kwa walimu wa skuli za maandalizi 120 (Unguja 70 na Pemba 50). Mafunzo kama hayo yalitolewa kwa walimu 120 (Unguja 60 na Pemba 60) wanaofundisha madarasa ya kwanza hadi ya tatu. Katika hatua nyengine za kuwaendeleza walimu kielimu katika vituo vya walimu Unguja na Pemba mkupuo wa tatu wa mafunzo ya ualimu unaendelezwa katika vituo vyote tisa. Aidha, mchakato huo wa utoaji wa mfunzo kwa walimu, Serikali imefanikiwa kuzalisha jumla ya walimu 675 ambapo jumla ya 119 ni 38

39 wanaume na 556 ni wanawake ambao wote walimaliza mafunzo ya ualimu daraja la 111B. Mafunzo hayo yalimalizika mwezi Julai 2011 kwenye vituo vyote vya walimu vya Unguja na Pemba. Walimu hawa hivi sasa wanaendelea na mafunzo ya daraja la 111A kwa mwaka 2012/2013. Aidha, serikali kupita Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar inaendelea kutoa mafunzo kwa mwaka 2011/2012 katika vyuo vyake vitatu ambavyo Chuo cha Kiislamu Unguja (Mazizini) Chuo cha Kiislamu Pemba (Micheweni) na Chuo cha Benjamin William Mkapa Pemba. Vyuo hivyo vimesajili jumla ya wanafunzi 516 ambao wanaendelea na mafunzo na kati yao jumla ya wanafunzi 355 ni wanawake na wanaume ni 161. Kutoka jumla kuu ya wanafunzi hao (516), wanachuo 72 wanasomea Stashahada ya Ualimu Sekondari na wanafunzi 188 wanasomea Stashahada ya Ualimu Msingi na wengine 256 wanasomea Stashahada ya Ualimu Dini na Kiarabu. Kwa kutambua umuhimu wa suala la kuimarisha elimu bora, Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali imeandaa rasimu za mihutasari ya masomo 21 inayotoa miongozo kwa walimu. Rasimu hizo zimewasilishwa kwa wadau husika. Muhutasari hiyo imegharimu jumla ya Shilingi 59,279, Kuimarisha Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Amali Katika kuimarisha Elimu ya Ufundi nchini, Serikali imejenga madarasa manne mapya ya Skuli ya Sekondari ya Kengeja mwaka Aidha, vitabu na vifaa vyengine vya kufundishia katika taasisi ya Karume ya Sayansi na Teknolojia vimenunuliwa, ukarabati wa vyoo vya jengo la ICT umefanyika na ukarabati wa dakhalia ya wasichana na wavulana umefanyika. Jumla ya wanafunzi 730 wamepata fursa ya kujiunga na Vyuo Vya Amali Unguja na Pemba kwa mwaka 2012 kati ya hao (wanawake ni 175 na wanaume ni 555) ukilinganisha na wanafunzi 587 waliopata fursa ya kujiunga na vyuo hivyo kwa mwaka 2011 (wanawake ni 139 na wanaume ni 448). Vile vile jumla ya walimu 60 wa vituo vya mafunzo vya Amali wamepatiwa mafunzo ya mbinu za ufundishaji katika mfumo wa Comptency Based Education and Training (CBET) Kuhifadhi Kumbukumbu za Kihistoria na Mambo ya Kale Serikali ndani ya miaka mitano ya Utekekelezaji wa Ilani ya Chama imeandaa mpango wa 39

40 miaka mitano (Masterplan) wa uhifadhi wa mambo ya kale, uanzishaji wa Taasisi ya Nyaraka na kumbukumbu za kale na vituo vya kuhifadhi kumbu kumbu (Records Centres) katika kila mkoa. Pia imepanga kufanya matengenezo ya Makumbusho ya Mnazi Mmoja, Beit Ajab, jengo la kale la Mtoni na Makumbusho ya Kasri Forodhani, kukusanya kumbu kumbu na nyaraka kutoka ofisi za Serikai na kuzihifadhi kwa kutumia kompyuta, kufanya tafiti za kisaikolojia na hifadhi za urithi katika mapango ya kale na baharini na kuanzisha kituo cha uhifadhi vitu vya baharini pamoja na kukamilisha upimaji wa maeneo ya kihistoria na kuyapatia hati miliki.aidha katika mipango hiyo kwa kipindi cha miaka miwili Serikali imeweza kutekeleza yafuatayo:kufanya utafiti wa uchimbaji wa Ngome ya Mazrui, Chwaka na Tumbe, utafiti huu ulifanyika kwa ufadhili wa MACEMP/DAMA. Aidha, utafiti wa kisaikolojia katika eneo la Ngome Kongwe, Forodhani Unguja chini ya Udhamini wa African Archaelogy Network na DAMA umefanyika. Katika uchimbaji huo kulingunduliwa vigae vya vyungu, Kwale pottery vya karne ya kwanza. Serikali imelifanyia matengenezo jengo la makumbusho la Hamamni Baths ili kulirudisha katika hadhi yake ya awali na kuweza kuwapata wageni wengi. Vile vile, Serikali imefanya matengenezo ya majengo ya Mangapwani Nyumba ya Watumwa kwenye Mahandaki ya Vita vikuu vya Pili vya Dunia na mnara wake pamoja na magofu ya Kizimbani na Hamamni. SEHEMU YA SABA 7.0 AFYA Ilani ya CCM ya mwaka , imeielekeza Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kusimamia utekelezaji wa Sera ya Afya na ushirikishwaji wa wananchi na sekta binafsi katika kuchangia maendeleo ya afya. Aidha, Ilani imeelekeza kuimarisha huduma za Hospitali Kuu ya Mnazi Mmoja, Abdalla Mzee na Wete Pemba na Cottage Hospital. Pia Ilani imeagiza kuimarisha huduma za kinga na tiba, kuendelea na mapambano dhidi ya maradhi ya Malaria, UKIMWI na kuendeleza huduma za tiba za asili pamoja na kuimarisha Chuo cha Taaluma za Sayansi na Afya. Katika utekelezaji Serikali imeifanyia mapitio Sera ya Afya ya mwaka 1999 na kuanzisha será mpya ya mwaka 2011 ambayo tayari imeanza kutumika. katika kuhakikisha kwamba utoaji wa huduma unaimarika nchini muongozo wa Uchangiaji huduma za afya unaendelea 40

41 kufanyiwa mapitio. Aidha, Sheria ya Afya ya Jamii imeshajadiliwa na kupitishwa na Baraza la Wawakilishi. Sheria ya Mkemia Mkuu wa Serikali (Chief Government Laboratory Act No. 10, 2011) nayo imeandaliwa ambapo sheria hii inaifanya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali kufanyakazi zake kisheria. Katika utekelezaji wa sheria hii Mwenyekiti na wajumbe wa Bodi itakayosimamia utekelezaji wa sheria hii wameshateuliwa na tayari wameshaanza kazi rasmi. Serikali imeimarisha mfumo wa ukusanyaji taarifa za afya kiwilaya (District Health Information System 2 DHIS-2) ambapo kwa mwaka 2011 sekta ya afya Zanzibar ilitangazwa kuwa mshindi kwa ukanda wa Afrika Mashariki kwa kuwa na mfumo mzuri wa ukusanyaji wa taarifa za afya na kwa sasa mfumo huo unatumika kama ni mfano kwa nchi hizo. Katika juhudi za kuifanya Hospitali ya Mnazi Mmoja kuwa ya rufaa Mpango Mkakati (Strategic Plan) wa miaka kumi umekamilishwa na unatekelezwa. Moja kati ya malengo ya mkakati huo ni kuanzisha kitengo maalum cha utafiti chenye lengo la kufanya utafiti (Operational Research) pamoja na kutoa elimu kwa wafanyakazi juu ya njia mbali mbali za kukabiliana na maradhi. Vile vile, huduma za maabara zimeimarika kwa kiasi kikubwa, kwa sasa maabara ya Hospitali ya Mnazimmoja ina uwezo wa kupima aina ya vipimo 67 ukilinganisha na vipimo 30 vilivyokuwa vikitolewa katika miaka iliyopita pamoja na hili matengenezo makubwa ya jengo la huduma za maabara yamefanyika pamoja na kuwekwa vifaa vya kisasa. Huduma za tiba ya meno katika hospitali kuu ya mnazi mmoja zimeendelea kuimarika sana baada ya kupokea viti vitano (5) vya kisasa vya kutolea huduma za meno pamoja na mashine ya digital ya X-Ray ya meno. Aidha, kufungwa kwa mtandao wa kompyuta wa kuhifadhia kumbukumbu za wagonjwa utawezesha kupatikana takwimu sahihi za wagonjwa wa meno, vifaa hivyo vyenye thamani ya Tsh. 320,000,000 vimegharamiwa na shirika la Miracles corner of The World. Vile vile, madaktari wa hospital ya mnazimmoja kwa mashirikiano na madaktari kutoka nchi za Hispania, Norway, India na Uturuki wamefanya upasuaji wa maradhi mbalimbali yakiwemo magonjwa ya uti wa Mgongo, upasuaji wa kichwa, Hyspospadia, Urethral fistula na Post burn Contructure, kwa kipindi cha miaka miwili, hadi kufikia Machi, 2012 jumla ya 41

42 wagonjwa 1,319 walichunguzwa na 268 walifanyiwa upasuaji. Kupitia utaratibu huu jumla ya Dola za Kimarekani 1,596,000 ambazo ni sawa na shilingi bilioni 2.6 zimeokolewa ambazo zingehitajika kupeleka wagonjwa nje ya nchi. Sambamba na hilo madaktari kutoka nchini Poland walifanya jumla ya operesheni 96 kati ya hao wagonjwa 18 walitoka kisiwani Pemba. Operesheni hizo zilijumuisha maradhi ya Kupasuka kwa Midomo, Makovu ya moto pamoja na watoto waliozaliwa na sehemu za haja ndogo mbili. Vile vile, Wodi ya Wagonjwa Mahututi (ICU) imefanyiwa matengenezo makubwa ya uwekaji wa vifaa kama vile Monitors sita (6) kwa ajili ya kuangalia viashiria muhimu vya mgonjwa (Vital Signs), mashine mbili (2) za kumsaidia mgonjwa kupumua (Ventilators), mashine ya kuangalia madini ndani ya mwili (electrolytes analyser), mashine ya kuangalia damu (blood gas analyser), dripu maalum nane (8) (Infusion pumps) na mashine moja (1) ya kisasa ya kupimia moyo (ECG machine), pamoja na uwekaji wa mtandao wa hewa safi (Piped Oxygen air vaccum). Wazari wa Afya Mhe. Juma Duni Haji akipata maelezo kuhusu vifaa vipya vilivyofungwa katika wodi ya wagonjwa mahatuti Hospitali ya Mnazi Mmoja. Vilevile, kwa lengo la kuimarisha afya za watoto wachanga katika Hospitali ya Mnazi Mmoja Serikali kwa kushirikiana na Chuo Cha Kikuu cha Haukeland University imefanikiwa kuweka vifaa vya kisasa kwenye wodi ya watoto wachanga wenye umri chini ya mwezi mmoja (Neonatal Ward) vifaa vyenyewe ni Oxygen Concentrator tano (5), Oxymetry nne 42

43 (4), Phototherapy machine tano (5), Incubator tatu (3) na Ambubag tano (5), ni imani ya serikali kuwa upatikanaji wa vifaa hivyo utapunguza sana vifo vya watoto wachanga. Katika kuziimarisha hospitali za vijiji (Cottage Hospital) kuwa hospitali za wilaya na Hospitali ya Abdalla Mzee na Wete kuwa za Mkoa, Serikali imefanikiwa kujenga jengo la maabara katika hospitali ya Wete litakalosaidia utoaji wa huduma bora za maaabara kwa wananchi wa maeneo hayo. Vilevile, Serikali kwa kushirikiana na shirika lisilo la kiserekali la Uingereza HIPZ - Health Improvement Project Zanzibar imefanya matengenezo ya nyumba 12 za wafanyakazi wa hospitali ya Makunduchi, pamoja na kuipatia hospitali hiyo mtambo maalum wa kuzalisha hewa ya Oxygen (Oxygen Concentrator), mashine za uchunguzi (Haematology and Chemistry) pamoja na kuwapatia mafunzo wafanyakazi juu ya kutumia vifaa hivyo. Aidha, shirika hilo limetiliana saini na Wizara ya Afya ili kuimarisha huduma za Hospitali ya Kivunge na tayari meneja wa mradi huu kwa hospitali hii amepatikana. Katika kuongeza kasi ya utoaji wa elimu ya afya kwa wananchi ili kujikinga na aina mbalimbali za maradhi ya kuambukiza na yasiyo ya kuambukiza Serikali imeendelea kuhamasisha jamii kuhusu huduma baada ya kupata athari za maambikizo ya VVU. Katika kupiga vita unyanyapaa kwa waathirika wa UKIMWI, jumla ya vipindi 53 vya redio na vipindi 16 vya televisheni vilirushwa kupitia vyombo vya habari vya serikali na vya binafsi. Mafunzo kwa wafanyakazi wa vituoni yalitolewa yakiwemo ya uchunguzi wa watoto wachanga (Neonatal eye screening trial) na uchunguzi wa vitovu na macho kwa watoto wachanga (Pioneering Opthalmia Neonatorum Study) yalifanyika. Vilevile, Serikali imeendelea kutoa elimu kwa wananchi ili kuongeza uelewa juu ya kujikinga na maambukizo ya VVU, kifua kikuu na ukoma. Elimu ya afya ilitolewa kwa njia mbali mbali ikiwemo redio, vipeperushi na mikutano ya kijamii. Vile vile kitabu cha Uislamu na Uzazi wa Mpango kimezinduliwa kwa dhamira ya kuelimisha na kushajihisha jamii juu ya kukubali njia bora na sahihi za uzazi wa mpango kwa mnasaba wa desturi za dini ya kiislamu. Mafunzo kwa watoa huduma za afya yametolewa juu ya ushauri nasaha na uchunguzi kwa wagonjwa waliolazwa na wanaotibiwa katika vituo vya afya na hospitali, utumiaji wa dawa za kupunguza makali ya virusi vya ukimwi (ARVs), tiba kwa watoto wenye UKIMWI ufuatiliaji wa matumizi sahihi ya dawa za ARVs na lishe bora kwa wanaotumia dawa za ARVs. 43

44 Katika juhudi za kuepusha maambukizi ya VVU kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto (PMTCT) tathmini imefanyika kwenye vituo vya afya 61 (36 Unguja na 25 Pemba). Kliniki mbili mpya za maradhi ya UKIMWI zimeongezwa katika Hospitali za Makunduchi kwa Unguja na Mkoani kwa Pemba. Hili limefanya jumla ya kliniki kufikia 10 (6 Unguja na 4 Pemba) zinazotoa huduma za tiba kwa wanaoishi na VVU na UKIMWI. Serikali imeimarisha na kuendeleza vituo vya ushauri nasaha, huduma za tiba kwa waathirika na kupiga vita unyanyapaa. Aidha, Serikali imefanya tathmini ya vituo vitatu (3) vipya na kuanzisha huduma za ushauri nasaha na kupima VVU ilifanyika katika vituo vya Sebleni, Mfenesini na Kizimbani. Hii imefanya idadi ya vituo vinavyotoa ushauri nasaha na kupima maambukizi ya VVU kwa hiari kufikia 74 kwa Unguja na Pemba. Jumla ya watu 108,328 walichunguzwa katika vituo 63 vya ushauri nasaha na upimaji virusi vya UKIMWI (VVU) kwa hiyari, kati ya hao wanawake ni 52,842 na wanaume ni 55,486. Upimaji pia ulifanyika katika vituo vya dharura (Outreach) katika maadhimisho tofauti ya kiserikali na mikutano. Kati ya idadi hiyo watu 2,097 (2.0%) waligundulika kuwa na Virusi vya Ukimwi (wanawake 1,285 na wanaume 812). Serikali imeendeleza mapambano dhidi ya Malaria na kushirikiana na Shirika la Research Triangle Institute (RTI) kutia dawa kwa kutumia mfumo mpya wa kulenga baadhi ya maeneo yanayoonekana kutoa idadi kubwa ya wagonjwa wa malaria (Targeted spraying). Jumla ya nyumba 121,471 zilipangwa kupigwa dawa katika awamu ya saba, kati ya hizo nyumba 114,858 (95%) zilipigwa dawa. 44

45 Kazi ya upigaji dawa majumbani awamu ya Saba 2012 ikiwa ni moja ya mkakati wa kuondosha malaria Zanzibar Jumla ya vyandarua vyenye dawa 717,000 viligaiwa kwa wanachi wa Unguja na Pemba ambapo chandarua kimoja hadi vitatu viligaiwa kwa kila kaya. Aidha, serikali katika kufanikisha uimarishwaji na ufuatiliaji wa mienendo na mifumo ya utokomezaji maradhi ya Malaria nchini, mfumo wa kukusanya taarifa kwa kutumia simu za mkononi umeendelezwa na kufikia vituo 142. Vile vile, mfumo wa ufuatiliaji wagonjwa majumbani ambao wamebainika kuwa na vimalea vya malaria katika sehemu wanazoishi umeanzishwa. Ili kuimarisha huduma za utafiti na udhibiti wa maradhi ya kuambukiza, Serikali imefanya uchunguzi wa maradhi ya macho na ugonjwa wa vikope vijijini Unguja (Rapid Asseessment for the Trachoma Survey) katika wilaya ya Micheweni, Pemba ili kujua idadi ya wananchi wenye ugonjwa huo na sababu zinazopelekea kuwepo na kuenea kwa ugonjwa wa vikope. Jumla ya watoto 50 kuanzia umri wa mwaka mmoja hadi 9 walifanyiwa uchunguzi kati ya hao watoto 16 walionekana na ugonjwa huo (Active Trachoma) sawa na asilimia 32. Hii ni zaidi ya kiwango kilichowekwa na WHO cha ugonjwa huo ambacho ni sawa na asilimia 10. Vilevile jumla ya wazee 50 wenye umri wa miaka 40 walifanyiwa uchunguzi huo na wagonjwa 7 wamebainika kuathirika na ugonjwa wa vikope (Trachoma Tfichiasis). Aidha, huduma ya tiba ya macho kwa wananchi zinaendelea kutolewa katika sehemu mbali mbali za Unguja na Pemba na kuwapatia miwani kwa bei nafuu. Pia huduma za operesheni ya macho kwa wale waliogundulika na matatizo ya mtoto wa jicho ziliendelea bila ya malipo 45

46 kwa watu wazima na watoto. Jumla ya wagonjwa 888 watu wazima na watoto 83 walipatiwa matibabu. Kati ya hao wagonjwa 75 walifanyiwa upasuaji (wanaume 44 na wanawake 31) na watoto wawili walisafirishwa kwenda Muhimbili kwa matibabu zaidi. Katika kuhakikisha kuwa lengo la kuendeleza huduma za tiba asili na tiba mbadala katika sehemu zote za Unguja na Pemba serikali imesajili waganga wa jadi 120 waliotimiza masharti. Aidha jumla ya maduka 19 ya kuuza dawa za asili yameruhusiwa. Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kwa kushirikiana na Serikali ya Oman inaendelea na ujenzi wa madarasa na dakhalia za wanafunzi katika Chuo cha Sayansi za Afya Mbweni. Majengo haya yataongeza uwezo wa chuo hicho kuchukua wanafunzi wengi zaidi. Aidha, kwa kushirikiana na Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Serikali imeanza matayarisho ya ujenzi wa maabara maalum Skilled Laboratory ambayo itatumika kufundishia wanafunzi mafunzo ya vitendo wakiwa katika mazingira ya chuo. Chuo kinaendelea kutoa mafunzo kwa kiwango cha Diploma katika fani ya uuguzi (General Nursing). Wasaidizi madaktari (Clinical Officers), maafisa afya ya jamii na mazingira (Environmetal Health Officers), Mafundi sanifu wa maabara (Laboratory Technicians), Madaktari wa meno (Dental Therapy), na mafundi sanifu wa madawa (Pharmaceutical Technicians). Kwa kipindi cha miaka miwili jumla ya wanafunzi 516 wamehitimu mafunzo mbalimbali. Jumla ya wanafunzi 764 wa kada tofauti wanaendelea na mafunzo. SEHEMU YA NANE 8.0 MAJI Ili kuendeleza kazi za usambazaji wa maji safi na salama kwa wananchi wote, Ilani ya CCM kwa mwaka imetilia mkazo suala la upatikanaji wa maji safi na salama kwa kufanya mapitio ya sera na sheria ya maji. Aidha, Serikali imechukua hatua ya kukamilisha Awamu ya Pili ya Mradi wa Usambazaji Maji Safi na Salama katika Mkoa wa Mjini 46

47 Magharibi, kuendelea kusambaza huduma hiyo kutoka asilimia 75 kwa mwaka 2010 hadi asilimia 95 kwa mwaka 2015 Mijini. Pia kutoka asilimia 60 mwaka 2010 hadi kufikia asilimia 80 kwa mwaka 2015 vijijini. Kuwapatia wananchi elimu ya usafi na mazingira, umuhimu wa kuzuia upotevu wa maji pamoja na kuichangia huduma hiyo. Serikali imefanikisha kazi za kusambaza maji katika vijiji 25 (Unguja 16 na Pemba 9) kupitia Mradi wa Usambazaji Maji Vijijini. Mradi huo umegharimu jumla ya Tsh. milioni 625 ambapo Tsh. milioni 560 zimetoka Serikalini na milioni 65 ni mchango wa wananchi. Mheshimiwa Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, akitembelea Mradi wa Maji Safi na Salama, Kizimkazi Unguja Awamu ya Pili ya Mradi wa Usambazaji Maji Safi na Salama katika Mkoa wa Mjini Magharibi chini ya ufadhili wa Serikali ya Japan imekamilika. Aidha hivi sasa Serikali inaendelea na utekelezaji wa miradi midogo midogo kwa ulazaji wa mabomba mapya, uchimbaji wa visima vipya kama inavyoonekana katika jadweli nambari 2. Jadweli Nam. 2: Maeneo na kazi zilizofanyika katika mradi wa usambazaji maji Mkoa wa Mjini Magharibi. Eneo Kazi iliyofanyika Kinuni, Kijichi, Magomeni, Mpendae, Ununuzi na Ulazaji wa Mabomba Kihinani, Chuini Kianga N9-2 na Mwembe Mchomeke 47 Ununuzi na Ufungaji wa Pump/Mota

48 na Chunga Chumbuni (3), Saateni pumping station Uchimbaji wa visima. na Sebleni Mombasa, Kijito upele, Koani na Afisi Ujenzi wa vituo vya makusanyo ya Kuu Mauzo ya maji pamoja na huduma kwa wateja. Serikali imetiliana saini na Kampuni ya China Railways Jianchang Co. ltd, Sino Hydro na Serenget Ltd kwa ajili ya usambazaji wa maji katika vijiji vya Nungwi, Matemwe, Machuwi, Dunga na Tunguu kwa Unguja, na vijiji vya Wambaa, Mizingani, Ndagoni, Vitongoji na Kambini kwa Pemba na miji mitatu (3) ya Chake Chake, Wete na Mkoani kwa ajili ya ujenzi wa miundo mbinu ya maji. Aidha, Serikali imefanya jitihada za kuijengea uwezo Mamlaka ya Maji kwa kuwapatia mafunzo ya vitendo wafanyakazi wa Mamlaka ya Maji kupitia Mshauri Mwelekezi wa Kampuni ya NIRAS. Mamlaka ya Maji imewaelimisha wananchi umuhimu wa kulinda, kuhifadhi na kutunza rasilimali maji hasa katika vyanzo na makinga maji (catchment areas). Aidha, wananchi wa maeneo mbalimbali ya miji na vijijini Unguja na Pemba wameelimishwa juu ya umuhimu wa kuchangia gharama za huduma ya maji. 9.0 MAKAAZI Katika kutekeleza lengo la Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ya 1964 la kuwapatia makaazi na nyumba bora wananchi wake na katika kutekeleza Ilani ya Uchaguzi ya CCM , Serikali ya Mapinduzi Zanzibar imepanga kuendeleza juhudi hizo na kuhakikisha kwamba inasimama utekelezaji wa Sera ya Nyumba na kuandaa sheria. Kufikia malengo hayo Serikali inaendelea na matayarisho ya sheria ya kuanzisha shirika la nyumba. Serikali inaendelea kufanya mazungumzo na wawekezaji mbalimbali, wakiwemo TECHNO GROUP ya Dubai, Peoples Home ya Ujerumani na Chonging ya China kwa lengo la kufikia makubaliano ya kuwezesha kujenga Nyumba za Makaazi katika maeneo mbalimbali ya Unguja na Pemba. Aidha, kazi za ujenzi wa nyumba za makaazi za Bambi Mpapa ziko katika hatua za mwisho kukamilika UENDELEZAJI WA MAMLAKA YA MJI MKONGWE 48

49 Kwa kuupa hadhi Mji Mkongwe wa Zanzibar kuwa ni hazina kubwa na kivutio cha Historia ya Zanzibar pia ikiwa ni Urithi wa Kimataifa, Ilani ya Uchaguzi ya CCM imeielekeza Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kuendelea kusimamia utekelezaji wa sheria ya Mamlaka ya Mji Mkongwe, kuwajengea uwezo wafanyakazi wake, kuandaa mpango wa matumizi endelevu ya eneo la Mji Mkongwe. Serikali kupitia Mamlaka ya Hifadhi na Uendelezaji Mji Mkongwe wa Zanzibar katika kuulinda na kuuhifadhi mji huo ili ubaki katika hadhi yake ya urithi wa asili, imetoa vibali 101 kwa kufanya matengenezo makubwa na madogo pamoja na kuwachukulia hatua za kisheria wanaokwenda kinyume na taratibu zilizowekwa. Mamlaka inafanya zoezi la kuwahamasisha na kuwaelimisha wamiliki wa majengo mbalimbali namna bora ya kuweka milango ya chuma majumbani mwao bila ya kuathiri haiba ya Mji Mkongwe. SEHEMU YA TISA 11.0 MAENEO MENGINE YA KIPAUMBELE 11.1 Utamaduni na Michezo katika kulinda na kudumisha mila na silka njema za jamii na kuimarisha michezo, CCM kupitia Ilani ya Uchaguzi imeielekeza SMZ kusimamia utekelezaji wa Sera na Sheria za Michezo na Utamaduni, kujenga kiwanja cha kisasa cha michezo ya ndani katika eneo la kiwanja cha Amani na kukamilisha Ujenzi wa kituo cha Michezo Dole (Academia). Kuanza maandalizi ya ujenzi wa uwanja mpya wa kisasa wa michezo ambao pia utatumika kwa maadhimisho ya sherehe mbali mbali za kitaifa, kufanya matengenezo na kuboresha uwanja wa Gombani Pemba. Pia kuendeleza na kuimarisha vipaji vya wanamichezo kwa kuwapatia fursa za kushiriki katika mashindano ya kitaifa na kimataifa pamoja na kuendeleza juhudi za kulinda, kuhifadhi na kudumisha mila, silka na maadili mema ya Wazanzibari. 49

50 Kwa lengo la kukuza vipaji na kuinua viwango vya michezo nchini Serikali ya Mapinduzi Zanzibar imewezesha timu za michezo mbali mbali kushiriki katika mashindano ya michezo nje na ndani ya nchi. Aidha, Serikali imeandaa mashindano mbali mbali iliyoshirikisha timu za hapa nchini. Jadweli Nam. 3: Mashindano mbalimbali ambayo timu za Zanzibar zilizoshiriki. Nam MASHINDANO 1 Mapinduzi Cup 2 Mapinduzi Cup 3 Mashindano klabu bingwa 4 Mashindano ya Vijana ya Afrika Mashariki na Kati Mashindano ya michezo ya watu wenye ulemavu wa akili. Mashindano ya Judo ya Afrika Mashariki na Kati Riadha Mashindano ya vijana ya kunyanyua vitu vizito Mashindano ya Kombe la Shirikisho la mpira wa Miguu Afrika Mashindano ya Klabu bingwa Afrika MCHEZ NCHI O Mpira wa Zanzibar miguu MWEZI MAELEZO Januari, 2012 Timu ya Jamhuri imefanikiwa kufika fainali. Mpira wa Zanzibar pete Januari, 2012 ya Mpira wa Zanzibar mikono (Pale) Novemba, 2011 Kuundwa kwa timu ya Taifa ya Zanzibar Tanzania Bara Julai, 2011 Zanzibar ilipata medali 3 za dhahabu Special Olympic Zanzibar Ugiriki (Athen) Julai, 2011 Zanzibar imepata medali 01 ya dhahabu JUDO Tanzania Bara Septemba, 2011 ZAWEA Uganda Desemba, 2011 Zanzibar ilitwaa ubingwa na kupata medali 14 za dhahabu. Zanzibar ilitokea mshindi wa tatu. Mpira wa Zanzimiguu bar/zim babwe Desemba/ Feb, 2012 Timu ya Jamhuri imeshiriki. Mpira wa Zanzimiguu bar/msu mbiji Decemba/Feb, 2012 Desemba, 2011 Timu ya Mafunzo imeshiriki Novemba, 2011 Vilabu vya Zanzibar na kutoka Tanzania bara vilialikwa Timu ya Zanzibar imeshiriki. 10 Mashindano CECAFA ya Mpira wa Tanzamiguu nia Bara 11 Mkubwa Open Cup Mchezo wa Golf 12 Morogoro Cup open Golf Zanzibar (Maisara) Tanzania Bara Januari, 2012 Zanzibar ilifika katika hatua ya pili.

51 13 Mashindano wazi 14 Gurunanaki Cup ya Kuogelea Zanzibar Tanzania Bara(Ta nga) Ligi Kuu ya Zan- Mpira wa Zanzibar zibar kikapu Novemba, 2011 Timu ya Taifa kwa ajili ya mashindano ya Zone 3 na 4 imepatikana. Timu ya Zanzibar imetokea ya Tatu. Septemba, 2011 Timu mbali mbali zimeshiriki. Mashindano ya Mpira wa Kenya Afrika Mashariki mikono na Kati Machi, 2012 Timu ya taifa ya Zanzibar imeshiriki. Hoki Febuari, 2012 Serikali imewezesha timu ya vijana chini ya umri wa miaka na ile ya ya Mpira wa Miguu kushiriki katika mashindano ya vituo vya Academia ya Michezo (Olympafrica Centres) vya Afrika Mashariki na Kati yaliyofanyika nchini Burundi na kufanikiwa kuwa Bingwa na kutunukiwa kombe lijulikanalo kwa jina la Daimler Cup 2010/2011. Aidha, Serikali imeweza kuwapatia mafunzo wakufunzi wa mchezo wa riadha, kriketi, mpira wa wavu na mpira wa mikono pamoja na kuendesha semina za mafunzo kwa makatibu, wenyeviti na makocha wa wilaya zote za Unguja. Kwa upande wa utamaduni Serikali imetafsiri Sera ya Utamaduni kwa lugha ya kiingereza ikiwa ni hatua za awali za maandalizi ya kuitangaza na kuijadili Sera hiyo kwa kushirikiana na wadau wengine kama UNESCO na UNDP. Serikali imefanya semina mbili (2) za mafunzo kwa wasanii 80 wa kazi za mikono Unguja na Pemba kwa ajili ya kuwahamasisha kuzalisha kazi zilizo bora zaidi. Serikali imekamilisha matayarisho ya Machapisho ya Kamusi za Lahaja za Kipemba (nakala 5,000), Kimakunduchi (nakala 1,000) na Kitumbatu (nakala 1,000). Kamusi hizo tayari zimezinduliwa rasmi na kusambaswa nchini kote kwa ajili ya matumizi. Serikali imekamilisha utafiti kuhusu mmong onyoko wa maadili katika Wilaya zote za Zanzibar. Aidha, Serikali imehakiki kazi za sanaa 2,407. Kati ya hizo 2,392 zimekubaliwa, 15 zimefanyiwa marekebisho na tatu (3) zimekataliwa. Vilevile, Serikali imeshajiisha wasanii kwa kuwapatia mafunzo ya sanaa za maonesho, kazi za mikono (wachoraji, wachongaji, waf51

52 inyanzi, wadarizi, waashi) na wasanii wa taarabu Vyombo Vya Habari Kwa kutambua wajibu wa vyombo vya habari, Ilani ya Uchaguzi ya CCM, imeielekeza Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kusimamia utekelezaji wa Sera ya Habari na kuendeleza Uhuru wa Vyombo vya Habari, utekelezaji wa Miongozo, Kanuni na Sheria ya Vyombo vya Habari, kuendeleza mafunzo kwa watendaji wa vyombo vya Habari na Utangazaji, kuviimarisha vyombo vya Habari ikiwemo ZBC TV na ZBC Redio, kwa kuvipatia vifaa na mitambo ya kisasa. Pia, kukiimarisha Chuo cha Uandishi wa Habari ili kiwe chombo cha kujenga na kutoa mwelekeo wa matumizi sahihi ya lugha ya Kiswahili kwa vyombo vya Habari, pamoja na kudhibiti uingizaji wa vifaa vya utangazaji na kuhakikisha kwamba, Zanzibar haigeuzwi kuwa jaa la kutupia vifaa visivyotumika vya televisheni, redio na utangazaji kwa ujumla. Vilevile, Serikali imeagizwa kukiimarisha kiwanda cha Mpiga chapa Mkuu wa Serikali. Serikali imendelea kutoa elimu kwa jamii kuhusu sheria ya uhuru wa vyombo vya habari kwa kutumia TV na Redio pamoja na kufanya semina kwa wadau wa vyombo vya habari. Kufuatia kukamilika kwa kazi ya uwekaji wa mkonga wa Taifa wa mawasilano (national fibre optic cable) Serikali imesaini Mkataba na kampuni ya AGAPE & ELLETRICA wa uwekaji wa miundombinu ya digitali, ambapo ifikapo tarehe 31 Disemba 2012 Zanzibar itakuwa imeingia katika mfumo wa matangazo ya digitali. Serikali imezindua Kampeni ya matangazo ya mfumo mzima wa kuingia katika dijitali kutoka uliopo wa analojia. Pia imetoa muongozo kwa ajili ya vifaa vya kupokea matangazo ya digitali ikiwa pamoja na kufanya semina moja kwa watendaji wakuu na wamiliki wa vituo vya utangazaji nchini juu ya changamoto za digitali. Aidha, Serikali imeufanyia mapitio Mkakati wa Mawasiliano (Communication Strategy for Analogy to Digital Migration) uliotayarishwa sambamba na Mkakati wa Mageuzi ya Teknologia ya Utangazaji Kutoka Analojia kwenda digitali (Analogy to Digital Migration Strategy for ). Katika jitihada za kujitayarisha na mageuzi hayo, Serikali tayari imefunga mitambo mipya ya kisasa ya aina ya dijitali kisiwani Pemba. Pia, Shirika la Utangazaji limeongeza urushaji wa vipindi vya moja moja kwenye matukio muhimu ili kuweza kuwapasha habari wananchi kwa wakati unaostahiki. Serikali imenunua mashine na vifaa mbalimbali kwa ajili ya kufanya matengenezo ya ghala na vyumba vya studio ya Dole pamoja na uwekaji mnara wa masafa mafupi (short wave) wa kilowati 50. Vile 52

53 vile, Serikali imeimarisha huduma za usambazaji wa magazeti ya Zanzibar Leo ndani na nje ya Zanzibar yanayochapishwa na kusambazwa na Shirika la magazeti ya Serikali na kuwafikia wasomaji wengi zaidi. Katika kuimarisha mashirikiano ya kitaasisi, Shirika la Utangazaji la Zanzibar (ZBC) na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania (TCRA) zimekutana na kufanya mazungumzo kuhusu mikakati ya udhibiti wa uingizaji wa vifaa vikongwe vya analojia pamoja na kuainisha sifa za MUX (Multi Press Operator). Aidha, Serikali imeandaa miongozo mbalimbali ya kitaalamu ya Chuo cha Habari Zanzibar ikiwemo Kitabu cha Muongozo wa Shughuli za Chuo [Prospectus], Vipeperushi [Brochures], na Mpango Mkakati [Strategic Plan] wa Chuo. Aidha chuo kiomeongeza idadi ya wanafunzi wapya kutoka 122 mwaka 2010/2011 hadi 150 kwa mwaka 2011/2012. Idadi hiyo ni ya wanafunzi wa ngazi ya cheti na Stashahada. Katika jitihada za kukiimarisha Kiwanda cha Mpiga Chapa Mkuu wa Serikali Zanzibar, Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imekipatia kiwanda hicho majengo yaliyokuwa ya Kiwanda cha Sigara Maruhubi kwa lengo la kukihamishia kiwanda hicho kutoka eneo la Saateni. Sambamba na hilo, Serikali imeanza hatua za kutafuta wazabuni wa ujenzi/matengezo ya kiwanda na ununuzi wa mashine mpya na za kisasa kwa ajili ya kiwanda hicho Majanga na Huduma za Uokozi Ili kuweza kutoa huduma za kukabiliana na majanga na maafa, Ilani ya Uchaguzi ya CCM imeielekeza Serikali kuimarisha uwezo wa Kikosi cha Zimamoto na Uokozi (KZU) kwa kukipatia mafunzo na vifaa vya kisasa pamoja na kuanzisha vituo vipya katika kila Wilaya ili kuweza kutoa huduma za haraka na uhakika katika maeneo yote ya Zanzibar. Vile vile, Ilani imeelekeza kuimarishwa kwa Kitengo cha Taifa cha Maafa pamoja na Kamati za Maafa za Mikoa na Wilaya. Ilani pia imeiagiza Serikali kuanzisha vikosi maalum vya uokozi baharini na kuvipatia zana bora za kufanyia kazi. Aidha, Serikali imeelekezwa kuimarisha ushirikiano na nchi nyengine hususan za Afrika ya Mashariki katika masuala ya kukabiliana na maafa. Katika kukiimarisha Kikosi cha Zimamoto na Uokozi (KZU), Serikali imekiongezea askari wapya wapatao 200 ambao wamepatiwa mafunzo katika Chuo Cha Zimamoto na Uokozi Ki53

54 togani pamoja na kutoa mafunzo ya uongozi na kupandishwa daraja/vyeo kwa askari kutoka katika vituo mbalimbali vya Unguja na Pemba. Serikali imewapatia mafunzo ya muda mfupi nchi za nje askari sita (6) wa Kikosi cha Zimamoto na Uokozi na askari wanne (4) wamepatiwa mafunzo maalum ya uzamiaji ili kuongeza uwezo wao katika shughuli za uokozi baharini na nchi kavu. Serikali pia imenunua vifaa vya aina mbalimbali vya kazi yakiwemo magari 6 ya kuzimia moto ili kutekeleza majukumu yao kwa ufanisi zaidi. Miongoni mwa magari hayo, moja lina uwezo wa kubeba lita 10,000, moja lita 7,500, moja lita 5,000 na matatu lita 2,000 za maji. Serikali imeendelea kuimarisha Idara ya Kukabiliana na Maafa kwa kuwapatia mafunzo ya muda mrefu na muda mfupi wafanyakazi wake nje na ndani ya nchi. Jumla ya wafanyakazi 10 (4 nje na 6 ndani ya nchi) wamepatiwa mafunzo ya muda mfupi ya kukabiliana na maafa. Vilevile wafanyakazi watatu (3) walishiriki katika zoezi la mafunzo ya vitendo (simulation exercise) ya namna ya kuratibu maradhi ya mripuko yanayoingia katika nchi zaidi ya moja kwa wakati mmoja (Pandemic). Serikali inaendelea kuwapatia mafunzo ya muda mrefu wafanyakazi wawili katika fani ya Sheria na raslimali watu. Ili kuimarisha mawasiliano baina ya watendaji wa sekta ya maafa, Serikali imeipatia Idara ya Kukabiliana na Maafa, radio za mawasiliano za masafa mafupi (radio calls) pamoja na kufunga mitambo ya radio hizo katika Ofisi za Wakuu wa Wilaya tano za Zanzibar. Pia pikipiki nne (4) kwa ajili ya shughuli za ufuatiliaji zimenunuliwa. Katika kuimarisha Kamati za Maafa, Serikali imetoa mafunzo ya kukabiliana na maafa kwa Kamati za Maafa za Shehia 33 za Pemba (Micheweni 13 na Wete 20). Aidha Serikali imeandaa Mipango ya Kujiandaa na Kukabiliana na Maafa kwa Wilaya hizo ambayo itakuwa ni miongozo kwa taasisi na wananchi katika kuandaa na kutekeleza programu mbalimbali za kujiandaa na kukabiliana na maafa ndani ya wilaya zao. Serikali imeanzisha programu za kutoa elimu ya maafa kwa wananchi kwa njia ya redio kupitia Shirika la Utangazaji la Zanzibar (ZBC) ambavyo vinarushwa mara mbili kwa wiki. 54

55 Serikali imekamilisha Miongozo ya Kitaifa ya Kukabiliana na Maafa ikiwa ni pamoja na Sera ya Kukabiliana na Maafa ya Zanzibar (2011), Mpango wa Kujiandaa na Kukabiliana na Maafa Zanzibar (2011) na Mkakati wa Mawasiliano Wakati wa Maafa Zanzibar (2011). Miongozo hii tayari imezinduliwa na imeanza kutumika rasmi Katibu Mkuu, Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais, Dkt. Khalid Mohamed akizindua Vitabu vya Mpango wa Kukabiliana na Maafa na Mkakati wa Mawasiliano wakati wa Maafa, Siku ya Kimataifa ya Kukabiliana na Maafa tarehe 13 Oktoba, 2012, katika Ukumbi wa Hoteli ya Bwawani Zanzibar Hatua ya kuifanyia mapitio Sheria ya Maafa No.2 ya mwaka 2003 inaendelea ili kwenda sambamba na Sera ya Kukabiliana na Maafa pamoja na miongozo mingine ya Kimataifa. Rasimu ya Sheria hiyo tayari imewasilishwa kwa wadau ili watoe maoni yao juu ya muundo na muelekeo wa Sheria hiyo katika kukidhi mahitaji yaliyopo na yajayo katika kukabiliana na maafa. Katika kutekeleza mpango wa kuimarisha shughuli za uokozi baharini, Serikali imetenga maeneo matatu katika visiwa vya Unguja na Pemba kwa ajili kuweka vituo vya kutoa huduma za uokozi kwa watumiaji wa bahari wakiwemo wavuvi na wasafiri. Maeneo hayo ni Nungwi, Kibweni na Mkoani. Pia Serikali imeshatoa mafunzo maalum ya uzamiaji na uokozi baharini kwa askari 30 wa KMKM ambao watawekwa katika vituo hivyo. Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imekuwa ikishiriki katika vikao mbalimbali vya mashirikiano katika suala la kukabiliana na maafa ili kuweza kujifunza na kupata uzoefu wa uendeshaji wa masuala ya maafa. Wafanyakazi watano wa sekta za afya, mifugo na maafa walishiriki katika zoezi la vitendo (simulation exercise) juu ya uratibu wa maradhi ya mripuko (Pandemic) lililoshirikisha nchi za Afrika na Marekani lilofanyika Arusha. Serikali pia 55

56 inaendelea kushiriki katika mchakato wa uundaji wa Mkakati wa Kukabiliana na Maafa wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki. Aidha Serikali imeanzisha mashirikiano na Serikali ya Israel ili kuweza kuisaidia Zanzibar katika masuala ya maafa. Ziara ya awali ya kuweka msingi wa mashirikiano hayo imefanywa na viongozi wa Serikali na wa sekta husika Madawa ya Kulevya Ili kuendeleza mapambano dhidi ya madawa ya kulevya, Ilani ya Uchaguzi ya CCM imeiagiza Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kusimamia utekelezaji wa Sheria ya Kudhibiti Madawa ya Kulevya, kushirikiana na asasi za kijamii katika kuelimisha vijana athari za madawa ya kulevya pamoja na kuchukuwa hatua za kuimarisha ulinzi na uthibiti wa vituo vya kuingilia nchini. Aidha, Serikali ihamasishe ulinzi shirikishi ili kuthibiti uingizaji, usambazaji na utumiaji wa madawa ya kulevya. Pia kuanzisha vituo maalum vya kurekebisha vijana walioathirika na madawa ya kulevya. Serikali kupitia Tume ya Uratibu na Udhibiti wa Madawa ya Kulevya na wadau wengine imetoa taaluma kupitia vyombo vya habari (vipindi 35) taasisi za elimu, mikutano ya shehia na huduma za kuwafikia vijana katika maeneo yao (Outreach services). Aidha, skuli za msingi na Sekondari zaidi ya 16 Unguja na Pemba zenye wastani wa wanafunzi 3,577 pamoja na walimu wasiopungua 56 walipewa taaluma juu ya athari za madawa ya kulevya. Aidha, Serikali kupitia Programu za Taaluma Sehemu za Kazi iliweza pia kuwafikia jumla ya wanafunzi 763 wa Chuo cha Polisi Ziwani, wanafunzi 200 wa Skuli ya Elimu Mbadala ya Rahaleo, viongozi 140 wa Jumuiya za dini, watendaji wa Serikali 132 na wananchi katika Shehia 12 za Unguja na Pemba. Jumla ya watu 710 walipimwa kwa hiari na vijana 125 waliweza kufikiwa katika maeneo mbali mbali kupitia Mpango wa Ufuatiliaji wa Vijana Wanaotumia Dawa za Kulevya (Outreach Program). Katika kuendeleza juhudi za taasisi zisizo za Kiserikali (NGOs) zinazotoa huduma za makaazi na marekebisho ya tabia kwa vijana wanaoacha matumizi ya dawa za kulevya (Sober house) Serikali imetoa ruzuku ya jumla ya Tsh. 5,400,000 kwa nyumba tano (5) wanazoishi vijana zaidi ya 1,000. Serikali inaendelea na harakati za kupatikana kwa kituo cha tiba na marekebisho ya tabia kwa waathirika wa dawa za kulevya Demokrasia na Utawala Bora

57 Kwa kuzingatia umuhimu wa Demokrasia na Utawala Bora nchini, Ilani ya CCM iimeielekeza Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kusimamia utekelezaji wa kazi na majukumu ya Serikali na kuendeleza kazi za utekelezaji wa mikakati ya elimu ya uraia. Ilani pia imeielekeza Serikali kuimarisha Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka, Ofisi ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali na Mahakama. Serikali imeagizwa pia kuanzisha Mahakama ya Biashara Zanzibar, kuifanyia mapitio sheria ya Asasi za Kiraia (NGO S) na kukamilisha ujenzi wa Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi. Katika kuendeleza Mkakati wa Elimu ya Uraia, Serikali imetoa Elimu ya Uraia katika Shehia 12 (6 Unguja na 6 Pemba). Aidha, Serikali inaendelea na taratibu za kukamilisha Sheria ya Maadili ya Viongozi ikiwa ni pamoja na kuisambaza kwa wadau ili waweze kutoa mapendekezo yao. Pia Serikali imerusha hewani vipindi 14 kuhusu elimu ya uraia kupitia Shirika la Utangazaji Zanzibar (ZBC). Aidha, Serikali kwa kushirikiana na African Peer Review Mechanism (APRM) ilifanya uhakiki wa ripoti ya Utawala Bora ya Tanzania. Sambamba na hayo, Serikali kwa kushirikiana na Search for Common Ground imetoa mafunzo ya Utawala bora kwa watendaji wa Taasisi za Serikali. Katika mwaka 2010/2012, Baraza la Wawakilishi limeweza kutekeleza majukumu mbalimbali ikiwa ni pamoja na kujadili na kupitisha bajeti mbili za serikali ya mwaka 2011/2012 na mwaka 2012/2013; Kupitisha miswada 10 ya Sheria; Kujadili Ripoti za Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Serikali za 2009/2010 na 2010/2011; Kujadili hoja binafsi na taarifa ya kuzama kwa meli ya MV Spice Islander. Kamati za Baraza la Wawakilishi zimefanya kazi za ufuatiliaji wa utendaji wa Taasisi za Serikali. Jumla ya maswali 733 yaliulizwa na kujibiwa na Mawaziri wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar wakati wa vikao vya Baraza. Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar imeendesha chaguzi ndogo mbili (2) za Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi kwa Jimbo la Bububu na Uzini pamoja na uchaguzi wa Wadi ya Mwanyanya ambapo wagombea wa CCM katika chaguzi zote walishinda Mkurugenzi wa Mashtaka Katika kuiimarisha Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka, Serikali imelifanyia matengenezo jengo la kitengo cha Uendeshaji wa Mashtaka katika mahkama za Wilaya, Mwanakwerekwe. Aidha, katika kuwaendeleza watendaji wa Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka, Serikali imewapatiwa mafunzo ya muda mrefu watendaji 12 na watendaji 17 wamepatiwa mafunzo ya muda mfupi ndani na nje ya nchi na kuajiri wanasheria wapya watano (5). Vile vile Ofisi 57

58 imetoa mafunzo kuhusu haki za binaadamu kwa vyombo vinavyosimamia sheria ikiwa ni pamoja na Jeshi la Polisi, Vikosi Maalum vya SMZ na Majaji na Mahakimu. Serikali imeongeza idadi ya Majaji wa Mahkama Kuu hadi kufikia Majaji wanne (4) wakiwemo majaji wanawake wawili. Serikali imeimarisha Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali kwa kujenga jengo jipya la kisasa la ofisi hiyo ambalo tayari limeshafunguliwa rasmi. Ili kuhakikisha kwamba kuna usimamizi madhubuti wa matumizi ya fedha na rasilimali nyengine za umma pamoja na kusimamia ipasavyo uwajibikaji, Serikali imetoa mafunzo ya Sheria ya Fedha kwa Makatibu Wakuu wa Mawizara, Kamati ya Fedha na Uchumi ya Baraza la Wawakilishi na Kamati ya Uchunguzi wa Hesabu za Serikali ya Baraza la Wawakilishi (PAC) pamoja na wahasibu na watendaji wengine wa Serikali. Serikali pia imeongeza nguvu ya kitengo cha ukaguzi wa hesabu za ndani na kuanzishwa kwa Pre Audit na Kamati za Ukaguzi za Wizara zote za SMZ. Aidha, jumla ya watumishi 13 wa Ofisi ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali na wajumbe 2 wa Kamati ya Kuchunguza Hesabu ya Baraza la Wawakilishi walihudhuria mikutano ya NTOSAI, AFROSAIE na SADCOPAC. Pia wafanyakazi 27 wamepatiwa mafunzo ya Ukaguzi yakinifu na wa mazingira na watumishi 25 wamepatiwa mafunzo ya muda mfupi juu ya ukaguzi yakinifu. Serikali pia imeshakamilisha mwongozo wa kazi, pamoja na kutoa taaluma zaidi kwa watendaji wa ofisi hiyo ili kuweza kufanya kazi za ukaguzi wa hesabu kwa kuzingatia viwango vya Kimataifa. Ripoti za ukaguzi ya mwaka 2009/2010 na 2010/2011 zimeandaliwa na kujadiliwa na Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi ambazo zinaonyesha mafanikio makubwa ya kiutendaji juu ya kupungua kiasi kikubwa kwa matumizi mabaya ya fedha za umma. Serikali imekamilisha ujenzi wa jengo jipya la Baraza la Wawakilishi na linatumika kwa shughuli zote za Baraza. Serikali inaendelea na taratibu za kuanzishwa kwa Mahkama ya Biashara ikiwa ni pamoja na kutoa jengo kwa ajili ya ofisi ambalo linafanyiwa matengezo. Serikali pia inaandaa rasimu ya Sheria ya Mahakama hiyo Serikali za Mitaa Kutokana na umuhimu wa Serikali za mitaa katika kuwawezesha wananchi kushiriki katika utawala wa nchi yao. Ilani ya Uchaguzi ya CCM imeielekeza Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kufanya mapitio ya Sheria ya Serikali za mitaa na Mamlaka ya Tawala za 58

59 Mikoa na Miji. Ilani pia imeiagiza Serikali kuziimarisha Serikali za mitaa kwa kuzipatia ruzuku, wataalamu wa fani mbali mbali na vifaa vya kisasa ili kutoa huduma bora kwa wananchi. Kuimarisha mahusiano kati ya wananchi na madiwani na watendaji wa Halmashauri za Wilaya, Mabaraza ya Miji na Baraza la Manispaa. Pia kuwahamasisha wananchi kuunda kamati za maendeleo za maeneo yao ili kusukuma maendeleo ya kiuchumi na kijamii. Vile vile Serikali imeagizwa kuzihimiza Serikali za mitaa kusimamia usafi wa miji na uhifadhi wa mazingira katika maeneo yao. Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imeandaa Sera ya Serikali za Mitaa na imo katika hatua za kukamilisha Mpango wa Marekebisho ya Serikali za Mitaa kwa madhumuni ya kufanikisha azma ya Serikali ya kupeleka madaraka karibu na wananchi. Aidha, Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kuimarisha demokrasia imetoa mafunzo ya elimu ya demokrasia na dhana ya Mfumo wa Serikali ya Mapinduzi yenye Muundo wa Umoja wa Kitaifa kwa Masheha na Madiwani wa Mikoa yote mitano ya Unguja na Pemba. Pamoja na faida nyengine mafunzo hayo pia yatasaidia zaidi katika kuwahamasisha wananchi kuunda kamati za maendeleo katika maeneo yao. Baraza la Manispaa limefanya matengenezo ya soko la Darajani na soko la mboga mboga Mombasa. Pia Serikali imeweza kuvihamasisha vikundi mbali mbali vya jamii kusaidia usafi wa mazingira katika shehia na wadi zao ndani ya maeneo ya Mji na jumla ya vikundi 18 vimesajiliwa kwa kazi hiyo. Baraza pia limezifanyia matengenezo bustani katika sehemu mbali za mji ikiwa ni pamoja na Bustani ya Jamhuri. Aidha, barabara mbali mbali pamoja na taa za barabarani zimefanyiwa matengenezo Vikosi Maalum Vya SMZ Ilani ya CCM ya mwaka , imeiagiza Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kuviimarisha vikosi vyote vya SMZ na kuweka mkazo zaidi katika kuvijengea uwezo na mazingira mazuri ya kazi kwa kuvipatia mafunzo, vifaa vya kisasa na miundombinu ya kambi pamoja na majengo. Pia Serikali itaendelea kuyadumisha mashirikiano yaliopo baina ya vikosi hivyo na vyombo vya Ulinzi na Usalama nchini. 59

60 Katika jitihada za kuviimarisha Vikosi vya SMZ, Serikali imekipatia kikosi cha KMKM vifaa mbali mbali ikiwa ni pamoja vifaa vya mawasiliano na kulifanyia matengenezo jengo la kambi ya Msuka. Zaidi ya askari 64 wa Kikosi cha Maalum cha Kuzuia Magendo (KMKM) wanaendelea na masomo mbali mbali kwa mujibu wa fani zao. Kwa upande wa kikosi cha JKU, Serikali imekamilisha ujenzi wa madarasa ya Sekondari lenye vyumba vinne na ujenzi wa nyumba ya Mkuu wa JKU Pemba katika Wilaya ya Chake Chake unaendelea. Jumla ya wapigananji 86 wamekamilisha mafunzo ya Uongozi mdogo na wapiganaji 57 wanaendelea na masomo katika fani mbali mbali ikiwemo afya, sheria, habari ualimu kilimo na kadhalika. Wakati huo huo vijana wapatao 900 wanaendelea kupatiwa mafunzo ya amali katika Chuo cha Amali cha JKU na vijana 700 wamepelekwa JKT kwa mafunzo. Katika hatua za kupunguza msongamano wa wanafunzi katika vyuo vya mafunzo, Serikali imeanza ujenzi wa Chuo kipya na cha kisasa katika eneo la Hanyegwa Mchana, Unguja. Aidha, Serikali imejenga nyumba za familia Kangani Pemba na kukamilisha ujenzi wa bweni la kulala wanafunzi Kinumoshi. Vifaa mbali mbali vya kuimarisha kilimo vikiwemo pembejeo na zana nyengine za kilimo. SEHEMU YA KUMI 12.0 KUYAENDELEZA MAKUNDI MBALIMBALI 12.1 Watoto Kwa kuzingatia ukweli kwamba watoto ndio chanzo cha rasilimali watu na urithi wa Taifa lolote. Ilani ya CCM kwa kipindi cha itaendelea kuimarisha haki na maendeleo ya watoto na itahakikisha kwamba inachukua hatua mbali mbali ikiwemo kusimamia utekelezaji wa Sera ya Uhai, Hifadhi na Maendeleo ya Watoto, kupitisha Sheria ya Mtoto na kusimamia utekelezaji wake. Kusimamia utekelezaji wa mikataba ya Kimataifa inayohusu haki na ustawi wa watoto na kupiga vita ajira za watoto. Serikali itasimamia na kuimarisha upatikanaji wa huduma za kinga, tiba na afya ya mama na mtoto. Serikali itasimamia ukamilishaji wa nyumba ya watoto mayatima Mazizini na ujenzi wa nyumba ya mayatima Pemba. 60

61 Serikali inaifanyia mapitio Sera ya Uhai, Hifadhi na Maendeleo ya Mtoto ya mwaka 2001 ili iende sambamba na Sheria ya Mtoto ya mwaka 2011, masuala ya Malezi na Makuzi ya watoto wenye umri kati ya miaka 0-8 (ECD) na Watoto wanaokinzana na Sheria. Hadi kufikia mwezi Septemba 2012, rasimu ya awali ya sera hiyo tayari imeshandaliwa. Katika jitihada za kulinda haki za mtoto, Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imepitisha Sheria ya Mtoto ya mwaka Aidha, Serikali kupitia Wizara ya Ustawi wa Jamii, Maendeleo ya Vijana, Wanawake na Watoto imeandaa rasimu ya Mpango Kazi wa utekelezaji wa Sheria ya Mtoto kwa mwaka Pia, kazi ya utayarishaji wa kanuni za Sheria hiyo inaendelea ambapo tayari rasimu za kanuni hizo zimeandaliwa. Kanuni hizo zinahusu masuala ya kusimamia haki na maendeleo ya watoto pamoja na kanuni zinazosimamia masuala ya kisheria kwa watoto child justice. Muongozo wa Kitaifa wa Hifadhi na Ustawi wa Watoto Zanzibar pamoja na Mpango kazi wa miaka mitano ( ) umetayarishwa na kusambazwa kwa walengwa. Muongozo huo unalengo la kutoa muelekeo wa kushughulikia masuala ya hifadhi na ustawi wa mtoto nchini. Pia, miongozo ya uanzishaji na uendeshaji wa vituo vya kulelea watoto imeandaliwa na kutolewa kwa vituo vyote 13 vinavyolea watoto (Unguja vinane na Pemba vitano) kwa lengo la kuweka uwiano na ubora wa utoaji huduma kwa taasisi/vituo vya kulelea watoto Zanzibar. Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar inaendelea kutoa huduma za matunzo kwa watoto 47 (w ume 19 na w ke 28), katika kituo cha kulelea watoto kilichopo Mazizini ambapo jumla ya Shs. Milioni nne (4,000,000) kwa mwezi hutumika kuwahudumia watoto hao. Pamoja na matunzo hayo, Serikali pia inagharamia masuala ya elimu, matibabu pamoja na mavazi kwa watoto hao. Aidha, Serikali inatoa ruzuku ya Shs. Milioni moja (1,000,000) kila mwaka kwa Kijiji cha SOS kusaidia uendeshaji wa kituo hicho. Ili kuwawezesha watoto kuwa na chombo chao cha kusimamia masuala yao kuelewa haki zao na kujiamini Serikali kupitia Wizara ya Ustawi wa Jamii na Maendeleo ya Vijana, Wanawake na Watoto inasimamia uanzishwaji na kuyaendeleza Mabaraza ya Watoto kwa kuwajengea uwezo viongozi wa mabaraza hayo. Mabaraza ya watoto yanaanzia ngazi ya Shehia hadi Taifa. Hadi kufikia Septemba 2012, jumla ya mabaraza 51 yameanzishwa (Unguja 20 na Pemba 31). Ili kuhakikisha kwamba, masuala mbalimbali yanayohusu udhalilishaji wa watoto yanapewa 61

62 mtizamo unaostahili, Wizara ya Ustawi wa Jamii na Maendeleo ya Vijana, Wanawake na Watoto imeunda Kamati ya Kitaifa ya Hifadhi ya Mtoto hapo mwaka Kamati hizi ni mbili (moja ipo Unguja na nyengine iko Pemba) ambazo zinakutana mara 2 kwa mwezi. Majukumu makuu ya kamati hizi ni kusimamia na kufuatilia kesi za huduma, matunzo na udhalilishaji wa watoto. Aidha, Serikali imeanzisha vituo vya Mkono kwa mkono (one stop centre) katika hospital ya Mnazi mmoja kwa Unguja na Chake Chake huko Pemba kwa lengo la kushughulikia kesi za udhalilishaji wa wanawake na watoto kijinsia. Vituo hivyo, vimejumuisha watendaji kutoka Polisi, Sekta ya Afya, Ustawi wa Jamii na Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka. Waathirika wanapatiwa huduma za kidaktari, ushauri nasaha na kukusanya ushahidi unaohitajika katika kuendesha mashtaka. Lengo ni kupunguza usumbufu na kuhifadhi ushahidi wa kesi za udhalilishaji. Watendaji wa vituo hivyo wameshapatiwa mafunzo kadhaa ikiwemo jinsi ya kuwashughulikia waathirika, ushauri nasaha na namna ya ukusanyaji na utunzaji wa ushahidi. Aidha, baadhi ya vifaa vikiwemo vifaa vya huduma ya mwanzo (first aid kits) na ukusanyaji wa ushahidi vimetolewa na kupatiwa kituo cha Mkono kwa Mkono. Tokea kuanzishwa kwa kituo hicho mwezi Mei 2011, kwa Unguja jumla ya kesi 689 za udhalilishaji wa watoto zimepokelewa na kushughulikiwa. Kwa upande wa Pemba kituo kimezinduliwa mwezi Septemba Mheshimiwa Makamo wa Pili wa Rais, Balozi Seif Ali Iddi, akizindua rasmi no kwa mkono (One stop Center) hospital ya Mnazi mmoja 62 Kituo cha Mko-

63 Aidha, kesi na malalamiko mengine 489 zinazohusu haki za watoto zimepokelewa na Wizara ya Ustawi wa Jamii na kushughulikiwa. Kesi hizo zinahusu udhalilishaji, kutelekezwa, kutoroshwa na kukashifiwa. Katika kuhakikisha kwamba ajira za watoto zinapigwa vita, Serikali imetayarisha muongozo wa utaratibu wa utekelezaji na ufuatiliaji wa shughuli za kuwatoa watoto katika ajira mbaya na hatarishi. Serikali kupitia Wizara ya Ustawi wa Jamii na Maendeleo ya Vijana, Wanawake na Watoto inaendesha zoezi la utambuzi na usajili wa watoto walio katika mazingira magumu ambapo kwa wakati huu Wilaya mbili za Zanzibar zimekamilisha zoezi hilo (Wete kwa Pemba na Magharibi kwa Unguja). Jumla ya watoto 12,453 wamesajiliwa (Wete 4,742 na 7,711 Magharibi). Vilevile, kupitia zoezi hilo Wizara tayari imeanzisha mfumo wa kuhifadhi taarifa za watoto hao (Most Vulnerable Children Data Management System). Aidha, mpango wa kuwasidia watoto hao unaandaliwa kwa kushirikiana na Ofisi ya WAKF, Vizazi na Vifo na Ofisi ya Mufti ili kuboresha huduma wanazopatiwa watoto hao Vijana Ilani ya CCM katika kukabiliana na changamoto zinazowakabili vijana imetoa maelekezo kwa Serikali kuchukua hatua ya kusimamia utekelezaji wa sera ya Maendeleo ya Vijana, Sera ya Ajira na Sheria za Kazi, kuimarisha mashirikiano na asasi zisizokuwa za Serikali (NGO s) zenye kushughulikia maendeleo ya Vijana. Kuanzisha Mfuko maalum wa vijana pamoja na kukamilisha uundwaji wa Baraza la Taifa la Vijana. Tathmini ya Vikundi vya Vijana kwa Unguja imefanyika ili kutambua idadi, mahitaji na changamoto mbali mbali zinazowakabili. Zoezi limefanyika kwa Wilaya sita za Unguja ambapo kwa upande wa Pemba tayari limekwishafanyika. Tathmini hiyo itatumika kuandaa mfumo wa uwekaji wa kumbukumbu (data base) kwa Vikundi vyote vya Vijana Zanzibar. Kukamilika kwa zoezi hili kutarahisisha shughuli ya kuwaunganisha vijana na huduma na fursa mbalimbali zinazojitokeza. Rasimu ya Katiba ya Baraza la Vijana Zanzibar imetayarishwa na kujadiliwa kupitia vikao mbali mbali. Rasimu hiyo imeshajadiliwa katika Kikao cha Makatibu Wakuu na kwa 63

64 mapendekezo ya Kikao hicho, Wizara inayohusika na masuala ya Vijana imeiwasilisha rasimu hiyo kwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwa ushauri wa kitaalamu. Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa mashirikiano na Shirika la Kazi Duniani iliandaa shindano la uandishi wa miradi. Vikundi vinane vilishiriki na vikundi viwili vilishinda. Jumla ya vikundi 442 vilihamasishwa kupeleka maombi yao UN HABITAT, wengine 17 walihamasishwa na kupata mkopo kupitia Mfuko wa Kujitegemea. Mfuko wa mikopo kwa Vijana unaoendeshwa na Shirika la UN - HABITAT na kugharamiwa na Serikali ya Norway wenye lengo la kuwaendeleza vijana kiuchumi umezinduliwa. Mfuko huo uliwapatia vikundi sita vya vijana ( Unguja viwili na Pemba vinne) shilingi za Kitanzania milioni 149 (dola za kimarekani 85,000). Aidha, mikutano ya kuwaelimisha vijana wa Zanzibar juu ya utaratibu wa upatikanaji wa fedha kutoka Mfuko huo umefanyika Unguja na Pemba. Mheshimiwa Zainab Omar, Waziri wa Ustawi wa Jamii, Maendeleo ya Vijana, Wanawake na Watoto akizindua rasmi Mfuko wa Mikopo kwa Vijana unaoendeshwa na UN HABITAT Serikali imeanzisha Mpango wa utoaji wa mikopo kwa vijana ambapo katika hatua za awali imetoa mafunzo kwa Maafisa Mikopo na mafunzo ya Ujasiriamali kwa Vijana wa SACCOS Unguja na Pemba. Mafunzo hayo yamesaidia kuanzishwa kwa SACCOS mbili kubwa; moja Unguja na nyengine Pemba ambazo zitawaunganisha Vijana na kuweza kupata Mikopo kupitia Benki ya CRDB. Mpango wa Mikopo kwa Vijana umezinduliwa na Makamo wa Pili 64

65 wa Rais, Balozi Seif Ali Iddi mwezi Januari, Jumla ya Shilingi Milioni 146,000,000 za mikopo zimeshatolewa kwa awamu tatu kwa vikundi 57 (vikundi 48 vya Unguja na vikundi 9 vya Pemba). Katika jitihada za Serikali za kuwapatia vijana wake ajira na kuweza kujitegemea kiuchumi, Wizara inayohusika na masuala ya vijana imeweza kuanzisha mradi wa majaribio wa kilimo cha mauwa rosella na mbogamboga. Kilimo cha majaribio ya mauwa ya Karkadei (Rosella) na mbogamboga kinaendeshwa katika maeneo ya Tunguu kwa Unguja na Mbuzini Pemba. Kwa upande wa Unguja, jumla ya Vijana 20 (wanaume 15 na wanawake 5) kupitia Jumuiya ya Mazingira na Usafi (ZASOSE) wananufaika na kilimo hicho. Kwa upande wa Pemba kazi ya kuwahamasisha na kuwasajili vijana kujiunga na kushiriki katika kilimo hicho imeshafanyika. Jumla ya shilingi milioni 100 zimetengwa kufanikisha kazi hiyo. Shamba la maua ya Rosela la Vijana wa ZASOSE Tunguu Unguja Serikali imeshafanya Tathmini ya Hali Halisi ya Vijana Zanzibar na taarifa zilizokusanywa zitatumika katika kushughulikia masuala ya vijana nchini katika nyanja mbalimbali. Tathmini hiyo pia imetumika katika kuimarisha mapitio ya Sera ya Maendeleo ya Vijana. Mapitio ya Sera hiyo yamefanywa kwa kuwahusisha wadau wa maendeleo ya vijana na vijana wenyewe. Rasimu ya Sera hiyo imo katika hatua za mwisho za mapitio Wanawake

66 Kutokana na mchango mkubwa wa wanawake katika ujenzi wa Taifa letu katika nyanja tofauti, kwa kipindi cha , Ilani ya Chama Cha Mapinduzi imeitaka Serikali iwahusishe wanawake katika siasa, uongozi na maendeleo ya uchumi kwa kuchukua hatua mbali mbali. Aidha, Serikali imetakiwa kuongeza nafasi na fursa ya uteuzi wa wanawake kushiriki katika nafasi za uongozi na uwakilishi hadi kufikia lengo la asilimia 50. Vile vile, mifuko ya uwezeshaji wa wanawake iimarishwe na wanawake kuhamasishwa kuzitumia fursa ziliopo katika utendaji, siasa, mikopo na kadhalika. Katika utekelezaji, Serikali imetayarisha Mpango Kazi wa kisekta dhidi ya udhalilishaji wa kijinsia na kusambazwa katika taasisi mbali mbali zinazohusika zikiwemo Jeshi la Polisi, Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka, Jumuiya ya Wanasheria Wanawake (ZAFELA), Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali na Vyombo vya Habari Unguja na Pemba. Kamati ya Kitaifa ya Kuzuia Vitendo vya Udhalilishaji wa Kijinsia imeanzishwa na kuzinduliwa mwezi Oktoba, Kamati ina majukumu ya kufanya ukaguzi na tathmini ya huduma zinazotolewa kwa waathirika wa vitendo vya udhalilishaji kijinsia kwa wanawake na watoto na kutoa mapendekezo ya kuimarisha huduma hizo. Rasimu ya Mswada wa Marekebisho ya Sheria ya Mahakama ya Kadhi ya mwaka 1985 imewasilishwa katika Ofisi ya Mwanasheria Mkuu kuendelea na hatua nyengine. Aidha, rasimu ya kanuni za Mswada wa Sheria za Mahakama ya kadhi zimeshaandaliwa na zinaendelea kufuata utaratibu ili ziweze kupitishwa na kutumika. Pia, hivi sasa Serikali inaifanyia mapitio Sheria ya Ndoa ya mwaka 1966 Sura ya 91 na 92 ili kurekebisha mapungufu yaliyobainika. Aidha, Serikali inakamilisha Sera ya Jinsia na muongozo wa kuzingatia masuala ya Jinsia katika Sera, Mipango na Bajeti za taasisi mbali mbali umeandaliwa. Serikali imefanya mapitio ya Mfumo wa Ufuatiliaji na Tathmini wa Masula ya Jinsia kwa kuingiza viashiria vya MKUZA pamoja na Mkataba wa kuondoa aina zote za ubaguzi dhidi ya wanawake (CEDAW). 66

67 Mheshimiwa Mohamed Aboud Mohamed, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais akipata maelezo kutoka kwa wakulima wa mwani wakati wa uzinduzi wa Mradi wa Kilimo cha mwani, Bwejuu Katika hatua ya uanzishwaji wa Benki ya Wanawake, utambuzi wa awali wa uanzishwaji wa Benki hiyo umefanyika. Utambuzi huo umefanywa kwa kufanya ziara katika taasisi za kifedha, vikundi vya SACCOSS na mabenki katika maeneo ya Unguja, Pemba na Tanzania Bara. Aidha ziara hizo zimehusisha vikundi vya uzalishaji mali vya wanawake. Kwa wakati huu kazi ya uandaaji wa ripoti ya utambuzi huo inaendelea. Kukamilika kwa taarifa hiyo kutawezesha kuendelea na mchakato wa uanzishwaji wa Benki ya wanawake. Ili kuhakikisha kwamba wanawake wanapata fursa ya kushiriki katika vyombo vya utoaji maamuzi, Serikali imeweza kufanya marekebisho ya Katiba iliyowawezesha wanawake kushiriki katika Baraza la Wawakilishi kuongezeka kutoka asilimia 30 hadi asilimia 40. Aidha, kwa upande wa Mabaraza ya Madiwani asilimia ya uwakilishi wa wanawake nayo pia umeongezeka na kufikia asilimia 40 kutoka 30 iliyokuwepo mwanzo Wazee Ilani ya Uchaguzi ya CCM imeitaka Serikali iendelee kuimarisha mipango na taratibu za utoaji wa huduma kwa wazee wasiojiweza wanaoishi kaika nyumba za Sebleni na 67

68 Limbani. Serikali itaendelea kuimarisha mafao ya wazee wanaostaafu ili waweze kujikimu kimaisha. Katika kuimarisha upatikanaji wa huduma za kiustawi kwa wazee wasiojiweza na wale wanaoishi katika mazingira magumu, Serikali inaendelea kuwapatia huduma za matunzo wazee kupitia nyumba za kutunza wazee za Sebleni na Welezo kwa Unguja na Limbani na Gombani kwa Pemba. Serikali inawapa huduma na matunzo kwa wazee wanaoishi katika makao ya wazee ambapo Wazee 60 wa Sebleni na tisa wa Limbani na Gombani wanapatiwa milo mitatu ya chakula kwa siku pamoja na kupatiwa posho la Tshs 40,000 kwa mwezi ili waweze kupata mahitaji mengine. Aidha, Serikali inatoa ruzuku ya Shs 3,000,000 kila mwezi kwa ajili ya kituo cha Wazee Welezo. Pia wazee 40 wanaoishi katika kituo hicho wanapatiwa posho la Shs. 15,000 kwa mwezi kwa kila mmoja. Serikali imefanya ukarabati mkubwa wa majengo ya Makao ya Wazee Sebleni na Limbani. Ukarabati huo ni pamoja na nyumba ya Wazee Sebleni iliyoungua moto, ukumbi wa mkutano na ujenzi wa jiko la dharura na vibanda vya walinzi, uchimbaji wa kisima na ujenzi wa uzio. Kwa upande wa Makao ya Wazee huko Pemba, matengenezo madogo madogo katika Makao ya Wazee Limbani na Gombani yamefanyika. Ujenzi wa Uzio na ukarabati wa Nyumba ya Wazee Sebleni, Unguja 12.5 Watu Wenye Ulemavu Serikali inaamini usawa wa binaadamu na kwamba watu wenye ulemavu wana haki kwa mujibu wa Katiba ya nchi. Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kipindi cha miaka mitano 68

69 cha utekelezaji wa Ilani itaendeleza jitihada za kuimarisha ustawi wa watu wenye ulemavu kwa kusimamia utekelezaji wa Sera ya Watu wenye Ulemavu na kuwapatia elimu na fursa za mafunzo, afya, stadi za ufundi, misaada, mikopo ya fedha, pamoja na vifaa muhimu vitakavyokwenda sambamba na mahitaji maalum. Aidha, Serikali itashirikiana kwa karibu na Jumuiya za Watu Wenye Ulemavu katika kuielimisha jamii iondokane na mitazamo hasi dhidi ya watu wenye ulemavu. Katika kufikia dhamira hiyo, Serikali imeanza kutoa ruzuku ya Shilingi 16,833,000 kwa Jumuiya tisa za watu wenye ulemavu. Ili kuhakikisha usawa, haki na fursa za watu wenye ulemavu zinapatikana, Serikali imeanzisha Kamati ya Kutunisha Mfuko wa Maendeleo ya masuala ya watu wenye ulemavu ambayo imefanya Harambee ya kuchangia Mfuko huo ambapo jumla ya Shilingi 200,000,000 zinatarajiwa kukusanywa. Aidha, Serikali imezindua tovuti maalum ya Mfuko wa Watu Wenye Ulemavu ili kupata na kutoa taarifa zitakazosaidia mawasiliano ya shughuli na maendeleo ya watu wenye ulemavu. Mheshimiwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohammed Shein, akiwa katika hafla ya kuchangisha fedha kwa ajili ya Mfuko wa Watu Wenye Ulemavu pamoja na kuzindua Tovuti ya Mfuko huo iliofanyika Zanzibar Beach Resort. Ili kuimarisha utendaji kwa watu wenye ulemavu, Serikali imeajiri Maafisa Waratibu wa Wilaya ili kuandaa mazingira rafiki kwa watu wenye ulemavu. Kupitia vyombo vya habari, Serikali imerusha Vipindi vya kuelimisha jamii juu ya umuhimu wa sera na Sheria ya Watu Wenye Ulemavu Zanzibar. 69

HISTORIA (WASIFU WA) YA MAREHEMU DKT. WILLIAM AUGUSTAO MGIMWA

HISTORIA (WASIFU WA) YA MAREHEMU DKT. WILLIAM AUGUSTAO MGIMWA HISTORIA (WASIFU WA) YA MAREHEMU DKT. WILLIAM AUGUSTAO MGIMWA (MB) ALIYEKUWA WAZIRI WA FEDHA KATIKA SERIKALI YA AWAMU YA NNE YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA 1. KUZALIWA Marehemu Dkt. William Augustao

More information

HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS IKULU NA UTAWALA BORA MHESHIMIWA DKT. MWINYIHAJI MAKAME

HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS IKULU NA UTAWALA BORA MHESHIMIWA DKT. MWINYIHAJI MAKAME SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR OFISI YA RAIS NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS IKULU NA UTAWALA BORA MHESHIMIWA DKT. MWINYIHAJI MAKAME KUHUSU MAKADIRIO YA

More information

UCHAMBUZI MUUNGANO WA TANZANIA YA MWAKA 1977

UCHAMBUZI MUUNGANO WA TANZANIA YA MWAKA 1977 UCHAMBUZI WA Katiba Katiba YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA YA MWAKA 1977 Uchambuzi huu umetayarishwa na Kikundi cha Sheria na Haki za Binadamu cha TIFPA kwa niaba ya wana TIFPA kwa msaada wa Ford Foundation

More information

KWA VILE ni kanuni ya Kanisa Anglikana ulimwenguni ambalo ni sehemu ya Kanisa Katholiko kwamba Dayosisi kadhaa ziungane pamoja na kuunda Jimbo;

KWA VILE ni kanuni ya Kanisa Anglikana ulimwenguni ambalo ni sehemu ya Kanisa Katholiko kwamba Dayosisi kadhaa ziungane pamoja na kuunda Jimbo; UTANGULIZI KWA JINA LA BABA NA MWANA NA ROHO MTAKATIFU, AMIN. KWA VILE ni kanuni ya Kanisa Anglikana ulimwenguni ambalo ni sehemu ya Kanisa Katholiko kwamba Dayosisi kadhaa ziungane pamoja na kuunda Jimbo;

More information

KUFANIKISHA MAGEUZI YA SHERIA ZA KUMILIKI ARDHI NCHINI KENYA TOLEO MAARUFU LA MSWADA WA KUMILIKI ARDHI YA JAMII

KUFANIKISHA MAGEUZI YA SHERIA ZA KUMILIKI ARDHI NCHINI KENYA TOLEO MAARUFU LA MSWADA WA KUMILIKI ARDHI YA JAMII Hakijamii Hakijamii Economic and Social Rights Centre (Hakijamii) 53 Park Building, kwenye barabara ya Ring Rd, tawi la Ngong Rd Sanduku la Posta 11356-00100, Nairobi Kenya Simu: +254 020 2589054/2593141

More information

Learning by Ear Unce upon a time... in Africa Episode 3: TRADE IN AFRICA. Author: Marta Barroso Editors: Maja Braun, Jan-Philipp Scholz CHARACTERS:

Learning by Ear Unce upon a time... in Africa Episode 3: TRADE IN AFRICA. Author: Marta Barroso Editors: Maja Braun, Jan-Philipp Scholz CHARACTERS: Learning by Ear Unce upon a time... in Africa Episode 3: TRADE IN AFRICA Author: Marta Barroso Editors: Maja Braun, Jan-Philipp Scholz CHARACTERS: Intro/Outro (female/male) Scene 1: June (13, female) Mum

More information

CROP PROTECTION PROGRAMME. Identifying the factors causing outbreaks of armyworm as part of improved monitoring and forecasting systems

CROP PROTECTION PROGRAMME. Identifying the factors causing outbreaks of armyworm as part of improved monitoring and forecasting systems CROP PROTECTION PROGRAMME Identifying the factors causing outbreaks of armyworm as part of improved monitoring and forecasting systems R No 7966 (ZA No 0449) FINAL TECHNICAL REPORT 15 October 2000 31 March

More information

PROPOSED STANDARD COUNCIL LEVEL HOSPITALS. Schedule of Material, Labour & Drawings for Septic and Soak way pit PROJECT AREA TANZANIA MAINLAND

PROPOSED STANDARD COUNCIL LEVEL HOSPITALS. Schedule of Material, Labour & Drawings for Septic and Soak way pit PROJECT AREA TANZANIA MAINLAND THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA PRESIDENT S OFFICE REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT PROPOSED STANDARD COUNCIL LEVEL HOSPITALS Schedule of Material, Labour & Drawings for Septic and Soak way

More information

Cambridge International Examinations Cambridge Ordinary Level

Cambridge International Examinations Cambridge Ordinary Level Cambridge International Examinations Cambridge Ordinary Level *6782314084* SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2016 Additional Materials: Answer Booklet/Paper READ THESE INSTRUCTIONS FIRST If you have been

More information

DEFERRED LIST ON 23/10/2018

DEFERRED LIST ON 23/10/2018 DEFERRED LIST ON 23/10/2018 SN WP.NO Employer Applicant name Decision made 1 WPC 9595/16 M/S GA Insurance Tanzania ltd Mr. Amit Srivastava Awasilishe Job description, Mkataba wa ajira, kibali current kutoka

More information

Final Report on the 2005 Zanzibar Elections APPENDICES

Final Report on the 2005 Zanzibar Elections APPENDICES APPENDICES 1. List of Registered Political Parties 2. Number of Candidates by Political Parties 3. List of Administrative Divisions 4. Declaration of Principles for International Election Observers 5.

More information

THE SPINE CLINIC. Spine Care. Huduma Ya Uti Wa Mgongo Kanuni Za Kutunza Shingo Na Mgongo. principles of neck and back care IOM SYSTEM ENDOSCOPE

THE SPINE CLINIC. Spine Care. Huduma Ya Uti Wa Mgongo Kanuni Za Kutunza Shingo Na Mgongo. principles of neck and back care IOM SYSTEM ENDOSCOPE THE SPINE CLINIC IOM SYSTEM ENDOSCOPE Ideal Work Posture Spine Care BONE SCALPEL principles of neck and back care Huduma Ya Uti Wa Mgongo Kanuni Za Kutunza Shingo Na Mgongo For Appointments & Contact KWA

More information

Learning by Ear Once upon a time... in Africa Episode One: CRADLE OF MANKIND. Author: Marta Barroso Editors: Maja Braun, Jan-Philipp Scholz

Learning by Ear Once upon a time... in Africa Episode One: CRADLE OF MANKIND. Author: Marta Barroso Editors: Maja Braun, Jan-Philipp Scholz Learning by Ear Once upon a time... in Africa Episode One: CRADLE OF MANKIND Author: Marta Barroso Editors: Maja Braun, Jan-Philipp Scholz CHARACTERS : Intro/Outro (female/male) Scene 1: Mum (38, female)

More information

UCHANGANUZI WA MAKOSA YA KISARUFI KATIKA INSHA ZA WANAFUNZI WA SHULE ZA MSINGI NA YANAVYOCHANGIA MATOKEO MABAYA YA MITIHANI, KATA YA GANZE, KAUNTI

UCHANGANUZI WA MAKOSA YA KISARUFI KATIKA INSHA ZA WANAFUNZI WA SHULE ZA MSINGI NA YANAVYOCHANGIA MATOKEO MABAYA YA MITIHANI, KATA YA GANZE, KAUNTI UCHANGANUZI WA MAKOSA YA KISARUFI KATIKA INSHA ZA WANAFUNZI WA SHULE ZA MSINGI NA YANAVYOCHANGIA MATOKEO MABAYA YA MITIHANI, KATA YA GANZE, KAUNTI YA KILIFI, KENYA. ROSE SULUBU KITSAO Tasnifu imewasilishwa

More information

2017 Student Program Curriculum

2017 Student Program Curriculum 2017 Student Program Curriculum Basic Program Information Host Institution: Program Title: Curriculum Title: Language(s): Grade(s) of Learners: Language Background: Program Setting: Program Type: Duration:

More information

Hennepin County Kiongozi cha jinsi ya kuondoa taka

Hennepin County Kiongozi cha jinsi ya kuondoa taka Hennepin County Kiongozi cha jinsi ya kuondoa taka How to get rid of it guide 2 KIONGOZI CHA JINSI YA KUONDOA TAKA Kiongozi cha jinsi ya kuondoa taka kinatoa mwongozo kijumla wa kuondoa taka kwa wakazi.

More information

TOKA SABATO KWENDA JUMAPILI CARLYLE B. HAYNES

TOKA SABATO KWENDA JUMAPILI CARLYLE B. HAYNES TOKA SABATO KWENDA JUMAPILI CARLYLE B. HAYNES TOKA SABATO KWENDA JUMAPILI Mjadala wa kihistoria wa Hoja juu ya Sabato, Ukionyesha Jinsi Gani, Lini, Kwa Nini, na Ni Nani aliyefanya Badiliko hilo kutoka

More information

Learning by Ear Once upon a time... in Africa Episode 8: COLONIALIZATION. Author: Marta Barroso Editors: Maja Braun, Jan-Philipp Scholz CHARACTERS:

Learning by Ear Once upon a time... in Africa Episode 8: COLONIALIZATION. Author: Marta Barroso Editors: Maja Braun, Jan-Philipp Scholz CHARACTERS: Learning by Ear Once upon a time... in Africa Episode 8: COLONIALIZATION Author: Marta Barroso Editors: Maja Braun, Jan-Philipp Scholz CHARACTERS: Intro/Outro (female/male) Scene 1: Neighbour (43, male)

More information

unajua ulichofanya; umevumilia Vema ninataka umwambia Shetani katika jina la Yesu anapokufanyia jambo baya, Toka! Toka!

unajua ulichofanya; umevumilia Vema ninataka umwambia Shetani katika jina la Yesu anapokufanyia jambo baya, Toka! Toka! Title: Preached by Dr. w eugene SCOTT, PhD., Stanford University At the Los Angeles University Cathedral Copyright 2007, Pastor Melissa Scott. - all rights reserved Somo: Imehubiriwa na Dk. w. eugene SCOTT,

More information

JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAMISEMI

JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAMISEMI JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAMISEMI Namba za simu;shule ya Sekondari MIONO Mkuu wa Shule: +255 784 369 381S.L.P 26 - CHALINZE Makamu Mkuu wa Shule: +255 787 448 383Tarehe 25.5.2017

More information

Pasaka Na Meza Ya Bwana Sehemu Ya 2

Pasaka Na Meza Ya Bwana Sehemu Ya 2 Pasaka Na Meza Ya Bwana Sehemu Ya 2 Na Ellis P. Forsman Lord's Supper - Part 2) 1 Pasaka Na Meza Ya Bwana Sehemu Ya 2 Na Ellis P. Forsman Marchi 11, 2013 Lord's Supper - Part 2) 2 Pasaka Na Meza Ya Bwana

More information

Ikimbieni Zinaa. Ellis P. Forsman. Ikimbieni Zinaa (Flee Fornication) 1

Ikimbieni Zinaa. Ellis P. Forsman. Ikimbieni Zinaa (Flee Fornication) 1 Ikimbieni Zinaa na Ellis P. Forsman Ikimbieni Zinaa (Flee Fornication) 1 Ikimbieni Zinaa na Ellis P. Forsman Oktoba 11, 2011 Ikimbieni Zinaa (Flee Fornication) 2 Ikimbieni Zinaa 1 Kor. 6:18 Wakristo wa

More information

SIMON & SCHUSTER S PIMSLEUR SWAHILI 1 READING BOOKLET

SIMON & SCHUSTER S PIMSLEUR SWAHILI 1 READING BOOKLET SIMON & SCHUSTER S PIMSLEUR SWAHILI 1 READING BOOKLET Travelers should always check with their nation's State Department for current advisories on local conditions before traveling abroad. Booklet Design:

More information

NOVENA YA ROHO MTAKATIFU

NOVENA YA ROHO MTAKATIFU NOVENA YA ROHO MTAKATIFU Mpangilio wa sala na nyimbo kwa siku zote tisa Katoliki.ackyshine.com KWA SIKU ZOTE TISA Ufuatao ni mtiririko wa Novena ya Roho Mtakatifu kwa siku zote tisa. Kusali novena hii

More information

EXL6 Swahili PhraseBook Davis

EXL6 Swahili PhraseBook Davis Swahili or Kiswahili, is an official language of Tanzania, Kenya, the Democratic Republic of the Congo, and Uganda. Swahili speakers can also be found in surrounding countries, such as Burundi, Rwanda,

More information

Ni Nani Aliye Upande Wa Bwana?

Ni Nani Aliye Upande Wa Bwana? Ni Nani Aliye Upande Wa Bwana? (Who Is On The Lord s Side?) Na Ellis P. Forsman Ni Nani Aliye Upande Wa Bwana? (Who Is On The Lord's Side?) 1 Ni Nani Aliye Upande Wa Bwana? (Who Is On The Lord s Side?)

More information

REPORT ON CONSULTATION MEETINGS HELD WITH THE PEMBA CHANNEL CONSERVATION AREA DISTRICT COMMITTEES ON ESTABLISHING NO-TAKE FISH BREEDING GROUNDS

REPORT ON CONSULTATION MEETINGS HELD WITH THE PEMBA CHANNEL CONSERVATION AREA DISTRICT COMMITTEES ON ESTABLISHING NO-TAKE FISH BREEDING GROUNDS A non-profit charity founded in the USA and registered in Zanzibar REPORT ON CONSULTATION MEETINGS HELD WITH THE PEMBA CHANNEL CONSERVATION AREA DISTRICT COMMITTEES ON ESTABLISHING NO-TAKE FISH BREEDING

More information

Remarks You Must Read & Know Before Buying Guingamp vs RC Strasbourg Tickets: Event date and time are subject to change - these changes are not

Remarks You Must Read & Know Before Buying Guingamp vs RC Strasbourg Tickets: Event date and time are subject to change - these changes are not {@!!!Video} Mbeya City - Mtibwa Sugar Tazama kutangaza 14.01.2019 Liga Huru HDTV Kuishi. Inasaidia, Mbeya City - Mtibwa Sugar ESPN Angalia.. Online Tangaza Kuishi.. Streaming Sopcast Online. Kuishi WATCH

More information

Lesson 60: Quantifiers OTE and O OTE

Lesson 60: Quantifiers OTE and O OTE Lesson 60: s OTE and O OTE OTE [all, entire, whole] The usage of OTE varies from one noun class to another. A). OTE GELI [noun class] WA KI VI I JI A K K JIA [noun] msichana wasichana kijiko vijiko mkoba

More information

The history of Zaire as told and painted by Tshibumba Kanda Matulu in conversation with Johannes Fabian

The history of Zaire as told and painted by Tshibumba Kanda Matulu in conversation with Johannes Fabian 1 sur 37 05.02.2006 0:36 ISSN: 1570-0178 Volume 2, Issue 5 (5 October 1999) The history of Zaire as told and painted by Tshibumba Kanda Matulu in conversation with Johannes Fabian Introduction First Session,

More information

The history of Zaire as told and painted by Tshibumba Kanda Matulu in conversation with Johannes Fabian

The history of Zaire as told and painted by Tshibumba Kanda Matulu in conversation with Johannes Fabian 1 sur 55 05.02.2006 0:38 ISSN: 1570-0178 Volume 2, Issue 7 (6 June 2000) The history of Zaire as told and painted by Tshibumba Kanda Matulu in conversation with Johannes Fabian Introduction First Session,

More information

The State of Artisanal Fisheries in Southern Unguja: Governance, Conservation and Community

The State of Artisanal Fisheries in Southern Unguja: Governance, Conservation and Community SIT Graduate Institute/SIT Study Abroad SIT Digital Collections Independent Study Project (ISP) Collection SIT Study Abroad Spring 2012 The State of Artisanal Fisheries in Southern Unguja: Governance,

More information

Assessment of the Artisanal Shark Fishery and Local Shark Fin Trade on Unguja Island, Zanzibar

Assessment of the Artisanal Shark Fishery and Local Shark Fin Trade on Unguja Island, Zanzibar SIT Graduate Institute/SIT Study Abroad SIT Digital Collections Independent Study Project (ISP) Collection SIT Study Abroad Spring 24 Assessment of the Artisanal Shark Fishery and Local Shark Fin Trade

More information

The Passion of Africa

The Passion of Africa Africa is the heart of the world an empire of space, sounds, light, life, people, cultures, magnificence not found elsewhere in the world, Africa is magical, it captivates you with is sights, sounds, scents

More information

The Incidental Catch of Dolphins in Gillnet Fisheries in Zanzibar, Tanzania

The Incidental Catch of Dolphins in Gillnet Fisheries in Zanzibar, Tanzania Western Indian Ocean INCIDENTAL J. Mar. Sci. Vol. DOLPHIN 1, No. CATCHES 2, pp. 155 162, IN GILLNETS 2002IN ZANZIBAR 155 2002 WIOMSA The Incidental Catch of Dolphins in Gillnet Fisheries in Zanzibar, Tanzania

More information

MARINE ENVIRONMENTAL EDUCATION DRAFT MANUAL FOR SCHOOLS AROUND WATAMU MARINE NATIONAL PARK AND RESERVE

MARINE ENVIRONMENTAL EDUCATION DRAFT MANUAL FOR SCHOOLS AROUND WATAMU MARINE NATIONAL PARK AND RESERVE MARINE ENVIRONMENTAL EDUCATION DRAFT MANUAL FOR SCHOOLS AROUND WATAMU MARINE NATIONAL PARK AND RESERVE A Rocha Kenya, Local Ocean Trust: Watamu Turtle Watch and Africa Billfish Foundation 2016 PAGE 0 Acknowledgement

More information

International Contemporary Dance Festival Dar es Salaam

International Contemporary Dance Festival Dar es Salaam International Contemporary Dance Festival Dar es Salaam DAR ES SALAAM, TANZANIA MUDA AFRICA TIME 2 DANCE FESTIVAL We, at MuDa Africa, believe that contemporary dance cultivates the individual and collective

More information

Menai Bay Conservation Area Guide Book

Menai Bay Conservation Area Guide Book HERE ARE SOME WAYS THAT YOU CAN TAKE A PART IN PROVIDING A FUTURE FOR CORAL REEFS Respect the life you have come to see and remember that it is you who are a visitor in their world. N Never capture, feed,

More information

As long as anyone can remember, we have tilled the fields in our

As long as anyone can remember, we have tilled the fields in our Ox-plows and tractors As long as anyone can remember, we have tilled the fields in our village with hand-hoes. Animal traction, in the form of ox-plows, is a more recent practice. Oxen reduce the drudgery,

More information

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA Notice (GPN) 1. The Surface and Marine Transport Regulatory Authority (SUMATRA) has set aside funds in the financial year 2017/2018 towards the cost its operations 2. The

More information

LIST OF BILATERAL AIR SERVICES AGREEMENT (BASA)/MEMORANDUM OF UNDERSTANDING (MOU) SIGNED AND/OR INITIALED BY THE REPUBLIC OF MAURITIUS

LIST OF BILATERAL AIR SERVICES AGREEMENT (BASA)/MEMORANDUM OF UNDERSTANDING (MOU) SIGNED AND/OR INITIALED BY THE REPUBLIC OF MAURITIUS LIST OF BILATERAL AIR SERVICES AGREEMENT (BASA)/MEMORANDUM OF UNDERSTANDING (MOU) SIGNED AND/OR INITIALED BY THE REPUBLIC OF MAURITIUS SN Country Agreement/ 1. Australia BASA (2016) S Capacity/Frequency

More information

Social Movements Set to Assert Their Presence at WSF Nairobi 2007

Social Movements Set to Assert Their Presence at WSF Nairobi 2007 Social Movements Set to Assert Their Presence at WSF Nairobi 2007 Onyango Oloo Onyango Oloo is the National Coordinator of the Kenya Social Forum. He was one of the lecturers at the Training of the Trainers-

More information

Selous Game Reserve. Experience the bush with a luxury (short) safari

Selous Game Reserve. Experience the bush with a luxury (short) safari Selous Game Reserve Experience the bush with a luxury (short) safari Selous Game Reserve A World Heritage Site and the largest expanse of game reserve in Africa, it covers 55,000 square kilometres of rolling

More information

Training program on Modelling: A Case study Hydro-dynamic Model of Zanzibar channel

Training program on Modelling: A Case study Hydro-dynamic Model of Zanzibar channel Training program on Modelling: A Case study Hydro-dynamic Model of Zanzibar channel Mayorga-Adame,C.G., Sanga,I.P.L., Majuto, C., Makame, M.A., Garu,M. INTRODUCTION Hydrodynamic Modeling In understanding

More information

MENAI BAY GOVERNANCE BASELINE

MENAI BAY GOVERNANCE BASELINE MENAI BAY GOVERNANCE BASELINE Elin Torell, Aviti Mmochi, and Karen Palmigiano 1 This publication is available electronically on the Coastal Resources Center s website at www.crc.uri.edu. It is also available

More information

Urogenital schistosomiasis transmission on Unguja Island, Zanzibar: characterisation of persistent hot-spots

Urogenital schistosomiasis transmission on Unguja Island, Zanzibar: characterisation of persistent hot-spots Pennance et al. Parasites & Vectors (2016) 9:646 DOI 10.1186/s13071-016-1847-0 RESEARCH Urogenital schistosomiasis transmission on Unguja Island, Zanzibar: characterisation of persistent hot-spots Open

More information

KENYA INSTITUTE OF CURRICULUM DEVELOPMENT EDU CHANNEL TV BROADCAST LINE UP AUGUST DEC 2017 WEEKLY TV PROGRAMMES

KENYA INSTITUTE OF CURRICULUM DEVELOPMENT EDU CHANNEL TV BROADCAST LINE UP AUGUST DEC 2017 WEEKLY TV PROGRAMMES KENYA INSTITUTE OF CURRICULUM DEVELOPMENT EDU CHANNEL TV BROADCAST LINE UP AUGUST DEC WEEKLY TV PROGRAMMES TIME MONDAY TUESDAY WEDNESDAY THURSDAY FRIDAY SATURDAY SUNDAY 6.00 AM - 6.20 AM 6.20AM - 6.25AM

More information

This consultation was made possible through joint funding from BEST-AC Tanzania, IUCN Tanzania office and Lighthouse Foundation.

This consultation was made possible through joint funding from BEST-AC Tanzania, IUCN Tanzania office and Lighthouse Foundation. MULTI-STAKEHOLDER CONSULTATION FOR ANTI-DYNAMITE FISHING CAMPAIGN TANZANIA MWAMBAO COASTAL COMMUNITY NETWORK APRIL 2014 1 ACKNOWLEDGEMENTS This consultation was made possible through joint funding from

More information

Community Forum El Gouna 2030

Community Forum El Gouna 2030 Community Forum El Gouna 2030 - Short Introduction - Prof. Dr. Rudolf Schäfer TU Berlin Campus El Gouna History The Community Forum El Gouna 2030 was established in September 2012 as result of the Future

More information

The Constraints of the Artisanal Fishing Industry in Lamu District

The Constraints of the Artisanal Fishing Industry in Lamu District The Constraints of the Artisanal Fishing Industry in Lamu District Sarah Heddon School of International Training and Tawasal Institute Academic Director: Athman Lali Spring 2006 And he it is who has subjected

More information

Estimating Fishery Statistics in the Artisanal Fishery of Zanzibar, Tanzania: How Big a Sample Size is Required?

Estimating Fishery Statistics in the Artisanal Fishery of Zanzibar, Tanzania: How Big a Sample Size is Required? Western Indian Ocean J. Mar. ARTISANAL Sci. Vol. 1, FISHERIES No. 1, pp. STATISTICS 19 33, 2002 IN ZANZIBAR 19 2002 WIOMSA Estimating Fishery Statistics in the Artisanal Fishery of Zanzibar, Tanzania:

More information

Issue: 002 March /May 2017

Issue: 002 March /May 2017 Issue: 002 March /May 2017 SkaterS in AdvertS Girls In Skateboarding: with Saya HadaSSa SKATE KING 2016 International Ollie ConteSt 2017 ComicS MuSic with PowerSlide Band New kids SkateNation254 Cover:

More information

HEALTH EDUCATION AND THE CONTROL OF UROGENITAL SCHISTOSOMIASIS: ASSESSING THE IMPACT OF THE JUMA NA KICHOCHO COMIC-STRIP MEDICAL BOOKLET IN ZANZIBAR

HEALTH EDUCATION AND THE CONTROL OF UROGENITAL SCHISTOSOMIASIS: ASSESSING THE IMPACT OF THE JUMA NA KICHOCHO COMIC-STRIP MEDICAL BOOKLET IN ZANZIBAR J. Biosoc. Sci., (2016) 48, S40 S55 Cambridge University Press, 2016. This is an Open Access article, distributed under the terms of the Creative Commons Attribution licence (http:// creativecommons.org/licenses/by/4.0/),

More information

Traditional Boat Building: An Intersection of Zanzibar s Culture and Environment

Traditional Boat Building: An Intersection of Zanzibar s Culture and Environment SIT Graduate Institute/SIT Study Abroad SIT Digital Collections Independent Study Project (ISP) Collection SIT Study Abroad Fall 2013 Traditional Boat Building: An Intersection of Zanzibar s Culture and

More information

Travel to Mafia Island ( taken from the internet )

Travel to Mafia Island ( taken from the internet ) Travel to Mafia Island ( taken from the internet ) The vast majority of tourists arrive by airplane, direct from Dar es Salaam or Zanzibar. However, there is another way: by ferry from the mainland town

More information

3 억 6 천만 km 2 국립한국해양대학교

3 억 6 천만 km 2 국립한국해양대학교 Marine Traffic Analysis of the Strait of Malacca Prof J S Park & Y S Park - Korea Maritime and Ocean University Prof Asbi Ali & H Y Pyo - Management & Science University Mr. Norjipin Bin Saidi & Dr Yasmin

More information

TANZANIA BUREAU OF STANDARDS

TANZANIA BUREAU OF STANDARDS TANZANIA BUREAU OF STANDARDS PROCUREMENT PLAN FOR GOODS, NON-CONSULTANCY, CONSULTANCY SERVICES AND WORKS FOR FINANCIAL YEAR 2018-2019 S/n Description of the Procurement Tender No Lot No Procurement Method

More information

Chapter 6. Existing Well Inventory Survey

Chapter 6. Existing Well Inventory Survey Chapter 6 Existing Well Inventory Survey Chapter 6 Existing Well Inventory Survey CHAPTER 6 EXISTING WELL INVENTORY SURVEY 6.1 INTRODUCTION 6.1.1 BACKGROUND OF THE SURVEY The objectives of the existing

More information

KUSHILAND Expeditions & Tour Safaris Ltd

KUSHILAND Expeditions & Tour Safaris Ltd TOUR CODE - K2C 1: KILI TO INDIAN OCEAN - PANGANI KILI 2 C MOUNTAIN BIKE MISSION 8 DAYS / 7 NIGHTS: CYCLING AROUND THE BASE OF MT. KILIMANJARO PARE MOUNTAINS USAMBARA MOUNTAINS PANGANI Tanzania is the

More information

REPUBLIC OF KENYA COUNTY GOVERNMENT OF KILIFI COUNTY PUBLIC SERVICE BOARD

REPUBLIC OF KENYA COUNTY GOVERNMENT OF KILIFI COUNTY PUBLIC SERVICE BOARD REPUBLIC OF KENYA COUNTY GOVERNMENT OF KILIFI COUNTY PUBLIC SERVICE BOARD APPLICANTS SHORTLISTED AND INVITED FOR INTERVIEWS FOR COUNTY ATTORNEY AND CHIEF OFFICER POSITIONS All persons shortlisted hereunder

More information

Wildlife Management. benefits, challenges and steps

Wildlife Management. benefits, challenges and steps Wildlife Management Areas (WMAs): benefits, challenges and steps 4Module Introduction 4Module Wildlife can endanger a community s livelihoods and people or become its greatest natural asset. If you re

More information

Assessment of Space Standards that are used to Improve Roads Network in Upgrading Informal Settlements: The Case of Dar es Salaam City, Tanzania

Assessment of Space Standards that are used to Improve Roads Network in Upgrading Informal Settlements: The Case of Dar es Salaam City, Tanzania Assessment of Space Standards that are used to Improve Roads Network in Upgrading Informal Settlements: The Case of Dar es Salaam City, Tanzania Dr. Emmanuel Elifadhili Mchome Lecturer Ardhi University

More information

Outline. Refinement and expansion of the TFDD. Preliminary findings on treaty content and distribution. International treaties and climate change risk

Outline. Refinement and expansion of the TFDD. Preliminary findings on treaty content and distribution. International treaties and climate change risk Outline Refinement and expansion of the TFDD Preliminary findings on treaty content and distribution International treaties and climate change risk Geographic Coverage Documents to Instruments Primary

More information

MARIE SKŁODOWSKA-CURIE ACTIONS STATISTICS INDIVIDUAL FELLOWSHIPS

MARIE SKŁODOWSKA-CURIE ACTIONS STATISTICS INDIVIDUAL FELLOWSHIPS MARIE SKŁODOWSKA-CURIE ACTIONS STATISTICS INDIVIDUAL FELLOWSHIPS Dernière mise à jour : Février 2019 1 EF ST EF CAR/RI SE GF European Fellowships Standard European Fellowships CAR/RI Society and Enterprise

More information

This consultation was made possible through joint funding from BEST-AC Tanzania, IUCN Tanzania office and Lighthouse Foundation.

This consultation was made possible through joint funding from BEST-AC Tanzania, IUCN Tanzania office and Lighthouse Foundation. MULTI-STAKEHOLDER CONSULTATION FOR ANTI-DYNAMITE FISHING CAMPAIGN TANZANIA MWAMBAO COASTAL COMMUNITY NETWORK APRIL 2014 1 ACKNOWLEDGEMENTS This consultation was made possible through joint funding from

More information

An Evaluation of Potential Management Options for the Indo-Pacific Bottlenose Dolphin (Tursiops aduncus) Population in Kizimkazi, Zanzibar

An Evaluation of Potential Management Options for the Indo-Pacific Bottlenose Dolphin (Tursiops aduncus) Population in Kizimkazi, Zanzibar SIT Graduate Institute/SIT Study Abroad SIT Digital Collections Independent Study Project (ISP) Collection SIT Study Abroad Fall 2013 An Evaluation of Potential Management Options for the Indo-Pacific

More information

CONTINUITY AND DIVERGENCE

CONTINUITY AND DIVERGENCE 01 Lambya all -osi lexico : Sela / Twilingiyimana 1986 02 Lambya bras, main inyobe lexico : Sela / Twilingiyimana 1986 03 Lambya ashes ilyoto lexico : Sela / Twilingiyimana 1986 03 Lambya ashes itoyi lexico

More information

Sport Fishing Charters. 37ft Riviera for fishing experience of a life time!! COMBAVA

Sport Fishing Charters. 37ft Riviera for fishing experience of a life time!! COMBAVA Sport Fishing Charters 37ft Riviera for fishing experience of a life time!! COMBAVA THE BOAT Design: Combava is a 37 ft Riviera Sports fisher operating from The Slipway Dar es Salaam Tanzania. Riviera

More information

Position 3-4 KAEL SHAH KAEL SHAH 7/5 LAWRENCE YUSUPH MKUBWA

Position 3-4 KAEL SHAH KAEL SHAH 7/5 LAWRENCE YUSUPH MKUBWA BS 14 BS 14 Cnty Flag Round 1 Round 2 Quarterfinals Semifinals Final Winner 1 BDI 2 Bye 1 3 KEN Suhail Hooker 6-1 6-1 Suhail Hooker 4 TAN Abdalla Suraji Moto 6-2 6-3 5 KEN Patrick Otieno 6-3 6-0 Kennedy

More information

THE SOCIAL-ECONOMIC IMPACT OF ROAD TRAFFIC CONGESTION IN DAR ES SALAAM REGION

THE SOCIAL-ECONOMIC IMPACT OF ROAD TRAFFIC CONGESTION IN DAR ES SALAAM REGION THE SOCIAL-ECONOMIC IMPACT OF ROAD TRAFFIC CONGESTION IN DAR ES SALAAM REGION By Abel D Elisonguo A Dissertation Submitted to Mzumbe University, Dar Es Salaam Campus College in Partial Fulfillment of the

More information

ETHIOPIA UGANDA KENYA TANZANIA. Mount Kenya. Lake Victoria. Masai Mara Game Reserve NAIROBI MALINDI. Tsavo National Park WATAMU INDIAN OCEAN MOMBASA

ETHIOPIA UGANDA KENYA TANZANIA. Mount Kenya. Lake Victoria. Masai Mara Game Reserve NAIROBI MALINDI. Tsavo National Park WATAMU INDIAN OCEAN MOMBASA ETHIOPIA UGANDA KENYA Lake Victoria Mount Kenya Masai Mara Game Reserve NAIROBI TANZANIA Tsavo National Park MALINDI WATAMU INDIAN OCEAN MOMBASA Our three iconic properties Hemingways Nairobi, Ol Seki

More information

JAPAN KARATE ASSOCIATION/ WORLD FEDERATION-TANZANIA 8TH INTERNATIONAL GASSHUKU FROM

JAPAN KARATE ASSOCIATION/ WORLD FEDERATION-TANZANIA 8TH INTERNATIONAL GASSHUKU FROM REPORT: Shihan Koichiro Okuma Gasshuku 12-17 September, 2016 JAPAN KARATE ASSOCIATION/ WORLD FEDERATION-TANZANIA 8TH INTERNATIONAL GASSHUKU FROM 12.09.2016 17.09.2016 It was a bright Monday morning with

More information

ZANZIBAR FISHERIES POLICY

ZANZIBAR FISHERIES POLICY THE REVOLUTIONARY GOVERNMENT OF ZANZIBAR ZANZIBAR FISHERIES POLICY (First Draft prepared with the support of SmartFish) June 2014 Content Foreword... 3 Acronyms... 4 CHAPTER ONE: SITUATIONAL ANALYSIS AND

More information

Estimation of Road Traffic Fatalities for the Global Status Report on Road Safety Dr. Kacem IAYCH Marrakech 12 October

Estimation of Road Traffic Fatalities for the Global Status Report on Road Safety Dr. Kacem IAYCH Marrakech 12 October Estimation of Road Traffic Fatalities for the Global Status Report on Road Safety Dr. Kacem IAYCH Marrakech 12 October Data collected had challenges Definitions of road traffic death used by countries

More information

ATHLETICS KENYA AND INTERNATIONAL CALENDAR OF EVENTS FOR THE YEAR 2015/2016 SEASON.

ATHLETICS KENYA AND INTERNATIONAL CALENDAR OF EVENTS FOR THE YEAR 2015/2016 SEASON. ATHLETICS KENYA AND INTERNATIONAL CALENDAR OF EVENTS FOR THE YEAR 2015/2016 SEASON. NOVEMBER 2015 7 th 1 st A.K Cross Country Series Nairobi KEN 9 th TeglaLoroupe 10Km Peace Run Kapenguria KEN 14 th 2

More information

uṯēndi wa ja'fari bismillähi ar-rahmani ar-rahīmi

uṯēndi wa ja'fari bismillähi ar-rahmani ar-rahīmi ا ت ن د و ج ع ف ر uṯēndi wa ja'fari The Ballad of Ja'far ب س م الل ه الر حم ن الر ح ي م bismillähi ar-rahmani ar-rahīmi In the name of God, the Compassionate, the Merciful (١) ب س م ل ه ا و ل * پ و ك ا

More information

George W. Bush Presidential Library and Museum 2943 SMU Boulevard, Dallas, Texas

George W. Bush Presidential Library and Museum 2943 SMU Boulevard, Dallas, Texas George W. Bush Presidential Library and Museum 2943 SMU Boulevard, Dallas, Texas 75205 www.georgewbushlibrary.smu.edu Inventory for FOIA Request 2014-0531-F Records regarding HIV/AIDS from Mrs. Bush s

More information

Southern Expedition: Tanzania Untamed

Southern Expedition: Tanzania Untamed Southern Expedition: Tanzania Untamed DAY BY DAY ITINERARY explorer safari info@deeperafrica.com www.deeperafrica.com Explorer Safari Tap your Inner Livingstone as you set out to track wildlife in this,

More information

FINA Clinics - Programme

FINA Clinics - Programme Published on fina.org - ficial FA website (//www.fina.org) FA Clinics - Programme FA mmunication Department The FA Clinics for aches (Technical urses) are intended to train coaches of all levels through

More information

Party List BUNGOMA KILIFI KISII. Printed on: 22/Jul/ Special Interest Category. Nominee in Party List. Name of Nominee.

Party List BUNGOMA KILIFI KISII. Printed on: 22/Jul/ Special Interest Category. Nominee in Party List. Name of Nominee. Party Printed on: 22/Jul/2017 11.13 minee ID SHIRIKISHO PARTY OF KENYA 6 ESTHER MATEA MAURICE Special Seats minees to the Assembly (For Top Up) BUNGOMA minee 8110107 FEMALE 715084816 50 84056-80100 N/A

More information

Web We s b i s tie t : e ww w w w. w wi w lid l t d r t e r k e s k a s f a a f r a i r s i. s co c m E e v nt e D nt at D e at :

Web We s b i s tie t : e ww w w w. w wi w lid l t d r t e r k e s k a s f a a f r a i r s i. s co c m E e v nt e D nt at D e at : ` Website: www.wildtreksafaris.com P.O. Box 17634 NAIROBI 00500, KENYA. 2nd Floor, Viking House Waiyaki Way - Westlands Tel: +254-20-4452256/7/ 4452528/ 4453001 Fax: +254-20-4452258/4452529 Email: wtreksaf@africaonline.co.ke

More information

Global tuberculosis control today: expectations from the PPM Subgroup

Global tuberculosis control today: expectations from the PPM Subgroup Global tuberculosis control today: expectations from the PPM Subgroup Mario C. Raviglione, M.D. Director, Stop TB Department WHO, Geneva, Switzerland 6 th Meeting of the Subgroup on Public-Private Mix

More information

ROPE HAND PUMP PRODUCTION TRAINING SUMMARY REPORT By Benedicto Hosea 24 th March 2016

ROPE HAND PUMP PRODUCTION TRAINING SUMMARY REPORT By Benedicto Hosea 24 th March 2016 ROPE HAND PUMP PRODUCTION TRAINING SUMMARY REPORT By Benedicto Hosea 24 th March 2016 ABSTRACT Mboni ya Vijana Group (MVG), has run its youth training on Rope Hand Pump production, the simple technology

More information

Wildlife Conservation In East African Rangelands: Different Approaches with Maasai in Tanzania & Kenya

Wildlife Conservation In East African Rangelands: Different Approaches with Maasai in Tanzania & Kenya Wildlife Conservation In East African Rangelands: Different Approaches with Maasai in Tanzania & Kenya Mara Goldman Department of Geography University of Colorado, Boulder Measuring success ; Comparing

More information

BACKFLOW ENCLOSURES ALUMINUM

BACKFLOW ENCLOSURES ALUMINUM Low Profile Enclosure 12 SBBC-15AL 15 29.5 16.25 SBBC-30AL 30 29.5 16.25 SBBC-45AL 45 29.5 16.25 SBBC-60AL 60 29.5 16.25 High Profile Two Piece Enclosure SBBC-40AL 40 39 24 SBBC-60AL 60 39 24 SBBC-75AL

More information

European Values Study & World Values Study - Participating Countries ( )

European Values Study & World Values Study - Participating Countries ( ) GESIS Data Archive for the Social Sciences http://www.gesis.org/en/home/ ASEP/JD Data Archive http://www.jdsurvey.net/jds/jdsurvey.jsp European Values Study & World Values Study - Participating Countries

More information

Vision Asia and Financial Fair Play

Vision Asia and Financial Fair Play Vision Asia and Financial Fair Play Mohammed bin Hammam AFC Technical & Vision Asia 28 July 2008 AFC President 5 th Dubai International Sports Conference, 28 December 2010 1 History belongs to Asia 1854

More information

Teams Fulham Bournemouth played so far 4 matches. Fulham won 0 direct matches. Bournemouth won 2 matches. 2 matches ended in a draw.

Teams Fulham Bournemouth played so far 4 matches. Fulham won 0 direct matches. Bournemouth won 2 matches. 2 matches ended in a draw. !!!{{Ultra HD***) Nyamityobora x Proline Tazama kuishi 19 Oktoba 01 2019 Kuishi Sasa Leo Mechi Mkondo wa Kuishi, Nyamityobora x Proline Proline Nyamityobora vs Proline Tazama ~ Online Ligi Tazama. Online

More information

A PRELIMINARY FAUNAL SURVEY OF SOUTH-EASTERN UNGUJA (ZANZIBAR)- WITH SPECIAL EMPHASIS ON THE LEOPARD (Panthera pardus adersi)

A PRELIMINARY FAUNAL SURVEY OF SOUTH-EASTERN UNGUJA (ZANZIBAR)- WITH SPECIAL EMPHASIS ON THE LEOPARD (Panthera pardus adersi) A PRELIMINARY FAUNAL SURVEY OF SOUTH-EASTERN UNGUJA (ZANZIBAR)- WITH SPECIAL EMPHASIS ON THE LEOPARD (Panthera pardus adersi) Chris & Mathilde Stuart, 1997 Preamble: Zanzibar, part of a federation with

More information

INTERNATIONAL MARKETING. 61, avenue Tony Garnier Lyon France Tel.: 33 (0) Fax: 33 (0)

INTERNATIONAL MARKETING. 61, avenue Tony Garnier Lyon France Tel.: 33 (0) Fax: 33 (0) 97301102.12.03 INTERNATIONAL MARKETING 61, avenue Tony Garnier - 69007 Lyon France Tel.: 33 (0)4 37 28 11 00 - Fax: 33 (0)4 37 28 10 30 www.hospal.com The information contained in this brochure is subject

More information

IBSA Goalball World Rankings 31 December 2017 Men's Division

IBSA Goalball World Rankings 31 December 2017 Men's Division IBSA Goalball World Rankings 31 December 2017 Men's Division Rank No v Oc t Se p Au g Ju l Team Region Score Goal Diff Results Gol p Gme Last Plyd Weight 1st 5 6 6 1 2 Brazil Americas 661.802 4.564 0.872

More information

Heidrun Kröger, SIL Southern Africa for Bantu 6 in Helsinki,

Heidrun Kröger, SIL Southern Africa for Bantu 6 in Helsinki, Heidrun Kröger, SIL Southern Africa for Bantu 6 in Helsinki, 20.-23.06.2016 -a -ite, -i, imbrication -itaye, -ita, imbrication Ø atola ajaula atolite ajawile atolitaye ajawilaye (a)ka- akatola akajaula

More information

Organizing Entity Host City Start Date End Date Remarks Held in New York 04 December December 2017 Confirmed

Organizing Entity Host City Start Date End Date Remarks Held in New York 04 December December 2017 Confirmed Organizing Entity Host Start Date End Date Remarks France 04 December 2017 05 December 2017 Confirmed United Kingdom 13 November 2017 14 November 2017 Confirmed Senegal Held in Dakar 02 November 2017 03

More information

FREE WITH THE SUNDAY NATION. May 3, 2009 W-DJ. Creating the DJ Brand

FREE WITH THE SUNDAY NATION. May 3, 2009 W-DJ. Creating the DJ Brand FREE WITH THE SUNDAY NATION May 3, 2009 W-DJ Creating the DJ Brand 2 Sunday May3 If you are a DJ and still do audio mixes, you need to up your game. The art of deejaying has gone a notch higher, in gospel

More information

THE ARCH CRICKET TOURNAMENT

THE ARCH CRICKET TOURNAMENT ABU DHABI Going Further THE CRICKET TOURNAMENT The world s largest international cricket tournament for schools U19 Trophy & U15 Cup Easter 2018 - Abu Dhabi & Dubai 1 ABU DHABI ABOUT THE Two tournament

More information

Composition of the UNICEF Executive Board

Composition of the UNICEF Executive Board The dates reflect years of membership in the Executive Board and not necessarily terms of office. 1 Afghanistan 1960 1963; 1965 1967; 1977 1980 Albania 2012 2014 Algeria 1971 1974; 1982 1985; 2004 2006

More information

Tanzania Untamed DAY-BY-DAY ITINERARY

Tanzania Untamed DAY-BY-DAY ITINERARY info@deeperafrica.com www.deeperafrica.com Robert J. Ross/Roho Ya Selous/Asilia Africa Tanzania Untamed DAY-BY-DAY ITINERARY Explorer safari Tap your inner Livingstone in this wild, uncharted part of Africa.

More information

Monthly Digest February 2016 No. 2016/04. Copyrights Statistics Botswana 2016

Monthly Digest February 2016 No. 2016/04. Copyrights Statistics Botswana 2016 STATISTICS BOTSWANA BOTSWANA INTERNATIONAL MERCHANDISE TRADE STATISTICS Monthly Digest February 2016 No. 2016/04 Copyrights Statistics Botswana 2016 Contact Statistician: Malebogo Rakgantswana Email: mrakgantswana@gov.bw

More information

Intertidal Interactions: Stakeholder Relationships Arising from Kitesurfing in Paje, Zanzibar

Intertidal Interactions: Stakeholder Relationships Arising from Kitesurfing in Paje, Zanzibar SIT Graduate Institute/SIT Study Abroad SIT Digital Collections Independent Study Project (ISP) Collection SIT Study Abroad Spring 2016 Intertidal Interactions: Stakeholder Relationships Arising from Kitesurfing

More information