Pasaka Na Meza Ya Bwana Sehemu Ya 2

Size: px
Start display at page:

Download "Pasaka Na Meza Ya Bwana Sehemu Ya 2"

Transcription

1 Pasaka Na Meza Ya Bwana Sehemu Ya 2 Na Ellis P. Forsman Lord's Supper - Part 2) 1

2 Pasaka Na Meza Ya Bwana Sehemu Ya 2 Na Ellis P. Forsman Marchi 11, 2013 Lord's Supper - Part 2) 2

3 Pasaka Na Meza Ya Bwana Sehemu Ya 2 Luka 22:1-20 Makala hii ni muendelezo wa Pasaka na meza ya Bwana. Tayari tumeshajifunza jinsi Wayahudi walivyo shiriki Pasaka wakati wa Yesu; na tunafahamu kwamba Kristo alianzisha meza ya Bwana wakati alipokuwa akichunguza Pasaka na wanafunzi wake kabla hajasulubiwa. Sasa tutajifunza zaidi kuhusu meza ya Bwana ambayo tumeamuriwa kuichunguza. Lord's Supper - Part 2) 3

4 Pasaka Ambayo Kristo Alichunguza Wakati wa Pasaka ulipokuwa unakaribia, Yesu alitoa maelekezo kwa Wanafunzi wake: Luka 22:8-9, Akawatuma Petro na Yohana akisema nendeni mkatuandalie Pasaka tupate kuila. Wakamwambia wataka tuandae wapi? Yesu hakuwa na nyumba, hivyo wanafunzi wake walikuwa wanashangaa atafanyaje katika kuchunguza Pasaka. Mt. 8:20, Yesu akawaambia mbweha wanapango, na ndege wa angani wana viota; lakini mwana wa adamu hana pa kulaza kichwa chache. Akajibu katika mistari ya 10-12, Akawaambia tazama mtakapoingia mjini mtakutana na mwanamume akichukua mtungi wa maji; mfuateni mkaingie katika nyumba atakayoingia yeye. Na mtamwambia mwenye nyumba mwalimu akwambia, ki wapi chumba cha wageni, nipate kula Pasaka humo pamoja na wanafunzi wangu? Naye atawaonyesha chumba kikubwa orofani, kimekwisha andikwa; andaeni humo. Inaonekana kwamba Yesu alikuwa ameshaiona kwamba maandalizi mengi ambayo yalikuwa yafanyike kabla ya Pasaka yalifanyika. Walienda kama jinsi alivyowaamuru, na angalia kufungu kifuatacho, Wakaenda wakaona kama alivyowaambia, wakaiandaa pasaka. Usafishaji wa nyumba ingekuwa imeshafanyika na sahani na mabakuli tayari zilikuwa zimeshaandaliwa. Mwanakondoo ambaye angetumika katika sherehe tayari alikuwa amesha chaguliwa. Kulingana na sheria ya Musa mwana kondoo anachaguliwa siku tano kuelekea katika sherehe za Pasaka. Wanafunzi wake walipaswa kuchinja mwanakondoo na kumuoka jioni hiyo iyo walipaswa kumla katika kuchunguza kwao Pasaka. Pasaka ambayo Yesu na Wanafunzi wake walichunguza hakika hakika ilikuwa siku moja mapema tofauti na ile iliyoandaliwa na ulimwengu wa Kiyahudi. Alisulubiwa siku iliyofuata. Mwili wake ulipaswa kuondolewa msalabani kwa sababu ilikuwa ni siku ya maandalizi ya Pasaka iliyopaswa kuanza muda wa jioni. Yoh. 19:31-37, Basi Wayahudi kwa sababu ni maandalio, miili isikae juu ya misalaba siku ya sabato, (maana sabato ile ilikuwa siku kubwa), walimwomba Pilato miguu yao ivunjwe wakaondolewe. Basi askari wakaenda, wakamvunja miguu wa kwanza na wa pili, aliyesulibiwa pamoja naye. Lakini walipomwijia Yesu na kuona ya kuwa amekwisha kufa, hawakumvunja miguu; lakini askari mmoja wapo alimchoma ubavu kwa mkuki; na mara ikatoka damu na maji. Naye aliyeona ameshuhudia, na ushuhuda wake ni kweli, naye anajua ya kuwa anasema kweli ili ninyi nanyi mpate kusadiki. Kwa maana hayo yalitukia ili andiko litimie, Lord's Supper - Part 2) 4

5 hapana mfupa wake utakaovunjwa. Na tena andiko lingine lanena, wakamtazama yeye waliyemchoma. Ukweli Kuhusu Sabato Mt. 12:40, kwani kama vile Yona alivyokuwa siku tatu mchana na usiku katika tumbo la nyangumi, hivyo ndivyo Mwana wa adamu atakavyokuwa siku tatu katika moyo wan chi. Luka 24:17-23, Akawaambia ni maneno gani haya mnayosemezana hivi mnapotembea? Wakasimama wamekunja nyuso zao. Akajibu mmoja wao jina lake Kleopa, akamwambia je wewe peke yako u mgeni katika Yerusalemu, hata huyajui yaliyotukia humo siku hizi? Akawauliza mambo gani? Wakamwambia mambo ya Yesu wa Nazareti, aliyekuwa mtu nabii, mwenye uwezo katika kutenda na kunena mbele za Mungu na watu wote; tena jinsi wakuu wa makuhani na wakubwa wetu walivyomtia katika hukumu ya kufa wakamsulibisha. Nasi tulikuwa tukitumaini ya kuwa yeye ndiye atakayewakomboa Israeli. Zaidi ya haya yote, leo ni siku ya tatu tangu yalipotendeka mambo hayo; tena wanawake kadha wa kadha wa kwetu walitushitusha, waliokwenda kaburini asubuhi na mapema, wasiuone mwili wake; wakaja wakasema ya kwamba wametokewa na malaika waliosema kwamba yu hai. Wengi wanaamini kwamba Yesu alikufa siku ya Ijumaa kabla ya kuja Sabato; lakini hiyo haiendani na kuzikwa kwake siku 3 na usiku 3 kulingana Mathayo. 1 Kutoka Ijumaa jioni hadi Juma Pili asubuhi haiongezi siku 3 mchana na siku 3 usiku. Kuna jibu la kimantiki kwa hili. Yohana anaonyesha sherehe hii ya Pasaka ni mlolongo. Yoh. 19:12-15, Na tangu hapo Pilato akatafuta kumfungua; lakini Wayahudi wakapiga kelele wakisema, ukimfungua huyu wewe si rafiki yake Kaisari; kila mtu ajifanyaye kuwa mfalme humfitini Kaisari. Basi Pilato aliposikia maneno hayo, akamleta Yesu nje, akaketi juu ya kiti cha hukumu kiitwacho Sakafu ya Mawe, au kwa Kiebrania, Gabatha. Nayo ilikuwa maandalio ya Pasaka, yapata saa sita. Akawaambia Wayahudi tazama mfalme wenu! Basi wale wakapiga kelele mwondoshe! Mwondoshe! Msulubishe! Pilato akawaambia, je! Nimsulibishe mfalme wenu! Wakuu wa makuhani wakamjibu, sisi hatuna mfalme ila Kaisari. 1 Arthur U. Michelson, Pasaka Ya Kiyahudi Na Meza Ya Bwana, uk. 8. Lord's Supper - Part 2) 5

6 Yoh. 19:31, Basi Wayahudi kwa sababu ni maandalio miili isikae juu ya misalaba siku ya Sabato, (maana sabato ile ilikuwa siku kubwa), walimwomba Pilato miguu yao ivunjwe, wakaondolewe. Siku ya Sabato ilikuwa siku kubwa. 2 Yesu alisulibiwa katika maandalio ya Pasaka, ambayo pia ilichukuliwa na Wayahudi kama siku ya Sabato kuu. Luka alituambia wakati mwili wa Yesu ulipoandaliwa kwa ajili ya mazishi bado ilikuwa wakati wa maandalizi ya Pasaka na akaiita Sabato. Luka 23:53-54, Akaushusha akauzinga sanda ya kitani, akauweka katika kaburi lililochongwa mwambani ambalo hajalazwa mtu bado ndani yake. Na siku ile ilikuwa siku ya maandalio, na sabato ikaanza kuingia. Kwa vile maandalizi ya Sikukuu ya Pasaka kila mara ilitokea katika tarehe 14 ya mwezi Nisan (kalenda ya Kiyahudi), Yesu alikufa msalabani saa 9 mchana tarehe 14 ya mwezi Nisan, saa 3-4 kabla ya Pasaka kuanza jioni. Neno sabato kwa Wayahudi ilimaanisha pumziko. Walipaswa kupumzika katika siku ya Sherehe ya Pasaka, vile vile. Ilichukuliwa kama siku ya Sabato kuu kwa sababu walikuwa hawaruhusiwi kufanya kazi yo yote katika siku hiyo. Hesabu 28:16-18, Tena mwezi wa kwanza siku ya kumi na nne ya mwezi ni Pasaka ya BWANA. Siku ya kumi na tano ya mwezi huo patakuwa na sikukuu; mkate usiotiwa chachu utaliwa muda wa siku saba. Siku ya kwanza patakuwa na kusanyiko takatifu; hamtafanya kazi yo yote ya utumishi. Siku yo yote maalum ya mapumziko ambayo Wayahudi walichunguza na ambayo hawakufanya kazi iliitwa Siku ya Sabato, ikimanisha siku ya mapumziko. Neno Sabato kwa Wayahudi ili maanisha siku ya kupumzika. Kwa vile siku ya Pasaka nayo ilikuwa siku ya mapumziko, Wayahudi wakaichukulia kama Sabato Kuu. Hakika, Wayahudi walikuwa na siku saba za mapumziko waliochukulia kama Sabato Kuu, wakitumia tafsiri ya Sabato kumaanisha siku ya kupumzika na siyo siku ya saba ya juma. 3 Siku saba hizo ni: Siku ya 1 ya Pasaka Siku ya 7 ya Pasaka 2 Sabato Kuu, Wikipedia The Free Encyclopedia, Aug. 4, "Sabato Kuu, loc. cit. Lord's Supper - Part 2) 6

7 Siku ya Pentekoste Rosh Hashanah Yom Kippur Siku ya 1 kwanza ya mavazi ya gunia Siku ya 8 ya mavazi ya magunia Ulimwengu wa kidini kihistoria wanaonyesha kwamba Yesu alikufa msalabani 33 A.D kwa sababu katika mwaka huo tarehe 14 ya Nisan ilitokea siku ya Ijumaa. Wanafanya makadirio ya uongo kwamba uchuzi wa sabato ilikuwa siku ya 7 ya wiki. Lakini tarehe zaidi yenye mantiki ya kusulibiwa kwake ilikuwa Ijumaa, Aprili 6 katika mwaka wa 30 A.D. (tazama chati ya siku za mwisho za Kristo juu ya swala hili katika ukrasa ufuatao.) Uhakika mwingine wa sherehe ya Pasaka kuitwa Sabato: Mt. 28:1 katika kifungu cha Kiyunani ni wazi kwamba Sabato ni wingi, hataivyo toleo liitwalo King James inaonyesha katika umoja. Mt. 28:1, Hata Sabato ilipokwisha ikapambazuka siku ya kwanza ya juma, Mariamu Magdalene, na Mariamu yule wa pili, walikwenda kulitazama kaburi. Katika kifungu cha Kiyunani kwa ualisia inatafsiri kuwa, katika mwisho wa Sabato, hivyo inaunganisha Sabato Kuu (sherehe ya Pasaka) na Pasaka halisi (Juma Pili) kana kwamba zinaishia pamoja. SHEREHE YA PASAKA SIKU YA MAANDALIO SHEREHE YA PASAKA SIKU YA MAANDALIO A.D. NISAN 14 TAREH NISAN 14 A.D. NISAN 14 TAREH NISAN J-NNE 22-Machi 31 J-TATU 26-Machi 26 J-MOSI 20-Apri 32 J-PILI 13-Apri 27 ALPHA 10-Apri 33 IJUMAA 3-Apri 28 J-TATU 29-Machi 34 J-NNE 23-Machi 29 J-PILI 17-Apri 35 ALPHA 22-Apri 30 ALPHA 6-Apri 36 J-TATU 11-Apri Lord's Supper - Part 2) 7

8 PASAKA MUDA J-TANO ALPHA IJUM J-MOSI J-PILI Saa ya 1 (6-7) Yesu Alifufuka (Mk 16:1-2) Saa ya 2 (7-8 asub) Saa ya 3 (8-9) Kukana kwa Petro (Mk 14:66-72) Saa ya 4 (9-10) Saa ya 5 (10-11) Yesuana waambia wanafunzi kuandaa Pasak (Mk 14:12) Mahojiano (Mk 15:1) Kusulubiwa (Mk 15:25) Pasaka (Sabato Kuu) (Joh 19:31) Sabato Kamili Siku ya kwanza ya juma Saa ya 6 (11 asubu - Mchana) Saa ya 7 (Mchana- 1 jioni) Giza (Mk 15:33) Saa ya 8 (1-2 jioni) Lord's Supper - Part 2) 8

9 PASAKA MUDA J-TANO ALPHA IJUM J-MOSI J-PILI Saa ya 9 (2-3 mcha) Kifo (Mt. 27:46-50) Saa ya 10 (3-4 mchan) Saa ya 11 (4-5 jioni) Kutolewa msalabani (Joh 19:31) Pasaka (Sabato Kuu) (Joh 19:31) Sabato Kamili Siku ya kwanza ya juma Saa ya 12 (5-6 jioni) Yesu anazikwa (Mk 15:42) Mwanzo wa Siku (6 jioni) Jioni 6 - Usiku wa manane Pasaka na Wanafunzi (Mk 14:16-17) Mlima wa Mizeituni Pasaka (Sabato Kuu) (Joh 19:31) Sabato Kamili Usiku wa manane Usaliti (Mk 14:40-42) Lord's Supper - Part 2) 9

10 Yesu Alisema Mwili Wake Ulikuwa Ni Pazia La Hekalu Kusudi la pazia ilikuwa ni nini na iliundwaje? Madhabahu ilikuwa na pazia mbili, au kitambaa kirefu toka juu hadi chini; mmoja ulikuwa katika mlango wa Hekalu unaokwenda hadi sehemu Patakatifu, nyingine (pana na nzito) ilitenganisha sehemu Patakatifu kutoka katika Patakatifu Pa Patakatifu katika Madhabahu. Nyuma ya pazia la ndani kulikuwa na sanduku la ushuhuda na kiti cha rehema ikiwa juu ya sanduku. Mbele ya madhabahu kulikuwa na meza ya wonyesho na menora au kifaa wanachotumia katika kuweka mshumaa. Ni kuhani mkuu pekee aliyeruhusiwa kupita nyuma ya pazia, na hiyo ilikuwa ni siku moja kwa mwaka Siku ya Utakaso (Walawi. 16:2). Mtu ye yote ambaye hakuitii hili swala angeuawa (Hesabu 18:7). Pazia lilikuwa ni ishara ya kutokumfikia Mungu. Ilikuwa inatengenezwaje? Kutoka 26:31-33, Nawe fanya pazia la nyuzi za rangi ya samawi, na za rangi ya zambarau, na za rangi nyekundu, na nguo za kitani nzuri zenye kusokotwa, zitafumwa na kutiwa makerubi, kazi ya fundi stadi; kisha litungike katika nguzo nne za mti wa mshita zilizofunikwa dhahabu, vifungo vyake vitakuwa vya dhahabu, katika matako ya fedha manne. Nawe tungika lile pazia chini ya vile vifungo, nawe lete lile sanduku la ushuhuda na kulitia humo nyuma ya pazia; na lile pazia litawagawanyia kati ya patakatifu, na mahali patakatifu sana. Pazia lilitengenezwa kwa samawi, zambarau, nyekundu, na nguo za kitani nzuri zenye kusokotwa na kutiwa makerubi. Ilitungikwa katika nguzo nne ya miti ya mshita zilizofunikwa dhahabu na katika matako ya fedha nne. Ilikuwa nene (takiriban sentimiita 10 hadi 15; urefu wa mkono wa mwanamke ) kama jinsi ilivyokuwa ikisokotwa nyingine juu ya nyingine. Urefu wake ulikuwa mita 9 (mzingo 20) na upana wake ulikuwa mita 18 (mzingo 40), kama jinsi ilivyoelezwa katika Mishna. Pazia lilikuwa na unene sawa na urefu wa mkono na ilisokotwa sana [mwonekano una] misokoto arobaini na mbili, na juu ya kila msokoto kulikuwa na nyuzi ishirini na nne. Urefu wake ulikuwa na mzingo arobaini na upana wake mzingo ishirini; ilitengenezwa na wasichana wadogo themanini na mbili, 4 isingewezekana kwa mtu yeyote katika 4 Herbert Danby, Mishna, uk Lord's Supper - Part 2) 10

11 hekalu kwa bahati mbaya kuangalia sehemu patakatifu pa patakatifu. Kama ingetokea adhabu ilikuwa ni kifo. Kwa nini ninataja pazia la hekalu? Yesu alisema Pazia lilikuwa mwili wake. Ebr. 10:19-20, Basi ndugu kwa kuwa tuna ujasiri wa kupaingia patakatifu kwa damu ya Yesu, njia ile aliyotuanzia iliyo mpya, iliyo hai, ipitayo katika pazia, yaani mwili wake. Aliifanya iwezekane kwa ajili yetu sisi ili tuweze kumkaribia Mungu moja kwa moja; kitu ambacho Makuhani pekee ndio wangefanya chini ya Sheria ya Musa. Ebr. 9:11-12, Lakini Kristo akiisha kuja aliyekuhani mkuu wa mambo mema yatakayokuwapo, kwa hema iliyokubwa na kamilifu zaidi, isiyofanyika kwa mikono, maana yake, isiyo ya ulimwengu huu, wala si kwa damu ya mbuzi na ya ndama, bali kwa damu yake mwenyewe aliingia mara moja tu katika Patakatifu, akiisha kupata ukombozi wa milele. Ni nini kilichotokea katika pazia la hekalu wakati Yesu aliposulibiwa? Mt. 27:50-51, Na Yesu akiisha kupaza sauti tena kwa nguvu, akaitoa roho yake. Na tazama pazia la hekalu likapasuka vipande viwili toka juu hata chini; nchi ikatetemeka, miamba ikapasuka; Mk. 15:37-38, Naye Yesu akatoa sauti kuu akakata roho. Pazia la hekalu likapasuka vipande viwili toka juu hata chini. Lk. 23:44-45, Hapo ilikuwa yapata saa sita, kukawa giza juu ya nchi yote hata saa kenda, jua limepungua nuru yake; pazia la hekalu likapasuka katikati. Pazia hili lilipasuka vipi? Nilisoma mahali ambapo mtu alifikiria kwamba labda ilichanika wakati wa tetemeko la ardhi lilitokea wakati Yesu alipokufa. Nimewahi kuishi katika sehemu ya nchi ambayo matukio ya tetemeko la ardhi inatokea; tetemeko la ardhi linaweza kutetemesha pazia, hata labda kuiangusha sakafuni, lakini isingeipasua. Sasa kazi hii ya kuchana pazia isingekuwa rahisi kwa mtu ye yote kufanya. Isingekuwa rahisi kwa kikosi cha mafarasi kuichana kwa sababu ya unene wake. Hakika, nadhani isingewezekana kuchanwa kulikuwa na mashua mawili zikiivuta katika mwelekeo tofauti. Ilichanwa na Mungu wakati Yesu alipokufa msalabani, ikiashiria mwisho wa Agano La Kale. Efe. 2: inaiweka wazi vizuri sana ni kwa nini pazia la hekalu lilichanwa vipande viwili, Lakini sasa katika Kristo Yesu, ninyi mliokuwa mbali hapo kwanza mmekuwa karibu kwa damu yake Kristo. Kwa maana yeye ndiye amani yetu, aliyetufanya sisi sote tuliokuwa wawili kuwa mmoja; akakibomoa kiambaza cha kati kilichotutenga. Naye akiisha kuondoa ule uadui kwa mwili wake; ndiyo sheria ya amri zilizo katika maagizo ili afanye hao wawili kuwa mtu mpya mmoja ndani ya nafsi yake; Lord's Supper - Part 2) 11

12 akafanya amani. Akawapatanisha wote wawili na Mungu katika mwili mmoja, kwa njia ya msalaba, akiisha kuufisha ule uadui kwa huo msalaba. Akaja akahubiri amani kwenu ninyi mliokuwa mbali, na amani kwao wale waliokuwa karibu. Kwa maana kwa yeye sisi sote tumepata njia ya kumkaribia Baba katika Roho mmoja. Mwili wa Kristo kuwa pazia la hekalu ilichanwa mara mbili kuhitimisha Agano la Kale na kufanya Jipya ambalo wote tunapatanishwa katika mwili mmoja. Kumega Mkate Mkate usiotiwa chachu tunaambiwa na Bwana kwamba ulikuwa ni mwili Wake. Tunaambiwa kwamba pazia la hekalu lilikuwa mwili wake. Tunaambiwa kwamba pazia la hekalu lilichanwa vipande viwili kutoka juu hadi chini wakati wa kifo cha Yesu. Tunaambiwa kula mwili wake uliovunjika. Ninadhani ni wazi sana kuhusu jinsi tunavyoweza kushiriki mwili wake katika ushirika wa meza ya Bwana. Yesu ni mwana kondoo wetu asiye na doa iliyotolewa dhabihu na hakuna mfupa uliovunjika. Yoh. 1:29, Siku ya pili yake amwona Yesu anakuja kwake, akasema tazama Mwana-kondoo wa Mungu, aichukuaye dhambi ya ulimwengu! Yoh. 19:31-36, Basi Wayahudi kwa sababu ya maandalio, miili isikae juu ya misalaba siku ya sabato, (maana sabato ile ilikuwa siku kubwa), walimwomba Pilato miguu yao ivunjwe, wakaondolewe. Basi askari wakaenda, wakamvunja miguu wa kanza, na wa pili aliyesulibiwa pamoja naye. Lakini walipomjia Yesu na kuona ya kuwa amekwisha kufa, hawakumvunja miguu; lakini askari mmoja wapo alimchoma ubavu kwa mkuki, na mara ikatoka damu na maji. Naye aliyeona ameshuhudia, na ushuhuda wake ni kweli; naye anajua ya kuwa anasema kweli ili ninyi nanyi mpate kusadiki. Kwa maana hayo yalitukia ili andiko litimie, hapana mfupa wake utakaovunjwa. Mifupa ya Kristo haikuvunjwa, lakini mwili wake ulivunjwa. Zekaria 12:10, Nao watamtazama yeye ambaye walimchoma; nao watamwomboleza kama vile mtu amwombolezavyo mwanawe wa pekee; nao wataona uchungu kwa ajili yake, kama vile mtu aonavyo uchungu kwa ajili ya mzaliwa wake wa kwanza. Yoh. 19:34, Lakini askari mmoja wapo alimchoma ubavu kwa mkuki, na mara ikatoka damu na maji. Baadhi ya makanisa ya Kristo yanayopote yanadai kwamba hatupaswi kumega makate kwa sababu mifupa ya Kristo haikuvunjwa. Ifuatayo ilitolewa na Ndg. J.D. Logan, aliye na ujuzi wa mwanzo wa mgawanyiko huu ndani ya kanisa. Lord's Supper - Part 2) 12

13 Taarifa kuhusu mgawanyiko juu ya swali la kuvunja mkate Binafsi Kwanza, taarifa ya nyuma iliyolinganisha na mimi na J S Bedingfield. Tendo hili (kumega mkate binafsi) haikuwahi kutokea hadi 1928, lakini ilipendekezwa kupitia gazeti liitwalo UKWELI, lililohaririwa na E H Harper wa Sneads, Florida. (ninaamini jibaji ni sahihi, yawezekana siyo sahihi kwa kitu kimoja) imewahi kuchukuli na wachache toka 1928 kupitia jarida. Lilikuwa ni jaribio la kushinikiza ubishi na wahubiri wa vikombe katika mudahalo juu ya somo hili, ililiyokuwa likiendelea kwa wakati huo. Mwaka wa 1928 Harper na J N Cowan (wahubiri wa vikombe maarufu) waliongoza mdahalo katika swali juu ya kikombe. Mdahalo huu uliendeshwa huko Graham Texas. Katika mahudhurio kulikuwa na Homer King, Homer Gay, J D (Doug) Phillips, J S Bedingfield, pamoja na Dorothy Sage, mwenye miaka 16 (mwalimu wa shule katika New Mexico kwa wakati huo), Lurana McCluskey na webgine. Wote walikuwa wanaka katika nyumba ya Ndg. Franklin huko Seymour, TX. Ilikuwa ni kwa sababu ya swala hili la pendekezo ndiyo Cowan akasema yafuatayo: Biblia inatuambia kwamba Yesu pia alitwaa kikombe kama tunaweza kugawanya (kuvunja) mkate, pia tunaweza kugawa kikombe alafu akasema, jambo lingine tunalolijua, ninyi vijana mtakuwa mnaangalia kwamba hatupaswi kuvunja mkate. Harper alichukua uamzi na kujibu, Nitathibitisha kwamba ni kinyume na Biblia kugawanya mkate. Swala hili lilichukua mabishano ya usiku mzima na Ndg Bedingfield kwa upande mwingine, na wengine wakiwa dhidi yake. Huu ulikuwa ni mwanzo wa mpasuko wa jumuhiya katika makanisa juu ya somo hili. Akifuatilia mdahalo, Homer King alirudi Lebanon, Missouri na kuanza kupendekeza ukengeufu huu katika makanisa ya huko na pia (kwa uelewa wangu) katika New Mexico alikokuwa anajulikana. Phillips alikwenda magharibi na kufanya kazi kibinafsi miongoni mwa washirika wa makusanyiko mengi walioanzisha tendo hili. Alipotosha makusanyiko katika El Centro, Montebello, Los Angeles Mashariki, (Mt. Siskiyou) na mengine. (Hili lilikuwa ni kusanyiko ambalo familia ya Nichol walikuwa wanakusanyika; Paulo, Ray, Nelson, pamoja na Lord's Supper - Part 2) 13

14 wazazi wao). Ndg Jim Taylor (Babu yake na Bill), pamoja na Elmer Hunts walikataa hili swala na kuanza kukutana sehemu iitwayo North Long Beach, na mwisho Bellflower). Swala la kuvutia: Miaka mingi baadaye, mama mkwe wake na shemeji yangu, Ed Atchley alikwenda kuabudu katika kanisa kule Austin, Texas, ambapo Phillips alikuwa akihubiri hadi wakati wa kifo chake miaka michache baadaye. Kutembelea Modesto tulipokuwa tunaishi kwa wakati huo, alimweleza baba yangu kwamba Phillip haridhiki na tendo hili akijiondoa; angeweza kukubali matendo yote. Ninashangaa jinsi alivyo jisikia kuhusu matatizo aliyosaidia katika kuanzishwa katika makanisa. Kwa kiwango hiki ninauhakika kutoka kwa marafiki zangu na J S Bedingfield, J D Stark, Dorothy Sage, na wengine. Wakati ilipokuwa inarekodiwa katika (CD) na Dorothy Sage, alikuwa ni mtu wa mwisho aliyehudhuria katika mudahalo ambapo haya yote yalianzia. J D Logan Nimewahi kukutana na dada wote hawa Dada Lorena McCluskey na Dada Dorothy Sage (wakati huu wote wanaumwa) waliokuwepo katika mkutano huo wa Graham, TX, sehemu ambapo tendo hili lilianzia. Wote hawa walisema kwamba tendo hili la kutokupitisha mkate uliovunjwa haukuwepo katika kanisa la Kristo kabla ya mkutano ulioonyeshwa hapo juu katika mwaka wa Dada Lorena McCluskey ni bibi yake na mkwerima wangu, Ndg. Eric Harper. Baada ya kusulibiwa kwake Kristo baadhi ya wanawake waliokuwa wafuasi wake walikwenda kaburini kwake na wakambiwa na malaika kwamba mwili wake haukua pale; kwamba alikuwa hai. Walipokuwa wakielekea kurudi kijijini mwanamume mmoja alijiunga nao na alikuwa akiongea nao. Hawakumtambua, lakini alikuwa ni Yesu. Kulingana na muda ulivyokuwa una yoyoma walimkaribisha na kukaa nao hadi usiku kucha. Kumbuka kilichotokea walipokuwa wakila: Luka 24:30-35, Ikawa alipokuwa ameketi nao chakulani, alitwaa mkate akaubariki, akaumega akawapa. Yakafumbuliwa macho yao, wakamtambua kisha akatoweka mbele yao. Wakaambiana, Je! Mioyo yetu haikuwaka ndani yetu hapo alipokuwa akisema nasi njiani, na kutufunulia maandiko? Wakaondoka saa ile ile, wakarejea Yerusalemu, wakawakuta wale kumi na mmoja wamekutanika, wao na wale waliokuwa pamoja nao, wakisema, Bwana amefufuka kweli kweli naye Lord's Supper - Part 2) 14

15 amtokea Simoni. Nao waliwapa habari ya mambo yale ya njiani, na jinsi alivyotambulikana nao katika kuumega mkate. Kulikuwa na kitu ambacho hakikuwa cha kawaida kutokana na jinsi Kristo alivyo mega mkate. Ndio maana walitambua kwamba mtu huyo alikuwa Yesu. Nakuhakikishia kwamba alivunja mkate sawa na jinsi ambavyo pazia la hekalu lilivyopasuka na ndivyo pia alivyo vunja makte wakati wa mkutano wao wa Pasaka. Tunapaswa kushiriki mkate uliovunjwa kwa ajili yetu. 1 Kor. 11:24, Na baada ya kushukuru, akaumega, na kusema twaeni mle: huu ndio mwili wangu ulio kwa ajili yenu fanyeni hivi kwa ukumbusho wangu. Yesu hakutoa kipande katika ule mwili ili aule; alivunja mkate kwa ajili yao. Neno la Kiyunani hapa inayo manisha kuvunja ilikuwa ni klao. Hebu tuangalie Yesu alipovunja mikate mitano na samaki wawili katika Marko 6:41-44, Akaitwaa ile mikate mitano na ile samaki wawili, akatazama mbinguni akashukuru akaimega ile mikate akawapa wanafunzi wake wawaandikie; na wale samaki wawili akawagawia wote. Wakala wote wakashiba. Wakaokota vipande vilivyomegwa vya kuweza kujaza vikapu kumi na viwili; na vipande vya samaki pia. Na walioila ile mikate wapata elefu tano wanaume. Katika kitabu cha Marko, wakati Yesu alipovunja mikate mitano kwa ajili ya watu elfu tano alitumia neno la Kiyunani kataklao, ikimaanisha vunja vipande vipande. Luka pia anatumia neno ya Kiyunani kataklao. Katika kila swala la kuvunja mkate katika meza ya Bwana neno la Kiyunani lililotumika ilikuwa ni klao. Kama Yesu alipaswa kumega tu kipande mkate usiotiwa chachu kwa ajili yake mwenyewe ili kuweza kula neno la Kiyunani ambalo lingetumika ni ek-klao, ikimanisha vunja kutoka kwa, utafikiri alikuwa anamega kipande kwa ajili ya kula. Mfano wa ek-klao kuvunja inaweza kupatikana katika Rum. 11:16-21, Tena malimbuko yakiwa matakatifu, kadhalika na donge lote; na shina likiwa takatifu, matawi nayo kadhalika. Lakini iwapo matawi mengine yamekatwa [ek-klao], na wewe mzeituni mwitu ulipandikizwa kati yao ukawa mshiriki wa shina la mzeituni na unono wake, usijisifu juu ya matawi yale; au ikiwa wajisifu, si wewe ulichukuaye shina, bali ni shina likuchukualo wewe. Basi utasema matawi yale yalikatwa [ek-klao] kusudi ili nipandikizwe mimi. Vema. Kwa kutokuamini kwao, na wewe wasimama kwa imani yako. Usjivune, bali uogope. Kwa maana ikiwa Mungu hakuyaachia matawi ya asili, wala hatakuachia wewe. Yesu Lord's Supper - Part 2) 15

16 hakutumia ek-klao (vunja kipande kutoka kwa) alipoanzisha Meza ya Bwana, kana kwamba alipaswa kuvu kipande kwa ajili ya kula. Kumbuka pia kuwa mfumo uliotolewa kama mwili wa Kristo kuwa pazia la hekalu iliyovunjika kwanzia juu hadi chini. KIKOMBE Luka 22:14-20, Hata saa ilipofika aliketi chakulani, yeye na wale mitume pamoja naye. Akawaambia nimetamani sana kuila pasaka hii pamoja nanyi kabla ya kuteswa kwangu; kwa maana nawambieni ya kwamba siili tena hata itakapotimizwa katika ufalme wa Mungu. Akapokea kikombe akashukuru, akasema twaeni nyote hiki mgawanye ninyi kwa ninyi. Maana nawaambia ya kwamba tangu sasa siinywi mazao ya mizabibu hata ufalme wa Mungu utakapokuja. Akatwaa mkate, akashukuru, akaumega akawapa akisema, [huu ndio mwili wangu unaotolewa kwa ajili yenu, fanyeni hivi kwa ukumbusho wangu. Kikombe nacho vivyo hivyo baada ya kula akisema kikombe hiki ni again jipya katika damu yangu, inayomwagika kwa ajili yenu.] Vikombe viwili vinaonyeshwa katika kifungu hiki. Kikombe cha kwanza ambacho Luka anaonyesha ilikuwa sehemu ya chakula cha Pasaka (hatuambiwi ni kikombe kipi kati ya vitatu ilikuwa ni kipi; wengine wanamini kilikuwa ni cha kwanza; wengine wanamini kilikuwa ni cha tatu). Nami ninaamini kwamba kilikuwa ni kikombe cha tatu kwa sababu zifuatazo: Kikombe cha kwanza kilitumika kabla ya kuliwa mboga chungu baada ya kuchovya katika mchuzi (ilikuwa ni wakati huu Yuda Iskariote alitoka); kikombe cha pili kilitumika baada ya kula mboga chungu na kabla ya chakula cha Pasaka. Kikombe cha nne kili tumika mwishoni mwa chakula. Mkate usiotiwa chachu ulioitwa Masihi mara nyingi ulikuwa unabarikiwa na unamegwa baada ya kikombe cha tatu kunywewa. Kwa vile Luka anaonyesha baada ya hili kwamba Yesu alitwaa kikombe baada ya kula tunafahamu kwamba kikombe hicho kilikuwa Kikombe cha Baraka iliyokuwa imetunzwa kwa ajili ya masihi kati ya vikombe ilikuwa kabla au wakati wa chakula. Hii ilifanyika baada ya kumega mkate na kusema Twaeni mle huu ndio mwili wangu uliyo kwa ajili yenu (1 Kor. 11:24). Yesu alisema kwamba kikombe (cha nne) ilikuwa ni damu yake. Inahisiwa kwamba kikombe cha nne ambacho Luka anakizungumzia ilikuwa ni kitu cho chote kuliko kikombe cha tatu kilichonywewa mwishoni mwa chakula. Mkate usiotiwa chachu ambao Yesu alitwaa ulikuwa umefichwa (ulitunzwa kwa ajili ya Masihi), alafu akakibariki, akaumega, akawapa wanafunzi wake akisema ndiyo mwili wake ulio kwa ajili yao. Lord's Supper - Part 2) 16

17 Kikombe cha baraka ambayo alichukua ulikuwa umetunzwa kwa ajili ya Masihi na Luka anasema alifanya vile vile, ikimanisha alishukuru na akawapa wanafunzi wake wanywe. Yesu hakula mkate wala kukinywea kikombe iliyokuwa imetunzwa kwa ajili ya Masihi kwa sababu hivi vyote vilikuwa ni baada ya chakula cha Pasaka wakati aliposema kwamba hatakula wala kunywa hadi wakati ambapo ufalme wa Mungu utakapoanzishwa, ambayo ilikuwa ni baada ya siku ya Pentekoste kanisa lilipoanzishwa. Paulo alitoa maagizo zaidi kuhusu Meza ya Bwana: Siyo chakula cha kawaida. Wakati wa Pasaka Wayahudi walizoea kula chakula, hivyo wakamua kuchukua mfumo huu hata katika Meza ya Bwana. 1 Kor. 11:20-22, Basi mkutanikapo pamoja haiwezekani kula chakula cha Bwana; kwa maana kila mmoja hutangulia kutwaa chakula chake katika kule kula; hata huyu ana njaa na huyu amelewa. Je! Hamna nyumba za kulia na kunywea? Au mnalidharau kanisa la Mungu, na kuwatahayarisha hao wasio na kitu? Niwaambieni? Niwasifu? La! Siwasifu kwa ajili ya hayo. Yesu alimwambia Paulo kile ambacho tunatakiwa kufanya na jinsi ambavyo tunatakiwa kukifanya. 1 Kor. 11:23-30, Kwa maana mimi nalipokea kwa Bwana niliyowapa nanyi, yakuwa Bwana Yesu usiku ule aliotolewa alitwaa mkate, naye akiisha kushukuru akaumega, akasema huu ndio mwili wangu ulio kwa ajili yenu, fanyeni hivi kwa ukumbusho wangu. Na vivi hivi baada ya kula akakitwaa kikombe, akisema kikombe ni agano jipya katika damu yangu; fanyeni hivi kila mnywapo kwa ukumbusho wangu. Maana kila mwulapo mkate huo na kukinywea kikombe hiki, mwaitangaza mauti ya Bwana hata ajapo. Basi kila aulaye mkate huo na kukinywea kikombe hicho cha Bwana isivyostahili, atakuwa amejipatia hatia ya mwili na damu ya Bwana. Lakini mtu ajihodi, na hivyo aule mkate na kukinywea kikombe. Maana alaye na kunywa, hula na kunywa hukumu ya nafsi yake kwa kutokuupambanua ule mwili. Kwa sababu hiyo wako wengi kwenu walio hawawezi na dhaifu, na watu kadhaa wakadhaa wamelala. Mfumo wa vikombe vingi kama inavyotumika katika makanisa mengi ya Kristo leo ilianza mwaka wa 1894 na John G. Thomas (hati miliki ya Marekani namba 516,065) huko Lima Ohio. 5 John G. Thomas alijiita mwenyewe kuwa ni mhubiri wa makusanyiko. 5 Nambari ya umiliki , Ofisi ya Umiliki Marekani, Lima, Ohio, Machi 6, Lord's Supper - Part 2) 17

18 Tendo hili mara ya kwanza ilitumika katika Kanisa la Kristo na mtu aitwae G.C. Brewer katika mwaka wa Kwa maneno yake mwenyewe kama ilivyonukuliwa katika kitabu chake Miaka Arobaini katika msitari wa Moto : Nafikiri mimi nilikuwa mhubiri wa kwanza kusimamia matumizi ya vikombe vingi katika ushirika na kanisa la kwanza katika mji wa Tennessee uliochukua mfano huu lilikuwa ni kanisa ambalo mimi nilikuwa mhubiri, central Kanisa la Kristo huko Chattanooga, Tennessee. Alisema katika maandishi ya kitabu hiki kwamba alidhani kuwa yeye ndiye aliyekuwa wa kwanza katika Tennessee kutumia vikombe vingi katika kanisa; hataivyo katika utangulizi wa kitabu hiki alidai kuwa yeye ni mtu wa kwanza kuyaanzisha katika kanisa la Kristo. Tendo hili lilipigwa vita vibaya na makanisa ya Kristo na magazeti ya Wakristo kutoka katika pembe zote za dunia. Mara tendo hili likazoeleka, na watu wachache leo wanajua kuwa kulikuwa na mkanganyiko juu ya swala hili. Kaka yake babu yangu, George Scott, alikwenda Rhodesia (Zambia, leo) mwaka wa 1925 na kuanzisha misheni na wakazi wa mkoa wa Cinde. Alikuwa anasaidiwa na idadi kubwa ya makusanyiko kule Marekani. Wakati alipotoka kule Marekani, makusanyiko haya yote yashiriki katika ushirika wa kikombe kimoja. Baada ya kukaa miaka 20 huko Rhodesia, akarudi Marekani kuyatembelea makusanyiko haya yote. Alisononeshwa sana kwa kile alichokiona; makusanyiko haya yote yalichukua mtazamo mwingine ambao haukuwepo wakati anatoka kuja Rhodesia; kilichotiliwa maanani ni uanzishaji wa vikombe vingi katika ushirika. Akawaambia kile alichofikiri kuhusu swala hili, na akaja Afrika, na kukaa hadi alipofariki mwaka wa Sababu iliyosababisha vikombe vingi katika ushirika viletwe katika kanisa ilikuwa ni uoga wa maambukizi ya vijidudu na magonjwa. Je tunaweza kudai kuwa Bwana hakujua kile alichokuwa akifanya alipotuambia tukinywee (kikombe)? Mt. 26:27, Akakitwaa kikombe, akashukuru akawapa akisema, Nyweni nyote katika hiki; kikombe kipi alichokinywea? Kilikuwa ni kikombe cha baraka iliyokuwa ametunziwa. Kilikuwani kimoja; kilikuwa ni kikombe kimoja. Tujifunze katika kile ambacho Mungu alimwambia Petro: Mdo. 10:10-15, Akaumwa na njaa sana akataka kula lakini walipokuwa 6 G. C. Brewer, Miaka Arobaini Katika Msitari wa Moto, Old Paths Book Club, 1984, Utangulizi. Lord's Supper - Part 2) 18

19 wakiandaa, roho yake ikazimia, akaona mbingu zimefunuka, na chombo kikishuka kama nguo kubwa, inatelemshwa kwa pembe zake nne hata nchi; ambayo ndani yake walikuwemo aina zote za wanyama wenye miguu mine, na hao watambaao na ndege wa angani. Kisha sauti ikamjia kusema, Ondoka Petro uchinje ule. Lakini Petro akasema hasha, Bwana kwa maana sijakula kamwe kitu kilicho kichafu au najisi. Sauti ikamjia mara ya pili, ikimwambia vilivyotakaswa na Mungu, usiviite wewe najisi. Alichokitakasa Mungu usikiite kichafu au najisi. Kumbuka adithi ya Naamani (2 Fal, sura ya 5)? Alikuwa na ukoma, na aliposikia kuhusu nabii Elisha katika Samaria kwamba angeweza kumponya, alimwendea ili aweze kuponywa ukoma wake. Elisha alimwambia kujichovywa mwenye katika mtu Yordani mara saba na ukoma wake utamtoka. Naamani alichukia agizo hili. Akasema katika mustari wa 12, Je! Abana na Farpari, mito ya Dameski, si bora kuliko maji yote ya Israeli? Je! Siwezi kujiosha ndani yake na kuwa safi? akageuka, akaondoka kwa hasira. Alichopendekezewa kufanya kilikuwa kichafu kwake kukifanya! Kadiri jinsi alivyokataa kutii maagizo ya Mungu, aliendelea kubaki na ukoma wake. Hadi alipojizamisha mara 7 katika Mto Yordani hapo ndipo ukoma wake ukamtoka. Vipi kama angejizamisha mara 6 katika Mto Yordani? Au mara nane? Asingekuwa amefanya kile alichoambiwa kufanya, na angeendelea kuishi na ukoma wake. Inamanisha nini tunapoomba baraka zake juu ya mkate na kikombe? Inamanisha tunamwomba aitakase. Hiyo ndiyo maana ya baraka. Sawa, inamanisha nini kutakasa kitu? Inamanisha tunamwomba Mungu kufanya kitu kiwe kikamilifu, kubadilisha kitu katika mfumo ambao unakuwa katika hali ya kuitumia kwa njia tofauti. Chukua mfano wa mikate na samaki ambayo Bwana alibariki: Mt. 14:14-21, Yesu akatoka akaona mkutano mkuu akawahurumia akawaponya magonjwa wao. Hatakulipokuwa jioni, wanafunzi wake walimwendea wakasema mahali hapa ni nyika tupu, na saa imekwisha pita; uwaage makutano waendezao vijijini, wakajinunulie vyakula. Yesu akawaambia hawana haja kwenda zao wapeni ninyi vyakula. Wakamwambia, hamna kitu hapa ila mikate mitano na samaki wawili. Akasema nileteeni hapa. Akawaagiza makutano waketi kwenye majani; akaitwaa ile mikate mitano na wale samaki wawili, akatazama juu mbinguni akabariki akaimega ile mikate, akawapa wanafunzi, wanafunzi wakawapa makutano. Wakala wote wakashiba; wakayaokota masazo ya vipande vya mikate, vikapu kumi na viwili, vimejaa. Nao waliokula walikuwa wanaume wapata elfu tano, bila wanawake na watoto. Lord's Supper - Part 2) 19

20 Katika swala hili Bwana alipobariki mikate na samaki aliifanya kuwa kamilifu katika hali ya kimwili ili iweze kuwalisha wanaume 5000, ukiacha wanawake na watoto; na tunaambiwa wote walishiba. Tunapoomba baraka za Mungu kwa ajili ya mkate na kikombe, ni nini kinachotokea? Tunamwomba avitakase, au kuzifanya ziwe kamili kwa sababu tofauti kuziwezesha ili kwamba tuweze kushiba kiroho. Hatuwezi kushiba kimwili, kwa sababu tunakula sehemu kidogo tu. Hiki ni chakula cha kiroho, siyo cha miili yetu. Tusije tukamwambia Bwana wetu kwamba hatuamini mfumo wake wa kutupatia chakula cha kiroho? Tunaingia katika matatizo tunapofikiria kufanya kitu tofauti na kile alichosema Mungu. Maranyingi watu hujibu, ni kitu kidogo; sio muhimu. Kuwahi kuwa na madhara ya hatari yaliyoonyeshwa katika Biblia kwa sababu ya kukisia. Kumbuka hadithi ya wana wa Israeli walipokuwa wakizunguka nyikani na wakawa na kiu kwa kukosa maji? Hes. 20:8-12, Twaeni ile fimbo ukawakusanye mkutano wewe na Haruni ndugu yako, ukauambie mwamba mbele ya macho yao utoe maji yake nawe utawatokezea maji katika mwamba na hivyo utawanywesha maji mkutano na wanyama wao. Musa akaitwaa hiyo fimbo mbele za BWANA kama alivyomwamuru. Musa na Huruni wakawakusanya kusanyiko mbele ya mwamba akawaambia sikieni sasa, enyi waasi je! Tuwatokezee maji katika mwamba huu? Musa akainua mkono wake akaupiga ule mwamba kwa fimbo yake mara mbili; maji yakatoka mengi mkutano wakanywa na wanyama wao pia. BWANA akamwambia Musa na Haruni; kwa kuwa hamkuniamini mimi, ili kunistahi mbele ya macho ya wana wa Israeli, basi kwa sababu hiyo hamtaingiza kusanyiko hili katika ile nchi niliyowapa. Mungu alimwambia Musa anene na mwamba, na badala yake aliupiga mwamba kwa fimbo yake. Kwa sababu ya kosa hili Musa hakuruhusiwa katika nchi ya ahadi, bali Mungu alimruhusu kuiangalia kwa mbali. Zingatia 1 Nya. 13:1-14 kwa kulinganisha na Kut. 25: Mungu aliagiza kuhusu jinsi ambavyo sanduku la agano lingetengenezwa; ilipaswa iwe na vishikizo pembezoni ambapo fimbo ndefu zingeweza kupitishwa. Mungu alikusudia sanduku la agano libebwe na watu kwa kuliinua katika pembezoni bila kuigusa; hakuna ye yote aliguse sanduku. Mtu fulani akapata wazo zuri, Tuweke sanduku la agano katika mkokoteni uvutwe na wanyama ili usogee. Wakati mafahali walipovuta mkokoteni wakipita katika sehemu yenye utelezi (ambayo ilikuwa haiku sawa) wanyama hawa walijikwaa na Uza aliogopa kwamba sanduku linaweza kuanguka na kuvunjika; hivyo akanyoosha mkono wake ili kuuzuia. Hakuwa na dhamira mbaya katika moyo wake; alidhani kuwa anafanya kitu chema, lakini bado hakumtii Mungu. Kile Lord's Supper - Part 2) 20

21 alichofanya watu leo wangesema. Kitu kidogo au hapana, Mungu aliwapa maelekezo ya jinsi walivyopaswa kulisafirisha (na usalama), lakini mwanadamu akawa na wazo bora. Mtafuteni BWANA, maadamu anapatikana, mwiteni maadamu yu karibu; mtu mbaya na aache njia yake, na mtu asiye haki na aache mawazo yake; na amrudie BWANA, naye atamrehemu; na arejee kwa Mungu wetu, naye atamsamehe kabisa. Maana mawazo yangu si mawazo yenu, wala njia zenu si njia zangu asema BWANA. Kwa maana kama vile mbingu zilivyo juu sana kuliko nchi, kadhalika njia zangu zi juu sana kuliko njia zenu, na mawazo yangu kuliko mawazo yenu. (Isa. 55:6-9). Uza alipoteza uhai wake kwa sababu alifikiria bora kuliko Mungu. Tunapofanya kitu kwa sababu tunadhani ni sahihi tunaweza kupoteza uhai wetu pia, lakini kupotea huko ni wa umilele. Zingatia mfano mwingine. Katika sura ya 6 ya Mambo ya Walawi Mungu alitoa agizo kuhusu Sadaka ya Kuteketezwa; maagizo alizowapa zilikuwa ni Sheria Zake. Aliwagiza kuhusu madhabahu ya kuchomea sadaka ilivyotakiwa iandaliwe. Akawaambia wauache moto huu uwake usiku kucha; wasiruhusu moto utoke nje. Nini ambacho kingetokea kama wangeruhusu moto utoke nje? Mwingine leo anaweza kusema, Sawa, mara tunaacha moto unaendelea tena, hakuna udhuru. Makusudi! Vipi kama mtu akitumia moto uliotoka katika vyanzo tofauti au kifaa kingine tofauti na Mungu alichoagiza. Sawa, kulikuwa na tukio lililoandikwa mahali ambapo kitu kama hicho kilipotokea. Na Adabu na Abihu wana wa Haruni wakatwaa kila mtu chetezo chake, wakatia moto ndani yake, wakatia na uvumba, nao wakatoa moto wa kigeni mbele ya BWANA ambao yeye hakuwaagiza. Kisha moto ukatoka hapo mbele ya BWANA nao ukawala, nao wakafa mbele za BWANA. (Law. 10:1-2). Walifanya kitu tofauti na kile ambacho Mungu aliwaamuru kufanya. Tunaweza kudhani, ni kitu kidogo; sio muhimu? Fikra za Mungu siyo yetu. Nadabu na Abihu walipoteza uhai wao kwa sababu walifikiria wao wenyewe na siyo na Mungu. Mtunzi wa Zaburi Daudi alisema, Umzuie mtumishi wako asitende mambo ya kiburi, yasinitawale mimi. Ndipo nitakapokuwa kamili, nami nitakuwa safi, sina kosa lililo kubwa. (Zab. 19:13). Kumbuka anaita mambo ya kiburi kosa lililo kubwa. Sio, kitu kidogo; sio muhimu. Petro (kupitia Roho Mtakatifu) anatoa onyo kwamba wakati utakuja wakati ambapo kutakuwa na waalimu wa uongo wakija miongoni mwetu wakifundisha maagizo ya uongo (2 Pet. 2:1-10). Alisema katika mistari ya 9-10, Basi Bwana ajua kuwaokowa watauwa na majaribu, na kuwaweka wasio haki katika hali ya adhabu hata siku ya hukumu; na Lord's Supper - Part 2) 21

22 hasa wale waufuatao mwili katika tamaa ya mambo machafu. Na kudharau mamlaka. Mapenzi binafsi - kujipendeza mwenyewe; inaonyesha, mtu aliyejitoa katika mvuto binafsi, na asijali wengine, kwa kiburi akiingiza matakwa yake binafsi. (Kamusi ya Vine Expository ya maneno ya Agano Jipya). Yuko Pamoja Nasi Yesu ni Mwanakondoo wetu wa dhabihu. Hatuli tu mwili wake bali pia damu yake wakati wa Meza ya Bwana. Hii haifanyiki mara moja kwa mwaka, bali ni kila siku ya kwanza ya juma. 1 Kor. 16:2, Siku ya kwanza ya juma kila mtu kwenu na aweke akiba kwake kwa kadiri ya kufanikiwa kwake; ili kwamba michango isifanyike hapo nitakapo kuja. Neno la Kiyunani kata mien sabatoon kiuhalisi ikimanisha kila siku ya kwanza ya juma. Tunapomega mkate na kikombe, Yesu yu pamoja nasi akishiriki. Luka 22:17-18, Akapokea kikombe akashukuru akasema, twaeni hiki mgawanye ninyi kwa ninyi; maana nawaambia ya kwamba tangu sasa sinywi mazao ya mzabibu hata ufalme wa Mungu utakapokuja. Yesu alitoa kauli hii wakati wa chakula cha Pasaka kabla hajaanzisha Meza ya Bwana. Haya aliyasema kabla ya moja ya vikombe kati ya vitatu. Asingeweza kukinywea kikombe cha 4 (aliyotumia kwa kuanzisha meza ya Bwana) kwa sababu alisema hata kunywa uzao wa mzabibu hadi utakapokuja ufalme wa Mungu. Ufalme wa Mungu ulianzia siku ya Pentekoste. Anatuambia kwamba yu pamoja nasi tunapokutanika pamoja katika Mt. 18:20, Kwa kuwa walipo wawili watatu wamekusanyika kwa jina langu, nami nipo papo hapo katikati yao. Anashiriki Meza pamoja nasi katika meza ya ushirika kwa sababu alisema atafanya hivyo. Zaidi, kama Yesu yuko katika mkutano huu tutakuwa pale pia. Yoh. 12:26, nami nilipo, ndipo na mtumishi wangu atakapokuwapo. Tena mtu akinitumikia, Baba atamheshimu. Mwili wa Yesu ulipovunjika msalabani ulihitimisha Agano la Kale ambalo Mungu alikuwa nalo na Wayahudi, baada ya kuchana pazia la hekalu akiifanya kuwa vipande viwili. Lord's Supper - Part 2) 22

23 Agano Jipya Damu ya Yesu ilipomwagika msalabani ilianzisha Agano la Kale. Mt. 26:27-28, Akakitwaa kikombe akashukuru akawapa akisema nyweni nyote katika hiki; kwa maana hii ndiyo damu yangu ya agano, imwagikayo kwa ajili ya wengi kwa ondoleo la dhambi. 1 Kor. 11:25, Na vivi hivi baada ya kula akakitwaa kikombe, akisema kikombe hiki ni agano jipya katika damu yangu fanyeni hivi kila mnywapo, kwa ukumbusho wangu. Kikombe hiki ; umoja. Kilikuwa ni kikombe cha baraka. Kama mkate uliovunjwa ulikuwa pazia uliochanika ambao ulihitimisha Agano la Kale, kikombe ni Agano Jipya, uliyorihirishwa na damu ya Kristo. Mwili wa Kristo uliovunjika (pazia iliyochanika) ulihitimisha Agano la Kale; kikombe ni Agano Jipya ulioanzishwa, au dhihirishwa, fanywa iwezekane kwa damu ya Kristo. Mt. 26:39, Akaendelea mbele kidogo akaanguka kifulifuli, akaomba akisema, Baba yangu ikiwezekana kikombe hiki kiniepuke; walakini si kama nitakavyo mimi, bali kama utakavyo wewe. Najua huu ni mfano, lakini kwa nini Yesu alisema, kama ikiwezekana, kikombe hiki kiniepuke? Kwa nini alisema kikombe? Hakukua na kikombe katika mkono wake. Mtu fulani aliniambia kwamba kilikuwa ni kikombe cha uzuni ambayo Kristo alipaswa kukumbana nacho; hii ilikuwa haizungumzii kikombe cha ushirika. Lakini kwa nini Yesu aliita mateso haya kikombe? Nawahakikishieni kwamba Yesu alikuwa akimaanisha kikombe cha Agano la Jipya, hataivyo hakuwa na kikombe katika mkono wake. Kama damu ya Yesu haikumwagika msalabani, kusinge kuwa na Agano Jipya. Kama kisingekuwa na mateso, vile vile kusingekuwa na kikombe. Unafikiri Yesu alifahamu hilo! Mwili wake uliteseka juu ya swala hili ukikumbuka msalaba. Akamwuliza Mungu kama kungekuwa na njia yo yote; ikiwezekana, Akasema kikombe hiki kiniepuke. Alafu akasema, Sio kama nitakavyo mimi, bali kama utakavyo wewe. Yesu alifahamu mapema kwamba tunapaswa kuinywa damu yake katika ushirika; nawahakikishieni, kwamba hii ndio maana alisema kikombe. Kusingekuwa na Agano Jipya pasipo damu hii ya huruma; bila kikombe hiki ya damu iliyomwagika. Tunaposhiriki damu katika ushirika tunashiriki damu iliyomwagika. Mt. 26:28, Maana hii ni damu yangu ya agano jipya imwagikayo kwa ajili ya wengi kwa ondoleo la dhambi. Lord's Supper - Part 2) 23

24 Hakusema, hii inawakilisha damu yangu, bali alisema hii ni damu yangu. Hii ilikuwa sawa na mkate, hakusema, huu unawakilisha mwili wangu ; bali alisema huu ndiyo mwili wangu uliyo kwa ajili yenu. Ulibadilishwa kiroho ili iwe chakula cha nafsi. Yesu anatuamuru katika umuhimu wa kula mwili wake na kunywa damu yake. Yoh. 6:53, Basi Yesu akawaambia, Amin, amin, nawaambieni, Msipoula mwili wake Mwana wa Adamu na kuinywa damu yake, hamna uzima ndani yenu. Kama Myahudi alishindwa kushiriki Pasaka uhai wake uliondolewa. Tukishindwa kushiriki Meza ya Bwana tumekufa (hakuna uzima ndani yetu), ama katika maisha haya au yanayokuja. Sote tunapaswa kuwa na shukrani ya aina gani kwa kile alichotufanyia. Hebu na tumkumbuke kwa heshima ya hali ya juu. Natumaini hii imekupa mwanga kuhusu Pasaka ya Wayahudi na Kristo kuanzisha Meza ya Bwana. Lord's Supper - Part 2) 24

25 Bibliografia Mwandishi hajulikani, Sabato Kuu, Wikipedia The Free Encyclopedia, August 4, Brewer, G.C., Miaka Arobaini Ya Msitari Wa Moto, Old Paths Books Club, Danby, Herbert, Mishna, Oxford University Press, New York, NY, Michelson, Arthur U., Pasaka Ya Wayahudi Na Meza Ya Bwana, Jengo la Taraja La Wayahudi, Los Angeles, CA, Nambari ya Hataza 516,065, United States Patent Office, Lima Ohio, Machi 6, Lord's Supper - Part 2) 25

26 Lord's Supper - Part 2) 26

27 Lord's Supper - Part 2) 27

28 Lord's Supper - Part 2) 28

Ikimbieni Zinaa. Ellis P. Forsman. Ikimbieni Zinaa (Flee Fornication) 1

Ikimbieni Zinaa. Ellis P. Forsman. Ikimbieni Zinaa (Flee Fornication) 1 Ikimbieni Zinaa na Ellis P. Forsman Ikimbieni Zinaa (Flee Fornication) 1 Ikimbieni Zinaa na Ellis P. Forsman Oktoba 11, 2011 Ikimbieni Zinaa (Flee Fornication) 2 Ikimbieni Zinaa 1 Kor. 6:18 Wakristo wa

More information

TOKA SABATO KWENDA JUMAPILI CARLYLE B. HAYNES

TOKA SABATO KWENDA JUMAPILI CARLYLE B. HAYNES TOKA SABATO KWENDA JUMAPILI CARLYLE B. HAYNES TOKA SABATO KWENDA JUMAPILI Mjadala wa kihistoria wa Hoja juu ya Sabato, Ukionyesha Jinsi Gani, Lini, Kwa Nini, na Ni Nani aliyefanya Badiliko hilo kutoka

More information

Ni Nani Aliye Upande Wa Bwana?

Ni Nani Aliye Upande Wa Bwana? Ni Nani Aliye Upande Wa Bwana? (Who Is On The Lord s Side?) Na Ellis P. Forsman Ni Nani Aliye Upande Wa Bwana? (Who Is On The Lord's Side?) 1 Ni Nani Aliye Upande Wa Bwana? (Who Is On The Lord s Side?)

More information

unajua ulichofanya; umevumilia Vema ninataka umwambia Shetani katika jina la Yesu anapokufanyia jambo baya, Toka! Toka!

unajua ulichofanya; umevumilia Vema ninataka umwambia Shetani katika jina la Yesu anapokufanyia jambo baya, Toka! Toka! Title: Preached by Dr. w eugene SCOTT, PhD., Stanford University At the Los Angeles University Cathedral Copyright 2007, Pastor Melissa Scott. - all rights reserved Somo: Imehubiriwa na Dk. w. eugene SCOTT,

More information

Learning by Ear Once upon a time... in Africa Episode One: CRADLE OF MANKIND. Author: Marta Barroso Editors: Maja Braun, Jan-Philipp Scholz

Learning by Ear Once upon a time... in Africa Episode One: CRADLE OF MANKIND. Author: Marta Barroso Editors: Maja Braun, Jan-Philipp Scholz Learning by Ear Once upon a time... in Africa Episode One: CRADLE OF MANKIND Author: Marta Barroso Editors: Maja Braun, Jan-Philipp Scholz CHARACTERS : Intro/Outro (female/male) Scene 1: Mum (38, female)

More information

Learning by Ear Unce upon a time... in Africa Episode 3: TRADE IN AFRICA. Author: Marta Barroso Editors: Maja Braun, Jan-Philipp Scholz CHARACTERS:

Learning by Ear Unce upon a time... in Africa Episode 3: TRADE IN AFRICA. Author: Marta Barroso Editors: Maja Braun, Jan-Philipp Scholz CHARACTERS: Learning by Ear Unce upon a time... in Africa Episode 3: TRADE IN AFRICA Author: Marta Barroso Editors: Maja Braun, Jan-Philipp Scholz CHARACTERS: Intro/Outro (female/male) Scene 1: June (13, female) Mum

More information

Learning by Ear Once upon a time... in Africa Episode 8: COLONIALIZATION. Author: Marta Barroso Editors: Maja Braun, Jan-Philipp Scholz CHARACTERS:

Learning by Ear Once upon a time... in Africa Episode 8: COLONIALIZATION. Author: Marta Barroso Editors: Maja Braun, Jan-Philipp Scholz CHARACTERS: Learning by Ear Once upon a time... in Africa Episode 8: COLONIALIZATION Author: Marta Barroso Editors: Maja Braun, Jan-Philipp Scholz CHARACTERS: Intro/Outro (female/male) Scene 1: Neighbour (43, male)

More information

CROP PROTECTION PROGRAMME. Identifying the factors causing outbreaks of armyworm as part of improved monitoring and forecasting systems

CROP PROTECTION PROGRAMME. Identifying the factors causing outbreaks of armyworm as part of improved monitoring and forecasting systems CROP PROTECTION PROGRAMME Identifying the factors causing outbreaks of armyworm as part of improved monitoring and forecasting systems R No 7966 (ZA No 0449) FINAL TECHNICAL REPORT 15 October 2000 31 March

More information

NOVENA YA ROHO MTAKATIFU

NOVENA YA ROHO MTAKATIFU NOVENA YA ROHO MTAKATIFU Mpangilio wa sala na nyimbo kwa siku zote tisa Katoliki.ackyshine.com KWA SIKU ZOTE TISA Ufuatao ni mtiririko wa Novena ya Roho Mtakatifu kwa siku zote tisa. Kusali novena hii

More information

SIMON & SCHUSTER S PIMSLEUR SWAHILI 1 READING BOOKLET

SIMON & SCHUSTER S PIMSLEUR SWAHILI 1 READING BOOKLET SIMON & SCHUSTER S PIMSLEUR SWAHILI 1 READING BOOKLET Travelers should always check with their nation's State Department for current advisories on local conditions before traveling abroad. Booklet Design:

More information

Cambridge International Examinations Cambridge Ordinary Level

Cambridge International Examinations Cambridge Ordinary Level Cambridge International Examinations Cambridge Ordinary Level *6782314084* SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2016 Additional Materials: Answer Booklet/Paper READ THESE INSTRUCTIONS FIRST If you have been

More information

THE SPINE CLINIC. Spine Care. Huduma Ya Uti Wa Mgongo Kanuni Za Kutunza Shingo Na Mgongo. principles of neck and back care IOM SYSTEM ENDOSCOPE

THE SPINE CLINIC. Spine Care. Huduma Ya Uti Wa Mgongo Kanuni Za Kutunza Shingo Na Mgongo. principles of neck and back care IOM SYSTEM ENDOSCOPE THE SPINE CLINIC IOM SYSTEM ENDOSCOPE Ideal Work Posture Spine Care BONE SCALPEL principles of neck and back care Huduma Ya Uti Wa Mgongo Kanuni Za Kutunza Shingo Na Mgongo For Appointments & Contact KWA

More information

HISTORIA (WASIFU WA) YA MAREHEMU DKT. WILLIAM AUGUSTAO MGIMWA

HISTORIA (WASIFU WA) YA MAREHEMU DKT. WILLIAM AUGUSTAO MGIMWA HISTORIA (WASIFU WA) YA MAREHEMU DKT. WILLIAM AUGUSTAO MGIMWA (MB) ALIYEKUWA WAZIRI WA FEDHA KATIKA SERIKALI YA AWAMU YA NNE YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA 1. KUZALIWA Marehemu Dkt. William Augustao

More information

KWA VILE ni kanuni ya Kanisa Anglikana ulimwenguni ambalo ni sehemu ya Kanisa Katholiko kwamba Dayosisi kadhaa ziungane pamoja na kuunda Jimbo;

KWA VILE ni kanuni ya Kanisa Anglikana ulimwenguni ambalo ni sehemu ya Kanisa Katholiko kwamba Dayosisi kadhaa ziungane pamoja na kuunda Jimbo; UTANGULIZI KWA JINA LA BABA NA MWANA NA ROHO MTAKATIFU, AMIN. KWA VILE ni kanuni ya Kanisa Anglikana ulimwenguni ambalo ni sehemu ya Kanisa Katholiko kwamba Dayosisi kadhaa ziungane pamoja na kuunda Jimbo;

More information

EXL6 Swahili PhraseBook Davis

EXL6 Swahili PhraseBook Davis Swahili or Kiswahili, is an official language of Tanzania, Kenya, the Democratic Republic of the Congo, and Uganda. Swahili speakers can also be found in surrounding countries, such as Burundi, Rwanda,

More information

UCHAMBUZI MUUNGANO WA TANZANIA YA MWAKA 1977

UCHAMBUZI MUUNGANO WA TANZANIA YA MWAKA 1977 UCHAMBUZI WA Katiba Katiba YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA YA MWAKA 1977 Uchambuzi huu umetayarishwa na Kikundi cha Sheria na Haki za Binadamu cha TIFPA kwa niaba ya wana TIFPA kwa msaada wa Ford Foundation

More information

PROPOSED STANDARD COUNCIL LEVEL HOSPITALS. Schedule of Material, Labour & Drawings for Septic and Soak way pit PROJECT AREA TANZANIA MAINLAND

PROPOSED STANDARD COUNCIL LEVEL HOSPITALS. Schedule of Material, Labour & Drawings for Septic and Soak way pit PROJECT AREA TANZANIA MAINLAND THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA PRESIDENT S OFFICE REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT PROPOSED STANDARD COUNCIL LEVEL HOSPITALS Schedule of Material, Labour & Drawings for Septic and Soak way

More information

JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAMISEMI

JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAMISEMI JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAMISEMI Namba za simu;shule ya Sekondari MIONO Mkuu wa Shule: +255 784 369 381S.L.P 26 - CHALINZE Makamu Mkuu wa Shule: +255 787 448 383Tarehe 25.5.2017

More information

The history of Zaire as told and painted by Tshibumba Kanda Matulu in conversation with Johannes Fabian

The history of Zaire as told and painted by Tshibumba Kanda Matulu in conversation with Johannes Fabian 1 sur 37 05.02.2006 0:36 ISSN: 1570-0178 Volume 2, Issue 5 (5 October 1999) The history of Zaire as told and painted by Tshibumba Kanda Matulu in conversation with Johannes Fabian Introduction First Session,

More information

UCHANGANUZI WA MAKOSA YA KISARUFI KATIKA INSHA ZA WANAFUNZI WA SHULE ZA MSINGI NA YANAVYOCHANGIA MATOKEO MABAYA YA MITIHANI, KATA YA GANZE, KAUNTI

UCHANGANUZI WA MAKOSA YA KISARUFI KATIKA INSHA ZA WANAFUNZI WA SHULE ZA MSINGI NA YANAVYOCHANGIA MATOKEO MABAYA YA MITIHANI, KATA YA GANZE, KAUNTI UCHANGANUZI WA MAKOSA YA KISARUFI KATIKA INSHA ZA WANAFUNZI WA SHULE ZA MSINGI NA YANAVYOCHANGIA MATOKEO MABAYA YA MITIHANI, KATA YA GANZE, KAUNTI YA KILIFI, KENYA. ROSE SULUBU KITSAO Tasnifu imewasilishwa

More information

Lesson 60: Quantifiers OTE and O OTE

Lesson 60: Quantifiers OTE and O OTE Lesson 60: s OTE and O OTE OTE [all, entire, whole] The usage of OTE varies from one noun class to another. A). OTE GELI [noun class] WA KI VI I JI A K K JIA [noun] msichana wasichana kijiko vijiko mkoba

More information

Hennepin County Kiongozi cha jinsi ya kuondoa taka

Hennepin County Kiongozi cha jinsi ya kuondoa taka Hennepin County Kiongozi cha jinsi ya kuondoa taka How to get rid of it guide 2 KIONGOZI CHA JINSI YA KUONDOA TAKA Kiongozi cha jinsi ya kuondoa taka kinatoa mwongozo kijumla wa kuondoa taka kwa wakazi.

More information

KUFANIKISHA MAGEUZI YA SHERIA ZA KUMILIKI ARDHI NCHINI KENYA TOLEO MAARUFU LA MSWADA WA KUMILIKI ARDHI YA JAMII

KUFANIKISHA MAGEUZI YA SHERIA ZA KUMILIKI ARDHI NCHINI KENYA TOLEO MAARUFU LA MSWADA WA KUMILIKI ARDHI YA JAMII Hakijamii Hakijamii Economic and Social Rights Centre (Hakijamii) 53 Park Building, kwenye barabara ya Ring Rd, tawi la Ngong Rd Sanduku la Posta 11356-00100, Nairobi Kenya Simu: +254 020 2589054/2593141

More information

The history of Zaire as told and painted by Tshibumba Kanda Matulu in conversation with Johannes Fabian

The history of Zaire as told and painted by Tshibumba Kanda Matulu in conversation with Johannes Fabian 1 sur 55 05.02.2006 0:38 ISSN: 1570-0178 Volume 2, Issue 7 (6 June 2000) The history of Zaire as told and painted by Tshibumba Kanda Matulu in conversation with Johannes Fabian Introduction First Session,

More information

HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS IKULU NA UTAWALA BORA MHESHIMIWA DKT. MWINYIHAJI MAKAME

HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS IKULU NA UTAWALA BORA MHESHIMIWA DKT. MWINYIHAJI MAKAME SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR OFISI YA RAIS NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS IKULU NA UTAWALA BORA MHESHIMIWA DKT. MWINYIHAJI MAKAME KUHUSU MAKADIRIO YA

More information

2017 Student Program Curriculum

2017 Student Program Curriculum 2017 Student Program Curriculum Basic Program Information Host Institution: Program Title: Curriculum Title: Language(s): Grade(s) of Learners: Language Background: Program Setting: Program Type: Duration:

More information

DEFERRED LIST ON 23/10/2018

DEFERRED LIST ON 23/10/2018 DEFERRED LIST ON 23/10/2018 SN WP.NO Employer Applicant name Decision made 1 WPC 9595/16 M/S GA Insurance Tanzania ltd Mr. Amit Srivastava Awasilishe Job description, Mkataba wa ajira, kibali current kutoka

More information

Taarifa ya Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM (Oktoba, 2010 hadi Septemba, 2012) kuhusu Zanzibar SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR

Taarifa ya Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM (Oktoba, 2010 hadi Septemba, 2012) kuhusu Zanzibar SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR Mhe. Dkt. Ali Mohammed Shein Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi TAARIFA YA SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR KUHUSU UTEKELEZAJI WA ILANI YA UCHAGUZI

More information

Remarks You Must Read & Know Before Buying Guingamp vs RC Strasbourg Tickets: Event date and time are subject to change - these changes are not

Remarks You Must Read & Know Before Buying Guingamp vs RC Strasbourg Tickets: Event date and time are subject to change - these changes are not {@!!!Video} Mbeya City - Mtibwa Sugar Tazama kutangaza 14.01.2019 Liga Huru HDTV Kuishi. Inasaidia, Mbeya City - Mtibwa Sugar ESPN Angalia.. Online Tangaza Kuishi.. Streaming Sopcast Online. Kuishi WATCH

More information

uṯēndi wa ja'fari bismillähi ar-rahmani ar-rahīmi

uṯēndi wa ja'fari bismillähi ar-rahmani ar-rahīmi ا ت ن د و ج ع ف ر uṯēndi wa ja'fari The Ballad of Ja'far ب س م الل ه الر حم ن الر ح ي م bismillähi ar-rahmani ar-rahīmi In the name of God, the Compassionate, the Merciful (١) ب س م ل ه ا و ل * پ و ك ا

More information

The Passion of Africa

The Passion of Africa Africa is the heart of the world an empire of space, sounds, light, life, people, cultures, magnificence not found elsewhere in the world, Africa is magical, it captivates you with is sights, sounds, scents

More information

FREE WITH THE SUNDAY NATION. May 3, 2009 W-DJ. Creating the DJ Brand

FREE WITH THE SUNDAY NATION. May 3, 2009 W-DJ. Creating the DJ Brand FREE WITH THE SUNDAY NATION May 3, 2009 W-DJ Creating the DJ Brand 2 Sunday May3 If you are a DJ and still do audio mixes, you need to up your game. The art of deejaying has gone a notch higher, in gospel

More information

KENYA INSTITUTE OF CURRICULUM DEVELOPMENT EDU CHANNEL TV BROADCAST LINE UP AUGUST DEC 2017 WEEKLY TV PROGRAMMES

KENYA INSTITUTE OF CURRICULUM DEVELOPMENT EDU CHANNEL TV BROADCAST LINE UP AUGUST DEC 2017 WEEKLY TV PROGRAMMES KENYA INSTITUTE OF CURRICULUM DEVELOPMENT EDU CHANNEL TV BROADCAST LINE UP AUGUST DEC WEEKLY TV PROGRAMMES TIME MONDAY TUESDAY WEDNESDAY THURSDAY FRIDAY SATURDAY SUNDAY 6.00 AM - 6.20 AM 6.20AM - 6.25AM

More information

WAEC Sample Questions and Schemes - Uploaded online by GONJA (ELECTIVE)

WAEC Sample Questions and Schemes - Uploaded online by  GONJA (ELECTIVE) ) SCHEME OF EXAMINATION GONJA (ELECTIVE) There will be two papers, Papers 1 and 2, both of which must be taken. PAPER 1: Will test candidates language skill development. It will consist of four sections,

More information

Total Frequency Percent CAPS Graduate Graduate Intensive English

Total Frequency Percent CAPS Graduate Graduate Intensive English Total Enrollment Fall, Fall I 2006: 8150 All Students by School All Students By Status CAPS & Traditional UG 4722 57.9 Continuing 5926 72.7 Graduate 3406 41.8 First-time Freshman 911 11.2 Intensive English

More information

CONTINUITY AND DIVERGENCE

CONTINUITY AND DIVERGENCE 01 Nyanja nyasa all -OncE lexico : Lojenga 1990 02 Nyanja nyasa arm -janja, manja lexico : Lojenga 1990 04 Nyanja nyasa bark k h ungwa, makingwa lexico : Lojenga 1990 05 Nyanja nyasa belly mimba lexico

More information

Inkling Fan Language Character Encoding Version 0.3

Inkling Fan Language Character Encoding Version 0.3 Inkling Fan Language Character Encoding Version 0.3 What follows is a proposed encoding for the characters in the Inkling fan language for standardization among font creators. This encoding would make

More information

Hawaiiana Award Program: Prerequisite: Helpful Links:

Hawaiiana Award Program: Prerequisite: Helpful Links: Special Programs & Activities Hawaiiana Award Program: The Hawaiiana Award is unique to the Aloha Council. The program was designed to educate interested Scouts on the Hawaiian Heritage. This program will

More information

States. Postal Abbreviations LEARN THE. AND. by Joy A. Miller

States. Postal Abbreviations LEARN THE.   AND. by Joy A. Miller 1 States LEARN THE AND Postal Abbreviations by Joy A. Miller http://fivejs.com Learn the States and Postal Abbreviations Copyright 2009 Published by Joy A. Miller http://fivejs.com All rights reserved.

More information

Agricultural Weather Assessments World Agricultural Outlook Board

Agricultural Weather Assessments World Agricultural Outlook Board Texas (8) Missouri (7) South Dakota (6) Kansas () Nebraska () North Dakota () Oklahoma () Kentucky (4) Montana (4) California (3) Minnesota (3) New York (3) Pennsylvania (3) Tennessee (3) Wisconsin (3)

More information

Agricultural Weather Assessments World Agricultural Outlook Board

Agricultural Weather Assessments World Agricultural Outlook Board Texas (8) Missouri (7) South Dakota (6) Kansas (5) Nebraska (5) North Dakota (5) Oklahoma (5) Kentucky (4) Montana (4) California (3) Minnesota (3) New York (3) Pennsylvania (3) Tennessee (3) Wisconsin

More information

Cp Cp, Pole Pole Reflections on my experience Summiting Mt. Kilimanjaro The Roof of Africa February 4 11, 2017

Cp Cp, Pole Pole Reflections on my experience Summiting Mt. Kilimanjaro The Roof of Africa February 4 11, 2017 Cp Cp, Pole Pole Reflections on my experience Summiting Mt. Kilimanjaro The Roof of Africa February 4 11, 2017 Outline Kilimanjaro A destination The mystic snow-capped colossal volcano Pre Journey Things

More information

Name of Competition: Contest in Mathematical Linguistics within the Winter Mathematical Competitions. Area: Linguistics. Scale: National.

Name of Competition: Contest in Mathematical Linguistics within the Winter Mathematical Competitions. Area: Linguistics. Scale: National. Name of Competition: Contest in Mathematical Linguistics within the Winter Mathematical Competitions. Scale: National. Venue: Ruse or Pleven in even-numbered years, Varna or Burgas in odd-numbered years.

More information

Target Shooting by Hunters and Their Use of Shooting Ranges: 1975, 1991, and 2011

Target Shooting by Hunters and Their Use of Shooting Ranges: 1975, 1991, and 2011 U.S. Fish & Wildlife Service Target Shooting by Hunters and Their Use of Shooting Ranges: 1975, 1991, and 2011 Addendum to the 2011 National Survey of Fishing, Hunting, and Wildlife-Associated Recreation

More information

LVSSA / SSUSA World Masters Championships 2015 Las Vegas and Henderson, Nevada September 28-30, 2015

LVSSA / SSUSA World Masters Championships 2015 Las Vegas and Henderson, Nevada September 28-30, 2015 Men's 70+ Major Plus & Major Divisions 16 Teams Win Loss Win Loss 1 1 1 Omen 70 (CA) 1 1 9 Poncho's 70 (AZ) 2 0 2 Scrap Iron 70 Legacy (CO) 2 0 10 RWC St. Roofing Sys. (CA) 2 0 3 AMR South (FL) 1 1 11

More information

Lot 59. Bulls Delivered & Kept Free until May 1st 1st Breeding Season Guarantee Sale broadcast on DVAuction.com

Lot 59. Bulls Delivered & Kept Free until May 1st 1st Breeding Season Guarantee Sale broadcast on DVAuction.com A Ranching Outfit Raising Charolais Seedstock for Over 19 Years. 19th Annual Charolais Bull Sale Tuesday, February 7, 2012 12:00 p.m. MT at Philip Livestock Auction Philip, SD Sale Day Phone: 605-859-2577

More information

AKRON, UNIVERSITY OF $16,388 $25,980 $10,447 $16,522 $14,196 $14,196 $14,196 ALABAMA, UNIVERSITY OF $9,736 $19,902 N/A N/A $14,464 $14,464 $14,464

AKRON, UNIVERSITY OF $16,388 $25,980 $10,447 $16,522 $14,196 $14,196 $14,196 ALABAMA, UNIVERSITY OF $9,736 $19,902 N/A N/A $14,464 $14,464 $14,464 AKRON, UNIVERSITY OF $16,388 $25,980 $10,447 $16,522 $14,196 $14,196 $14,196 ALABAMA, UNIVERSITY OF $9,736 $19,902 N/A N/A $14,464 $14,464 $14,464 ALBANY LAW SCHOOL OF UNION UNIVERSITY $35,079 $35,079

More information

The Erie Economy: Performance, Opportunities, and Challenges

The Erie Economy: Performance, Opportunities, and Challenges The Erie Economy: Performance, Opportunities, and Challenges Eggs n Issues Manufacturer and Business Association December 2015 Dr. Kenneth Louie The Economic Research Institute of Erie Sam and Irene Black

More information

CONTINUITY AND DIVERGENCE

CONTINUITY AND DIVERGENCE 01 Lambya all -osi lexico : Sela / Twilingiyimana 1986 02 Lambya bras, main inyobe lexico : Sela / Twilingiyimana 1986 03 Lambya ashes ilyoto lexico : Sela / Twilingiyimana 1986 03 Lambya ashes itoyi lexico

More information

3A/4A Girls Golf FINAL REVISED 8/20/18

3A/4A Girls Golf FINAL REVISED 8/20/18 3A/4A Girls Golf FINAL REVISED 8/20/18 4A Desert Region 4A Mountain Region Southeast League Southwest League Northwest League Northeast League 3A Sunset League 3A Sunrise League Basic Clark Arbor View

More information

The streak ended Aug. 17, 2017, with a loss at home to Cincinnati.

The streak ended Aug. 17, 2017, with a loss at home to Cincinnati. The 2019 Cubs scored at least 10 runs in 5 of their first 10 games, something they had not accomplished since the birth of the National League in 1876. But they lost 2 of those games, 11-10 at Texas, on

More information

Finals Brackets. Finals Brackets... 73

Finals Brackets. Finals Brackets... 73 Finals Brackets Finals Brackets... 73 VOLLEYBALL FINALS - FINALS BRACKETS 73 1981 Finals Bracket San Diego St. (37-6) UCLA (33-10) Pacific (27-11) Southern California (25-10) UCLA 4-15, 15-8, 15-9, 15-8

More information

LATINO VOTE A Fight For Change!

LATINO VOTE A Fight For Change! LATINO VOTE A Fight For Change! The Power of the Vote! Political Power, Policy and Health Equity The University of North Carolina School of Social Work Chapel Hill, North Carolina June 7, 2016 LATINO VOTE

More information

Table B-8: U.S. Medical School MD-PhD Applications and Matriculants by School, In-State Status, and Sex,

Table B-8: U.S. Medical School MD-PhD Applications and Matriculants by School, In-State Status, and Sex, MD-PhD and Table B-8: U.S. Medical School MD-PhD and, In-State Status, and Sex, 2017-2018 1 AL Alabama 283 4.9 95.1 45.6 54.4 9 22.2 77.8 44.4 55.6 South Alabama 14 28.6 71.4 50.0 50.0 0 0.0 0.0 0.0 0.0

More information

In all, small college football teams have recorded 268 accomplishments of scoring at least 500 or more points in a single-season.

In all, small college football teams have recorded 268 accomplishments of scoring at least 500 or more points in a single-season. Small College Football Teams Highlight Teams Scoring over 500+ Points Pittsburg State KS went on a scoring spree and didn t stop until it had reached the NCAA II National Championship Game. The Gorillas

More information

Demographic Characteristics and Trends of Bexar County and San Antonio, TX

Demographic Characteristics and Trends of Bexar County and San Antonio, TX Demographic Characteristics and Trends of Bexar County and San Antonio, TX Leadership San Antonio Understand Infrastructure. Prepare for Growth. May 2, 2012 San Antonio, TX Select Growing States, 2000-2010

More information

Minimum Wages By State, Municipality and County

Minimum Wages By State, Municipality and County Compliance Alert January 21 st, 2019 Minimum Wages By State, Municipality and County AL N/A N/A AK $9.89 AZ $11.00 $12.00 - January 1, 2020 Flagstaff $12.00 $13.00 - January 1, 2020 $15.00 - January 1,

More information

Hotel InduSTRy Overview What Lies Ahead

Hotel InduSTRy Overview What Lies Ahead Hotel InduSTRy Overview What Lies Ahead Vail R. Brown Vice President, Global Business Development & Marketing www.hotelnewsnow.com Click on Hotel Data Presentations U.S. In Review Demand Growth Strong.

More information

MARCH 2018 March 1-4 TYR Pro Swim Series (Georgia Tech) Atlanta, GA Columbus, OH Championships

MARCH 2018 March 1-4 TYR Pro Swim Series (Georgia Tech) Atlanta, GA Columbus, OH Championships Page 1 of 10 2018 Event / Meeting Location JANUARY 2018 January 11-14 TYR Pro Swim Series (University of Texas) Austin, TX January 19-20 Build a Pool Conference Greensboro, NC January 19-21 UANA Swimming

More information

5 THINGS TO KNOW IN Vail R. Brown, STR

5 THINGS TO KNOW IN Vail R. Brown, STR 5 THINGS TO KNOW IN 2014 Vail R. Brown, STR VAIL R. BROWN Vice President of Global Business Development and Marketing for STR. Mrs. Brown is responsible for the overall coordination, functional management

More information

MARIE SKŁODOWSKA-CURIE ACTIONS STATISTICS INDIVIDUAL FELLOWSHIPS

MARIE SKŁODOWSKA-CURIE ACTIONS STATISTICS INDIVIDUAL FELLOWSHIPS MARIE SKŁODOWSKA-CURIE ACTIONS STATISTICS INDIVIDUAL FELLOWSHIPS Dernière mise à jour : Février 2019 1 EF ST EF CAR/RI SE GF European Fellowships Standard European Fellowships CAR/RI Society and Enterprise

More information

85 Int, 85 Exp, 125 Int, 250 Int, Vet Exp (Over 30), Womans Pro (All Ages Open CC)

85 Int, 85 Exp, 125 Int, 250 Int, Vet Exp (Over 30), Womans Pro (All Ages Open CC) 7 Alaska State Championship Series AK 85 Int, 85 Exp, 5 Int, 50 Int, Vet Exp (Over 30), Womans Pro (All Ages Open CC) 5 00 75 50 5 0 0 0 0 0 5 Exp, 50 Exp, Pro 50 5 75 50 5 0 0 0 0 0 $ 3,55.00 8 AMA Amateur

More information

Division I Sears Directors' Cup Final Standings

Division I Sears Directors' Cup Final Standings 1 Stanford (Calif.) 747.5 112.5 4 61.0 4 61.0 34 29.5 0 0.0 0 0.0 0 0.0 0 0.0 1 64.0 1 64.0 12 52.5 11 53.5 1 64.0 1084.5 2 North Carolina 631.5 0 0.0 21 43.5 10 55.0 3 61.5 0 0.0 0 0.0 0 0.0 0 0.0 41

More information

LVSSA / SSUSA World Masters Championships 2014 Las Vegas and Henderson, Nevada September 29 - October 2, 2014

LVSSA / SSUSA World Masters Championships 2014 Las Vegas and Henderson, Nevada September 29 - October 2, 2014 Men's 70+ Major Plus & Major Divisions 13 Teams Win Loss 70-Major Plus Win Loss 70-Major 3 1 1 FL Legends/Human Kinetics 2 2 7 RWC State Roofing (CA) 1 3 2 Omen 70 (CA) 3 1 8 Scrap Iron 70 Legacy (CO)

More information

THIS IS UCLA TENNIS. Nick Meister reacts after clinching UCLA s 4-3 victory over Ole Miss at the 2009 NCAA Championships in College Station, Texas.

THIS IS UCLA TENNIS. Nick Meister reacts after clinching UCLA s 4-3 victory over Ole Miss at the 2009 NCAA Championships in College Station, Texas. THIS IS UCLA TENNIS Nick Meister reacts after clinching UCLA s 4-3 victory over Ole Miss at the 2009 NCAA Championships in College Station, Texas. PROFESSIONAL SUCCESS UCLA is a pipeline to the ATP Tour

More information

LATINO VOTE. The Power of the Vote!

LATINO VOTE. The Power of the Vote! LATINO VOTE The Power of the Vote! LATINO VOTE Challenges, Opportunities and Solutions to Get America to Vote! www.svrep.org Redistricting: Every 10 years after the US Census Count, America draws its lines

More information

GEOGRAPHY LESSON 1: PRE-VISIT - SAFE AT HOME LOCATION, PLACE AND BASEBALL BASEBALL COAST TO COAST HOUSTON ASTROS IN PARTNER WITH THE NBHOF

GEOGRAPHY LESSON 1: PRE-VISIT - SAFE AT HOME LOCATION, PLACE AND BASEBALL BASEBALL COAST TO COAST HOUSTON ASTROS IN PARTNER WITH THE NBHOF PRE-VISIT - SAFE AT HOME LOCATION, PLACE AND BASEBALL OBJECTIVE: Students will be able to: Define location and place, two of the five themes of geography. Give reasons for the use of latitude and longitude.

More information

2010 IAFE Hall of Honor Communications Awards Winners List

2010 IAFE Hall of Honor Communications Awards Winners List 2010 IAFE Hall of Honor Communications Awards Winners List Category 1: Newspaper Ad Black & White East Texas State Fair Georgia National Fair & Agricenter National Western Stock Show & Rodeo, CO Westerner

More information

7 AMA District 6 NJ/PA AMA Texas Winter Series TX AMP Dodge Amateur National CA Arkansas Motocross Championship AR 5

7 AMA District 6 NJ/PA AMA Texas Winter Series TX AMP Dodge Amateur National CA Arkansas Motocross Championship AR 5 7 AMA District 6 NJ/PA 10 12-15 85, 250C, Open C, Women 50 30 20 12-16 Supermini, Schoolboy 2 14-16, Collegeboy 14-24, 250 B, Open B, 250 A, Open A 80 60 40 $ 16,600.00 8 AMA District 9 Best of Georgia

More information

Transplant Games of America - 7/12/2014 to 7/13/2014 Results - Saturday Afternoon Women Yard Freestyle Name Age Team Finals Time

Transplant Games of America - 7/12/2014 to 7/13/2014 Results - Saturday Afternoon Women Yard Freestyle Name Age Team Finals Time Rice University HY-TEK's MEET MANAGER 5.0-7:41 PM 7/12/2014 Page 1 Women 14-17 500 Yard Freestyle --- Snow, Kassie 15 Texas- Team TX Life Warriors DNF 1:28.43 11:21.90 Women 18-29 500 Yard Freestyle 1

More information

VOLLEYBALL Match players ranking. TPE Chinese Taipei

VOLLEYBALL Match players ranking. TPE Chinese Taipei Match: Date: 24.07.2009 Spectators: 200 Match duration: Start: 14:00 End: 15:09 : 1:09 Teams Sets 1 2 3 4 5 TPE 3 Spike TPE Chinese Taipei Spikes Faults Shots 1 11 CHEN Shih Ting - 14 27 48.15 2 1 CHEN

More information

ARMY FOOTBALL ALL-PURPOSE RECORDS INDIVIDUAL RECORDS SINGLE-SEASON LEADERS CAREER LEADERS 2005 RECORD BOOK

ARMY FOOTBALL ALL-PURPOSE RECORDS INDIVIDUAL RECORDS SINGLE-SEASON LEADERS CAREER LEADERS 2005 RECORD BOOK ALL-PURPOSE RECORDS INDIVIDUAL RECORDS Most Net Yards Gained Game: 377, Barry Armstrong vs. Tennessee (9-22-73) Season: 1795, Lynn Moore (1969) Career: 5594, Mike Mayweather (1987-90) CAREER LEADERS Player

More information

2015 Southeastern Conference TEAM LEADERS Through games of Nov 24, 2015 (All games)

2015 Southeastern Conference TEAM LEADERS Through games of Nov 24, 2015 (All games) TEAM LEADERS Team Miscellaneous GP Shots Fouls Offside Corners PK-PKA YC-RC Alabama 19 293 198 48 99 3-1 14-3 Arkansas 18 244 204 32 103 1-0 12-0 Auburn 23 374 223 30 142 4-3 11-0 Florida 24 366 204 52

More information

Party List BUNGOMA KILIFI KISII. Printed on: 22/Jul/ Special Interest Category. Nominee in Party List. Name of Nominee.

Party List BUNGOMA KILIFI KISII. Printed on: 22/Jul/ Special Interest Category. Nominee in Party List. Name of Nominee. Party Printed on: 22/Jul/2017 11.13 minee ID SHIRIKISHO PARTY OF KENYA 6 ESTHER MATEA MAURICE Special Seats minees to the Assembly (For Top Up) BUNGOMA minee 8110107 FEMALE 715084816 50 84056-80100 N/A

More information

SIR ADAMJEE INSTITUTE

SIR ADAMJEE INSTITUTE LIST OF BOOKS FOR CLASS XI-COMMERCE 2017-18 Principles of Commerce by Amin Khalid, Khursheed H. Siddiqui Business Mathematics by S. Khursheed Alam Principles of Accounting by Aftab A. Khan / Peti Wala

More information

SSUSA - World Championships 2006 Seattle, Washington September 7-10, 2006

SSUSA - World Championships 2006 Seattle, Washington September 7-10, 2006 Men's 55+ Major Plus Division - 4 Teams Win Loss Win Loss 2 1 1 Grimes Trucking (AZ) 0 3 3 Handeland Flooring (WI) 3 0 2 GSF (CA) 1 2 4 Mission Softball (TX) Thursday - September 7, 2006 - Russell Road

More information

Sidewalkology A Path to Solving San Antonio s Sidewalk Problem

Sidewalkology A Path to Solving San Antonio s Sidewalk Problem 1 Sidewalkology A Path to Solving San Antonio s Sidewalk Problem Introduction This memorandum proposes the creation a Pedestrian Mobility Officer (PMO) position and/or an active transportation program

More information

LATE CE COURSE CATALOG These are the ONLY Courses Approved to Make-up CE Requirements

LATE CE COURSE CATALOG These are the ONLY Courses Approved to Make-up CE Requirements LATE CE COURSE CATALOG These are the ONLY Courses Approved to Make-up CE Requirements Make-up CE Requirements for Years 2017, 2016, 2015, 2014, 2013, 2012, 2011, 2010 This catalog is used for MLOs who

More information

Race: 1. South Fork Dirt Riders. hare scramble 08/29/2010 Race Results 50 (4-6) 50 (7-8) Page 1 of Ktm Micah Alleman 40

Race: 1. South Fork Dirt Riders. hare scramble 08/29/2010 Race Results 50 (4-6) 50 (7-8) Page 1 of Ktm Micah Alleman 40 Page of 7 08/29/200 50 (4-6) Race: Printed: 04:6 pm Finish Number Brand License # Name City,State Moto Moto 2 55 Ktm 900 Micah Alleman 40 50 (7-8) Finish Number Brand License # Name City,State Moto Moto

More information

Investing in Real Estate. The smart choice for today s investor

Investing in Real Estate. The smart choice for today s investor Investing in Real Estate The smart choice for today s investor Real Estate is preferred over stocks Real estate out performs stocks http://blog.863katy.com/category/national-housing-news/page/2/ Real Estate

More information

Yellow Belt. Belt Requirements. Form: Keibon 1 Taeguek Il Chang (1st 5 moves)

Yellow Belt. Belt Requirements. Form: Keibon 1 Taeguek Il Chang (1st 5 moves) Yellow Belt Keibon 1 Taeguek Il Chang (1st 5 moves) 1. Front Stretch Kick 2. Front Snap Kick 3. Side Kick 4. Roundhouse Kick 5. Kick Combinations Using any of the Above Kicks 1. Low Block (Front Stance)

More information

Lottery By Patricia Wood

Lottery By Patricia Wood Lottery By Patricia Wood If you are looking for a ebook Lottery by Patricia Wood in pdf format, then you've come to correct site. We presented utter variation of this book in txt, DjVu, PDF, epub, doc

More information

walaka Ua Lohe Au Manu Kani Time for Sovereignty Kahikinui O Pu u Mähoe U i Läna i City Ike Au iä Kaho olawe always Hawaiian

walaka Ua Lohe Au Manu Kani Time for Sovereignty Kahikinui O Pu u Mähoe U i Läna i City Ike Au iä Kaho olawe always Hawaiian Ua Lohe Au Manu Kani Time for Sovereignty Kahikinui O Pu u Mähoe U i Läna i City Ike Au iä Kaho olawe always Hawaiian walaka Walaka Kanamu Walaka Kanamu Walaka Kanamu Walaka Kanamu Today we trample over

More information

SUMMARY MEMBERSHIP ANALYSIS FOR THE STATE OF. Trends of first-time 4 to 8 year-old male ice hockey players to

SUMMARY MEMBERSHIP ANALYSIS FOR THE STATE OF. Trends of first-time 4 to 8 year-old male ice hockey players to SUMMARY MEMBERSHIP ANALYSIS FOR THE STATE OF New Mexico Trends of first-time 4 to 8 year-old male ice hockey players 1997-98 to 27-8 p.2 -Background and Methodology p.3 -National Acquisition and Retention

More information

Global Hotel Industry Outlook

Global Hotel Industry Outlook Global Hotel Industry Outlook NYU 2011 Mark V. Lomanno CEO STR www.hotelnewsnow.com Click on Industry Presentations Agenda Global Hotel Performance US Hotel Performance Chain Scales Group/Transient Distribution

More information

Hawaii Judo Academy Gokyu Test

Hawaii Judo Academy Gokyu Test Hawaii Judo Academy Gokyu Test Name: Date: GENERAL INFORMATION Know the following information: 1. What is the name of you club? Hawaii Judo Academy 2. Name of Head Instructor? Takata 3. What is the name

More information

The Kilimanjaro Porters & Guides. My Motivational Inspiration- Karen Jolly

The Kilimanjaro Porters & Guides. My Motivational Inspiration- Karen Jolly The Kilimanjaro Porters & Guides My Motivational Inspiration- Karen Jolly In June 2011, I was given the opportunity to climb Mt. Kilimanjaro, Africa s highest mountain and the highest free standing mountain

More information

All-Time College Football Attendance (Includes all divisions and non-ncaa teams) No. Total P/G Yearly Change No. Total P/G Yearly Change Year Teams

All-Time College Football Attendance (Includes all divisions and non-ncaa teams) No. Total P/G Yearly Change No. Total P/G Yearly Change Year Teams Attendance Records All-Time College Football Attendance... 2 All-Time NCAA Attendance... 2 Annual Conference Attendance Leaders... 4 Largest Regular-Season Crowds... 11 2010 Attendance... 11 Annual Team

More information

Traffic Safety Facts. State Traffic Data Data. Overview

Traffic Safety Facts. State Traffic Data Data. Overview Traffic Safety Facts 2015 Data June 2017 DOT HS 812 412 State Traffic Data Key Findings Traffic fatalities increased by 7 percent from 2014 to 2015 (32,744 to 35,092) for the United States. The fatality

More information

Conduent EDI Solutions, Inc. Eligibility Gateway 270/271 Payer Guide Medicaid

Conduent EDI Solutions, Inc. Eligibility Gateway 270/271 Payer Guide Medicaid Conduent EDI Solutions, Inc. Eligibility Gateway 270/271 Payer Guide Medicaid Version 4010 Technical Support: egateway@conduent.com May 10, 2017 2017 Conduent Business Services, LLC. All rights reserved.

More information

Aug 2018 (Eastern Time - New York)

Aug 2018 (Eastern Time - New York) Aug 2018 (Eastern Time - New York) 19 20 21 22 23 24 25 First Day of School 26 27 28 29 30 31 1 MAP Baseline Assessments 5:30pm - Varsity 9:30am - Substitute Sep 2018 (Eastern Time - New York) 26 27 28

More information

National Open Air Gun Championship. Invitational Championship: May 23 rd through 25 th

National Open Air Gun Championship. Invitational Championship: May 23 rd through 25 th National Open Air Gun Championship SPONSORED BY THE NATIONAL RIFLE ASSOCIATION Open Championship: February 7 th through April 12 th Invitational Championship: May 23 rd through 25 th ELIGIBILITY: Open

More information

USA TRIATHLON MEMBERSHIP REPORT TABLE OF CONTENTS

USA TRIATHLON MEMBERSHIP REPORT TABLE OF CONTENTS USA TRIATHLON MEMBERSHIP REPORT This report has been prepared by the Membership Services staff based on active memberships on December 31, 2015. Media requests can be addressed to communications@usatriathlon.org.

More information

Choy Li Fut Kung Fu: The Dynamic Fighting Art Descended From The Monks Of The Shaolin Temple By Doc-Fai Wong

Choy Li Fut Kung Fu: The Dynamic Fighting Art Descended From The Monks Of The Shaolin Temple By Doc-Fai Wong Choy Li Fut Kung Fu: The Dynamic Fighting Art Descended From The Monks Of The Shaolin Temple By Doc-Fai Wong If looking for the ebook Choy Li Fut Kung Fu: The Dynamic Fighting Art Descended From the Monks

More information

WAZA Publications Advertising Technical Specifications and Rate Card

WAZA Publications Advertising Technical Specifications and Rate Card WAZA Publications Advertising Technical Specifications and Rate Card Vol 12 2011 stainable Towards Su agement n a M n io t Popula May 2011 2/11 aster p2 nami Dis naco: Japan Tsu rt II of Mo rince Albe

More information

Female sitting dance with vocal accompaniment, Aceh CD572

Female sitting dance with vocal accompaniment, Aceh CD572 Female sitting dance with vocal accompaniment, Aceh CD572 Music transcribed by Helen Catanchin October 2011 CD572 Chapter 30, 22:02-25:27 (3:25 total) Notes: Musical accompaniment and dance motation for

More information

ACAMIS BASKETBALL. DCB Varsity Boys 1-3 FEBRUARY

ACAMIS BASKETBALL. DCB Varsity Boys 1-3 FEBRUARY DCB Varsity Boys School: Dulwich College Beijing (DCB) Mascot: Lions Coach: Corey Kong Assistant Coach: Judson Tomlin Athletic Director: Dirk Kraetzer Head of School: Simon Herbert HS Principal: Richard

More information